Watanzania bana, makinikia yanasafiri muda tu, mwendazake alikuwa mtu wa kupiga comedy show za kibabe jukwaani, kisha nyuma ya pazia maisha yanaendelea.
Hayo makinikia yapo safarini zaidi ya miaka 2-3, leo wabunge aliowapachika waje wambadilishie katiba atawale milele, atake asitake, hakuwaachia maagizo ya nini kingine wafanye endapo atarudi kwa Muumba wake. Ndiyo hao kila mtu anatafuta kuonekana ni mbunge machachari anaajua kuihoji serikali.
PM naye anataka kutambulika,kama msimamizi mkuu wa shughuli za serikali, basi tafrani tupu.
Everyday is Saturday............................... 😎