severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Kesho utaamka haupo JF kwa muda.Hahjahahha yaani wewe ni bonge la kumamayo kwn umenivunja mbavu zangu kwa kucheka hakika sikupendi,
"NILI APPLY NIKAKOSA"yaani wewe kidogo nipaliwe na makonyagi haya ninayokunywa sasa,full comedian
We acha tuHa ha ha ulijua kabisa utakuwa unanyonga watu?
Mauaji ya kukusudiaUkiachana na kosa la uhaini...ni makosa gani mengine adhabu yake ni kunyongwa?
😀😀😀😀 ngoja tusubiri wajuvi.Ha ha ha sasa huyo Wa kunyongwa wanafanye wanampachua tu shingo wanamwacha haeleweki eleweki na maumivu au!
mkuu kama kuna nafasi ya MKATA UMEME huko untafute na mie aseeniko hapa nafanya mipango za kwenda kupata dili la kuvuta miili toka chini japo nipate ujira wangu
usijali mkuumkuu kama kuna nafasi ya MKATA UMEME huko untafute na mie asee
hizi fursa adimu kabisa mkuu yani wanashindwa hata kutangaza kwenye vyombo vya habari [emoji144]usijali mkuu
Aisee hii post ya mshanajr leo ni hatari, hadi mtu unakosa furaha ya xmas gaflaMkuu mbona unawatisha wanao Kula Bata za father xmass
unaogopa kufa au kipi kati ya hivyoAisee hii post ya mshanajr leo ni hatari, hadi mtu unakosa furaha ya xmas gafla
Hizo njia za kwenda kufa tu, ndio zinaogofyaunaogopa kufa au kipi kati ya hivyo
[emoji3] [emoji3] usiogope mkuu mbona fresh tu...kufa kufa tuHizo njia za kwenda kufa tu, ndio zinaogofya
Ndio kufa kufa, sema sasa hizo bwebwe za kwenda kufa ndio zinaogofya, au kama vipi mtu uombe uchapwe risasi tu mambo yaishe fasta, sio kuwekana roho juu juuu ndio inaogopesha[emoji3] [emoji3] usiogope mkuu mbona fresh tu...kufa kufa tu
Duh kwa hiyo umemind?Hyo story ilishaletwa humu kitambo sana tena alihojiwa askari mstaafu ambae aliifanya kazi hyo kwa muda usiopungua miaka 25,alihojiwa na waandishi wa habari akaeleza kila kitu mpaka idadi ya watu walionyongwa kuanzia utawala wa nyerere mpaka........
Kila hatua alieleza,huyu kadonoa tu vitu na kuweka hapa
[emoji3] [emoji3] tena unaambiwa kama wakitest mitambo wakiona bado unapumua kuna mtu kazi yake ni kumalizia kudadadeki unakula nyundo fresh tu unadanjaNdio kufa kufa, sema sasa hizo bwebwe za kwenda kufa ndio zinaogofya, au kama vipi mtu uombe uchapwe risasi tu mambo yaishe fasta, sio kuwekana roho juu juuu ndio inaogopesha
Ha haa hi sarakasi ya mnyongaji kudakwa na kusomewa mashataka ipo siku utashangaa jamhuri imekana kuhusika