Kabla ya Tanzania kufungua mipaka kwa wageni, ni lazima kuimarisha mifumo kwanza

Kabla ya Tanzania kufungua mipaka kwa wageni, ni lazima kuimarisha mifumo kwanza

Jambo muhimu sana kulitazama ni hilo la ardhi, kusipokuwepo umakini kwenye suala la ardhi ipo siku tutakutana na madalali watakaoidanganya serikali kubadili sheria za ardhi na mwisho wa siku yatukute yanayoendelea Israel na Palestina
Asikudanganye mtu, amani yetu hii imetokana na uwepo wa ardhi kubwa kuliko mahitaji ya watanzania pamoja na sera yetu ya ardhi. Siku ardhi ikiwa ndogo kuliko mahitaji ya watu wetu amani yetu itatoweka. Migogoro ya wakulima na wafugaji na wachimbaji ni dalili ya kupungua ardhi ya kufugia na kulima.

Tanzania inataka haitaki ni lazima ipime na kutenga ardhi ya makazi, kilimo, uchunguji, uchimbaji, viwanda na hifadhi. Ardhi hizi zisipunguzwe wala kuongezwa hata kwa sentimita moja. Ni bora watu wajenge nyumba za ghorofa kwenda juu kuliko kusambaa kwenda kumega maeneo mengine yaliyotengwa kwa kazi nyingine.
 
Jambo muhimu sana kulitazama ni hilo la ardhi, kusipokuwepo umakini kwenye suala la ardhi ipo siku tutakutana na madalali watakaoidanganya serikali kubadili sheria za ardhi na mwisho wa siku yatukute yanayoendelea Israel na Palestina
Kitu cha msingi ni kumzuia mgeni kukwepa Kodi , akikwepa Kodi hiyo ni utoroshaji wa mtaji
Turuhusu watu wenye mitaji tu na watu wenye ujuzi maalumu tunaouhitaji. Mfano, tunasema tunahitaji walimu wa kiingereza 2 kila shule ya msingi tanzania. Vinginevyo utahitaji watu wanaokuja kununua bidhaa hapa na kuondoka zao. Tupunguze ushuru wa bidhaa zetu ili bei zivutie watu wengi zaidi wa afrika kuja tanzania kununua bidhaa za ndani na nje hapa kwetu. Yaani tutumie fursa ya kuwa na bandari nyingi Tanzania bara na visiwani kutengeneza soko kubwa sana la bidhaa za ndani na nje.
 
Tanzania inataka haitaki ni lazima ipime na kutenga ardhi ya makazi, kilimo, uchunguji, uchimbaji, viwanda na hifadhi. Ardhi hizi zisipunguzwe wala kuongezwa hata kwa sentimita moja. Ni bora watu wajenge nyumba za ghorofa kwenda juu kuliko kusambaa kwenda kumega maeneo mengine yaliyotengwa kwa kazi nyingine.
Hili ndilo kubwa, na ikibidi kila kaya kama siyo kila raia wagawiwe ardhi kama ilivyokuwa enzi za mashamba ya bega kwa bega
 
Kidogo nimekuelewa hapo kwenye Rushwa iliyokithiri
Mara nimejikuta nahuzunika kwenye ile vita ya wenyewe kwa wenyewe jirani zetu na kuanza kuingiza silaha kubwa kubwa na na kuteka mabasi na kuvamia maduka

Wakati sisi tulikuwa hatujui silaha nzito kihivyo
Na yote hiyo ni baadhi ya wala rushwa waliruhusu haya
Ila Marehemu aliliona hilo akazuia mauwaji na kuwalaza majambazi wengi na wengine kurudi kwao

Ila nafikiri tungejifunza na mengi kutokana na haya pia kujitahidi kudhibiti wizi na uhujumu uchumi na rushwa
Viongozi wengi wa Afrika hawezi kukomesha rushwa nchini mwao kutokana na sababu zifuatazo:
1. Wenyewe ni wanakula rushwa, role model ukila rushwa na wafuasi watakula rushwa,
2. Viongozi wengi wako juu ya sheria inayotokana na kumtea kila mtu akiwemo jaji Mkuu na mwanasheria mkuu.

3. Wamejipa kinga ya kushitakiwa.
4. Hawatoki madarakani wao wenyewe au Chama chao ili kujilinda au kulindwa na kuzaa kulindana.
 
Viongozi wengi wa Afrika hawezi kukomesha rushwa nchini mwao kutokana na sababu zifuatazo:
1. Wenyewe ni wanakula rushwa, role model ukila rushwa na wafuasi watakula rushwa,
2. Viongozi wengi wako juu ya sheria inayotokana na kumtea kila mtu akiwemo jaji Mkuu na mwanasheria mkuu.

3. Wamejipa kinga ya kushitakiwa.
4. Hawatoki madarakani wao wenyewe au Chama chao ili kujilinda au kulindwa na kuzaa kulindana.
Kweli umasikini hautaisha
Ningekuwa Rais ningeajiri foreigners kwenye cabinet yangu

Nakumbuka ubalozi wetu London nilikuta wafanyakazi sijui wachina ila macho madogo
Sababu naona ilikuwa ni waswahili na soga jingi na kusaidiana wakaona waweke wasiokuwa wa nyumbani

Niliwaza tu hivyo
 
Nchi zetu za kiafrika ni vigumu watu wake kutembeleana kwa urahisi bila kukutana na vikwazo mipakani/uhamiaji. Hili limetuchelewesha sana kiuchumi.

