Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi waoga kama hawa, hawatufai kabisa.
Kiongozi lazima ajitoe muhanga kwa ajili ya anaowaongoza. Na ndiyo maana huwa tunawapa heshima na taadhima zote kama viongozi wetu. Sasa cha kushangaza, asilimia kubwa ya viongozi tulio nao, wanapenda tu heshima na privilege zingine za kiongozi, ila ni waoga sana linapokuja suala la kuji-sacrifice!
Ndo maana nathubutu kusema sisi kama nchi, tumebahatika kuwa na viongozi kwa maana ya viongozi kweli wachache sana kama vile Hayati JPM, JKN, Sokoine, BWM, Gen Mtukula, n.k. wengine ni wapigaji tu kama wapigaji wengine.
Akili kubwa aitoe wapi, huyo aliyekunywa dawa hadharani ambayo haina udhibitisho wa Kimaabara, halafu anakuja na story za kijinga eti hii dawa kule Madagascar anagawa rais tu.Licha kwamba ccm siitaki! Lakini ukweli ni kwamba, Kabudi ni akili kubwa! Mengine ni siasa za kijinga
Hivi Tanzania inafuata itikadi gani ya siasa,ni nchi ya Kijamaa au ya Kibepar
Huyu dingi akiwa waziri mambo ya nje Tanzania tuliingia uhasama na Kenya, Rwanda, marekani na umoja wa ulaya, just imagine Kwa muda mfupi alivokaa wizara hiyo kavuruga mahusiano laiti mama angechelewa kumtoa asaivi tungekuwa na mafarakano dunia nzimaDiplomasia ipi aliua unaweza kueleza
On point chiefKabisa mkuu..
Kwanza akiwa anaongea aboi, ni mburudishaji, muelimishaji na mjuzi
Desturi yetu watanzania kumchukia mtu aliyekuzidi mafanikio..
Mbumbumbu anapojifaya mwerevu sasa! AIBUKabudi ni one of the greatest minds nchini. Ni vile tu anaelewa mambo mengi mno kiasi kwamba inakuwa ngumu kueleweka na wengi (ambao ni mbumbumbu).
We ungejiunga na chama Gani mkuu?Kabudi ni mfano wa wasomi wengi wa kitanzania walivyo, wengi ni waganga njaa tu ndio maana ktk kupambana na maisha lazima wajiunge na ccm ili wapate short cut ya maisha. Bure kabisa.
Professa ni mzuri kwenye mihadhara yenye lengo la kukosoa."....mwanangu nina watoto kama wewe na wajukuu pia katika muktadha huo hunibidi hasa kwa wakati huu ning'amue baadhi ya mambo kwa umakini mkubwa na ndiyo maana nimekujuza kuhusu u muhimu wa umri niliobakiwa nao niutumie kuishi vyema na wao."
"....jawabu langu li bayana sitogombea!"
Profesa.
Kwani alishawahi kugombea na kushinda?lini na wapi? Hivi kabudi hiyo siasa aliifanya wapi hadi axhaguliwe kuwa mbunge hapo 2020."....mwanangu nina watoto kama wewe na wajukuu pia katika muktadha huo hunibidi hasa kwa wakati huu ning'amue baadhi ya mambo kwa umakini mkubwa na ndiyo maana nimekujuza kuhusu u muhimu wa umri niliobakiwa nao niutumie kuishi vyema na wao."
"....jawabu langu li bayana sitogombea!"
Profesa.
Sio lazima ujiunge na chama chochote cha siasa, ni sawa tu na dini kwani sio lazima uwe muumini wa dini yoyote eti ndio uingie mbinguni. Hizi dini ni usanii tu wa wanadamu.We ungejiunga na chama Gani mkuu?
Mfalme amekaa uchi wa mnyama mbele ya halaiki, huku akiwa ameaminishwa kuwa kavaa nguo ya ghali sana na yenye thamani kubwa kupitiliza. Ila kaaminishwa ukiwa mdhambi huwezi kuiona wala kuhisi uwepo wake!"....mwanangu nina watoto kama wewe na wajukuu pia katika muktadha huo hunibidi hasa kwa wakati huu ning'amue baadhi ya mambo kwa umakini mkubwa na ndiyo maana nimekujuza kuhusu u muhimu wa umri niliobakiwa nao niutumie kuishi vyema na wao."
"....jawabu langu li bayana sitogombea!"
Profesa.