Kabrasha chumba cha kunyongea

Kabrasha chumba cha kunyongea

Hahjahahha yaani wewe ni bonge la kumamayo kwn umenivunja mbavu zangu kwa kucheka hakika sikupendi,
"NILI APPLY NIKAKOSA"yaani wewe kidogo nipaliwe na makonyagi haya ninayokunywa sasa,full comedian
Kesho utaamka haupo JF kwa muda.
 
niko hapa nafanya mipango za kwenda kupata dili la kuvuta miili toka chini japo nipate ujira wangu
 
Aisee kaka mshanajr hizi mada zako sasa zinatisha, yaani nimeisoma huku napata hofu ya kifo na bafo napenda kuendelea kusoma, hahahahaha
 
Hivi kwa mfano mtu umehukumiwa kufa, huwezi omba uchapwe sirasi moja matata hapo hapo chali, au nilazima hadi hayo mambo ya kukabana koo nk
 
[emoji3] [emoji3] usiogope mkuu mbona fresh tu...kufa kufa tu
Ndio kufa kufa, sema sasa hizo bwebwe za kwenda kufa ndio zinaogofya, au kama vipi mtu uombe uchapwe risasi tu mambo yaishe fasta, sio kuwekana roho juu juuu ndio inaogopesha
 
Hyo story ilishaletwa humu kitambo sana tena alihojiwa askari mstaafu ambae aliifanya kazi hyo kwa muda usiopungua miaka 25,alihojiwa na waandishi wa habari akaeleza kila kitu mpaka idadi ya watu walionyongwa kuanzia utawala wa nyerere mpaka........
Kila hatua alieleza,huyu kadonoa tu vitu na kuweka hapa
Duh kwa hiyo umemind?
 
Ndio kufa kufa, sema sasa hizo bwebwe za kwenda kufa ndio zinaogofya, au kama vipi mtu uombe uchapwe risasi tu mambo yaishe fasta, sio kuwekana roho juu juuu ndio inaogopesha
[emoji3] [emoji3] tena unaambiwa kama wakitest mitambo wakiona bado unapumua kuna mtu kazi yake ni kumalizia kudadadeki unakula nyundo fresh tu unadanja
 
Back
Top Bottom