Sababu kubwa ya kuzuia wageni kuja nyumbani kwako ni ushaghalabagala uliyoko nyumbani kwako. Kama nyumbani kwako ni kuchafu sana, hakujapangiliwa, Kuna watoto wasiokuwa na nidhamu, hakuna chakula wala viti vya kukalia unaweza kusita kukaribisha wageni nyumbani kwako.

Ili Tanzania iweze kukaribisha wageni lazima mifumo yake ya sheria, TRA, kumiliki ardhi, kutambuana, biashara na masoko iwe imara sana, inayosomana na inayotekelezeka.

Bila kufanya hivyo kufungua mipaka litakuwa janga kubwa sana kwa nchi. Unapofungua madirisha upate hewa safi itaingia hewa safi lakini pamoja na vumbi, majani, mbu, panya, papasi na hewa chafu. Hivyo lazima pia uwe na mifumo imara ya kuvitoa ndani visivyohitajika kuingia.

Hatuna sababu za msingi za kuzuia watu kuja kwetu, hasa wale wenye mitaji na ujuzi.
Dira ya uchumi Tanzania inaeleweka kwa wazawa.
 
Nchi zetu za kiafrika ni vigumu watu wake kutembeleana kwa urahisi bila kukutana na vikwazo mipakani/uhamiaji. Hili limetuchelewesha sana kiuchumi.

Sababu kubwa ya kuzuia wageni kuja nyumbani kwako ni ushaghalabagala uliyoko nyumbani kwako. Kama nyumbani kwako ni kuchafu sana, hakujapangiliwa, Kuna watoto wasiokuwa na nidhamu, hakuna chakula wala viti vya kukalia unaweza kusita kukaribisha wageni nyumbani kwako.

Ili Tanzania iweze kukaribisha wageni lazima mifumo yake ya sheria, TRA, kumiliki ardhi, kutambuana, biashara na masoko iwe imara sana, inayosomana na inayotekelezeka.

Bila kufanya hivyo kufungua mipaka litakuwa janga kubwa sana kwa nchi. Unapofungua madirisha upate hewa safi itaingia hewa safi lakini pamoja na vumbi, majani, mbu, panya, papasi na hewa chafu. Hivyo lazima pia uwe na mifumo imara ya kuvitoa ndani visivyohitajika kuingia.

Hatuna sababu za msingi za kuzuia watu kuja kwetu, hasa wale wenye mitaji na ujuzi.

Hii kufungua fungua, itatupa shida baadaye. Duu sijui tufanyeje, sikuhizi tuna vipwa (vianko) vya kichina vingi balaa. Isije ikawa wachina wanatuandalia jambo.
 
Kweli umasikini hautaisha
Ningekuwa Rais ningeajiri foreigners kwenye cabinet yangu

Nakumbuka ubalozi wetu London nilikuta wafanyakazi sijui wachina ila macho madogo
Sababu naona ilikuwa ni waswahili na soga jingi na kusaidiana wakaona waweke wasiokuwa wa nyumbani

Niliwaza tu hivyo
Waziri Mkuu wao ni sunak, mhindi. Ukerumani Wana waziri manzanita, Iko siku tuhangaike na ujuzi zaidi badala ya uzawa.
 
Hii kufungua fungua, itatupa shida baadaye. Duu sijui tufanyeje, sikuhizi tuna vipwa (vianko) vya kichina vingi balaa. Isije ikawa wachina wanatuandalia jambo.
Sheria za china ni Kali sana kuonyesha kuwa wachina ni wakorofi, wakwepa Kodi na Wala rushwa, kama wakikuta nchi Iko legelege kwenye sheria, hukumu na mifumo yao nchi hiyo haitaambulia kitu.
 
Waziri Mkuu wao ni sunak, mhindi. Ukerumani Wana waziri manzanita, Iko siku tuhangaike na ujuzi zaidi badala ya uzawa.

Waziri Mkuu wao ni sunak, mhindi. Ukerumani Wana waziri manzanita, Iko siku tuhangaike na ujuzi zaidi badala ya uzawa.
Lawama za usalama na kulalamika nchi inachukuliwa na foreigners wakati watz hawataki kujituma hilo ndio sababu kubwa
Wanataka njia za mkato na kupata mlo wa leo tu

Hatuwezi kuwa na ujuzi wowote mkuu
 
Lawama za usalama na kulalamika nchi inachukuliwa na foreigners wakati watz hawataki kujituma hilo ndio sababu kubwa
Wanataka njia za mkato na kupata mlo wa leo tu

Hatuwezi kuwa na ujuzi wowote mkuu
wanataka kutoa mafao kwa wake wa marais
 
wanataka kutoa mafao kwa wake wa marais
Huu ni ujinga kabisa
Kungekuwa na referendum na kupiga kura
Wanakera hawa watu
Wafanyakazi waliostaafu hela zao wanajengea majumba na zingine wanakula
What a shit country
 
Back
Top Bottom