Tetesi: Kabudi: Sifahamu wao kuhusu mimi nimechagua kuishi

Tetesi: Kabudi: Sifahamu wao kuhusu mimi nimechagua kuishi

Viongozi waoga kama hawa, hawatufai kabisa.
Kiongozi lazima ajitoe muhanga kwa ajili ya anaowaongoza. Na ndiyo maana huwa tunawapa heshima na taadhima zote kama viongozi wetu. Sasa cha kushangaza, asilimia kubwa ya viongozi tulio nao, wanapenda tu heshima na privilege zingine za kiongozi, ila ni waoga sana linapokuja suala la kuji-sacrifice!
Ndo maana nathubutu kusema sisi kama nchi, tumebahatika kuwa na viongozi kwa maana ya viongozi kweli wachache sana kama vile Hayati JPM, JKN, Sokoine, BWM, Gen Mtukula, n.k. wengine ni wapigaji tu kama wapigaji wengine.
Ulaya usingesikia kiongozi kama Kabudi tena mwenye elimu ya Profesa akakaa kimya bila kutoa maoni yake kuhusiana na suala linalovunja baadhi ya vifungu kwenye sheria mama ya nchi kama Katiba. Mbaya zaidi tena suala lenyewe lipo kwenye eneo lake la kujidai.

Useless kabisa, sasa anao watoto na wajukuu na vitukuu...asipowapigania vyema kuweka mazingira mazuri ya wao kuja kuishi kwenye nchi nzuri faida yake ni nini sasa? Akumbuke kuwa kwa umri wake ata akijaliwa kuja kufa kwa natural death hawezi kuishi zaidi ya miaka 40 kutoka sasa...anachogopa ni nini sasa.

Eti profesa.
 
Ulaya usingesikia kiongozi kama Kabudi tena mwenye elimu ya Profesa akakaa kimya bila kutoa maoni yake kuhusiana na suala linalovunja baadhi ya vifungu kwenye sheria mama ya nchi kama Katiba. Mbaya zaidi tena suala lenyewe lipo kwenye eneo lake la kujidai.

Useless kabisa, sasa anao watoto na wajukuu na vitukuu...asipowapigania vyema kuweka mazingira mazuri ya wao kuja kuishi kwenye nchi nzuri faida yake ni nini sasa? Akumbuke kuwa kwa umri wake ata akijaliwa kuja kufa kwa natural death hawezi kuishi zaidi ya miaka 40 kutoka sasa...anachogopa ni nini sasa.

Eti profesa.
Useless leaders!
Yaani nakuhakikishia kuna watu wakishakufa, wanasahaulika hata kabla hawajazikwa kutokana na maisha yao kutokuwa na mguso kwa watu waliokuwa wanawaongoza.

Yaani inauma sana pale watu wanaishi kifahari kwa kodi zetu, halafu kututetea tu hata walau kwa maneno, "eti nina watoto na wajukuu", nonsense kabisa!
 
"....mwanangu nina watoto kama wewe na wajukuu pia katika muktadha huo hunibidi hasa kwa wakati huu ning'amue baadhi ya mambo kwa umakini mkubwa na ndiyo maana nimekujuza kuhusu u muhimu wa umri niliobakiwa nao niutumie kuishi vyema na wao."

"....jawabu langu li bayana sitogombea!"

Profesa.
Akigombea watoto watampoteza Nini?
 
Wote hawatarudi

Mambo yatabadilika sana
Watanzania tutaamua.
Ngoja tuendelee kuwavumilia.
Wengi baada ya kuingia bungeni, basi wanatuona wote ambao tuko nje ya bunge kama kwamba hatuna akili na hakuna chochote tunaweza kusema kuhusu nchi yetu!
Mungu yupo!
 
Viongozi waoga kama hawa, hawatufai kabisa.
Kiongozi lazima ajitoe muhanga kwa ajili ya anaowaongoza. Na ndiyo maana huwa tunawapa heshima na taadhima zote kama viongozi wetu. Sasa cha kushangaza, asilimia kubwa ya viongozi tulio nao, wanapenda tu heshima na privilege zingine za kiongozi, ila ni waoga sana linapokuja suala la kuji-sacrifice!
Ndo maana nathubutu kusema sisi kama nchi, tumebahatika kuwa na viongozi kwa maana ya viongozi kweli wachache sana kama vile Hayati JPM, JKN, Sokoine, BWM, Gen Mtukula, n.k. wengine ni wapigaji tu kama wapigaji wengine.
aka vibaka!
 
Kabudi ni one of the greatest minds nchini. Ni vile tu anaelewa mambo mengi mno kiasi kwamba inakuwa ngumu kueleweka na wengi (ambao ni mbumbumbu).
Mtu anayejua mambo mengi ya maana hawezi kuwa anajipendekeza kama yeye. Huenda kweli anajua mambo mengi, lakini mengi ni yaliyopitwa na wakati au hayana maana kabisa.
 
Back
Top Bottom