balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Namuona Mzee wa JalalaniAlisema wazi kabisa pasipo kumug'unya maneno kuwa atawamwaga anaohisi wataleta kauzibe.
Je ndio hawa?View attachment 2073642View attachment 2073648View attachment 2073650View attachment 2073651
πππππTutajua mengi sana
ππππNamuona Mzee wa Jalalani
Huyu alijidharau mwenyewe.Namuona Mzee wa Jalalani
Manya1. Lukuvi
2. Kitila
3. Waitara
4. ...
Ongezea
Mimi sijui kama ana taka au hatakiKwahiyo mama Samia hataki kuijenga bandari ya bagamoyo?
Mbona umejikoroga mzee mwenzangu?
Basi kitu kama hujui wacha kukishadadia waachie wenye uelewa
Tutarajie kauli za ajabu kama za akina makonda, Happi, Sabaya, yule mkuu wa mkoa wa mwanza aliyetumbuliwa.Timu ya
watoto wa mjini: January, Nape & Rizi 1. Vijana wa figisu figisu za uchaguzi!! Mama anaangalia 2025!!! No place for Senior Ministers!! Utaanzaje kuongea figisu figisu za uchaguzi na mtu kama Lukuvi au kabudi kwa mfano!! Lakini Riz 1, hata kumtuma makaburini kwake sawz tu!!
Yaani ikiwa hivyo basi spika ni mteule wa raisLukuvi anaandaliwa kuwa Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Kwann 2015 walijitokeza??? hawakusubir 2025???Mwigulu anapenda uraia but beyond 2030,
Huyu yuko group moja na kina january, nape,, etc, hawana pupa umri unawaruhusu kusubiri hata miaka 20 mbele..
Kina ndugai hawawezi subiri miaka hiyo wanataka kugombea now now
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Wewe ukikaziwa macho na palanagamba unavua suruali ndio maanaBaraza la sasa jepesi sana yani biskuti..π
Nchi ni kubwa kuliko huyo lukuvi wako na Kabudi. Wacha kudanganyika.Inashangaza sana, unamtoa LUKUVI? KABUDI? SERIOUSLY? ππππππππππ
Its time siasa ya nchi hii has to change, otherwise tunaenda shimoni. Hawa watu wangeunda political block, huku mtaani hamna anaemkubali mama, wakiamua kabisa kupambana 2025 wanabeba.
Huyu waitara laana ya wana ukonga itamtafuna.Waitara je?
Nyoko wewe kuwa na adabu sio kila mtu ni chizi tu kenge.Wewe ukikaziwa macho na palanagamba unavua suruali ndio maana
Hao wana magenge ya kumsema mama halafu utendaji wao haulizishiNadhani Hawa Rais alikuwa na ugomvi nao mwingine ama ni bangusilo.Kama Kuna homa ya 2025 au kumkwamisha rais basi kawatoa ili kutoa ujumbe kwa big fish wengine waogope.Kuniambia Waitara,Mkumbo,Kabudi na Mwambe eti ni tishio kwa rais 2025 nakataa.Hao ni watu wepesi kabisa kama Alberto Msando na Lijualikali.
Tangu lini ukaiona rais wa JMT kutoka pwani akawa serious na kuleta maendeleo ya nchi hii? Wao wanachuajua ni starehe, kuzurura na kutumbua kodi za watanganyika tu. Kamwe jasiri haiachi asili yake.Alitaka kuwaingiza kwenye baraza nappe, ridhwani na pindi chana. Naona ameanza unda pwanigang. Eti 'exit sukumangang enter pwanigang' πππ€Έπ€ΈββοΈπππΆπ€π€π
Urais wenyewe kaupata kirahisi hivyo kwa mbeleko ndio maana anaogopa 2025 maana anaujua mziki wa kampeni ulivyo.Na hapo bado wapinzani wanausoma mchezo ili waje kumtoa kwenye reli kirahisi zaidi.Hapana, wana ajenda yao fulani ila maneno ya kumwambia mwananchi wa kawaida,