Kabudi: Tanzania imeweka historia, ndio nchi ya kwanza Afrika kusaini mkataba wa hisa isiyofifishwa

Kabudi: Tanzania imeweka historia, ndio nchi ya kwanza Afrika kusaini mkataba wa hisa isiyofifishwa

Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
Kama kweli Kabudi ameyatamka hayo, basi ni aheri angekuwa mhunzi kuliko kuwa kuitwa profesa, halafu unakuwa hujui chochote.

Ukweli ni kwamba free carried shares kwa nchi zote zenye hiyo sheria huwa non-dilutable.

Kwa mtu hata mwenye uelewa mdogo tu, uta-dilute vipi shares ambazo hazina value, na wala hujazinunua kwa thamani ya pesa yoyote? Kama halijui hata jambo dogo kama hili, basi hata huko kwenye hiyo mikataba kutakuwa na madudu ya ajabu!

Ninyi mnaosikiliza huo uwongo wake mwambieni awatajie japo nchi moja yenye free carried shares zinazokuwa diluted.
 
Kuna watu Wana chuki binafsi na Prof.Kabudi na vita anayopigwa ni hofu waliyonayo dhidi yake lakini ukweli nawaambia Mungu atamuinua mzalendo huyu na wasiamini macho yao
Kabudi anawafaa sana wajinga, watu wasioelewa chochote. Kwanza hicho alichokisema ni uwongo mkubwa, lakini wajinga wanaamini.

Mali, Ghana na nchi zote zenye sheria ya free carried shares, hizo free carried shares ni non-dilutable. Kabudi anatamka aliyoyatamka kwa vile anajua kuwa nchi imejaa wajinga.
 

Botswana wana 24% share ya mgodi wao wa almasi na De Beers; na sasa hivi wapo kwenye renegotiations wanataka 50% sio economic split kama sisi na Barrick.

Watu wamewekeza $2 billion miaka zaidi ya 20 bado wana 84% ya mgodi ambao kwa mwaka unazalisha $1 billion, halafu unajitapa. Si ajabu na huko wametumia hiyo hiyo model ya Kabudi kwenye mkataba wa Twiga.

Kabudi sio mtu wa kujadili mikataba ya kibiashara hayo mambo ni finance sasa Kabudi na hayo mambo wapi na wapi. Anachojua yeye toka aingie kwenye siasa ni kulamba miguu tu, akiulizwa ameona mikataba mingapi Africa mpaka ajitape huo ni wakipekee hawezi kuwa na majibu.
Inaonekana hajui chochote kabisa.

Nchi ya ajabu sana hii. Hii ndiyo nchi pekee ambayo bwana shamba anaweza kusimama na kujitapa amewatibu wagonjwa wengi kuliko daktari yeyote, na watu wakamshangilia kwa umahiri wake japo hawajamwona hata mtu mmpja aliyewahi kutibiwa na huyo bwana shamba.

Kabudi hajui chochote kwenye mikataba ya madini. Hata akiulizwa huwa kuna miktaba ya aina ngapi ambayo ni common kwenye madini, hawezi kujibu. Ndiyo maana alijitapa sana kwenye mktaba wa Twiga Minerals, wakati ukweli ni kwamba Barrick wame-win sana ule mkataba uliopokonya nguvu ya Serikali. Serikali kwenye mkataba wa sasa na Barrick haina uwezo wa kuzuia export ya madini hata kukiwa na dispute. Na dispute lazima iwe resolved within 30 days. Baada ya hapo mahakama ya kimataifa ya Singapore inaingilia kati na kuchunguza na kisha kutoa maamuzi yasiyokatiwa rufaa mahali popote.
 
Inaonekana hajui chochote kabisa.

Nchi ya ajabu sana hii. Hii ndiyo nchi pekee ambayo bwana shamba anaweza kusimama na kujitapa amewatibu wagonjwa wengi kuliko daktari yeyote, na watu wakamshangilia kwa umahiri wake japo hawajamwona hata mtu mmpja aliyewahi kutibiwa na huyo bwana shamba.

Kabudi hajui chochote kwenye mikataba ya madini. Hata akiulizwa huwa kuna miktaba ya aina ngapi ambayo ni common kwenye madini, hawezi kujibu. Ndiyo maana alijitapa sana kwenye mktaba wa Twiga Minerals, wakati ukweli ni kwamba Barrick wame-win sana ule mkataba uliopokonya nguvu ya Serikali. Serikali kwenye mkataba wa sasa na Barrick haina uwezo wa kuzuia export ya madini hata kukiwa na dispute. Na dispute lazima iwe resolved within 30 days. Baada ya hapo mahakama ya kimataifa ya Singapore inaingilia kati na kuchunguza na kisha kutoa maamuzi yasiyokatiwa rufaa mahali popote.
Hizo ndio sababu nchi nyingine huwa wana train industry expert baadae wakasome masters law mwaka mmoja au miwili sio ata lazima wawe wanasheria kamili.

Unaingia kwenye negotiation unakutana LLB mtaalamu maswala ya management kwenye extractive industry au oil and gas, unakutana na tax lawyer (usually hawa ni qualified accountants nchi za wenzetu), kuna geologists, kuna mtaalamu wa international law, mtaalamu wa dispute resolution na kila ghasia muhimu kwenye mkataba husika (wote hao well trained in negotiations skills on top of their qualifications).

Halafu wewe una timu inayoongozwa na Kabudi hana uelewa wowote wa biashara, finance, geology wala industry husika; unapigwa kabla majadiliano ayajaanza.

Ni sawa na kumsikiliza January akiongelea mkataba wa ‘oil and gas’ kwenye kichwa chake easy ngoja ukosee uingie kichwa kichwa utapigwa kwa muda mrefu sana. Hayo mambo bei ya nishati tu inachangia nini unapata bei ikishuka sana watu wanaendelea kuzalisha na wewe usipate chochote kama hujui source ya hizo $30 billion unazoshadadia tena ambazo likely ni over estimated investment ili wanyonye tu kwa muda mrefu.
 
Hizo ndio sababu nchi nyingine huwa wana train industry expert baadae wakasome masters law mwaka mmoja au miwili sio ata lazima wawe wanasheria kamili.

Unaingia kwenye negotiation unakutana LLB mtaalamu maswala ya management kwenye extractive industry au oil and gas, unakutana na tax lawyer (usually hawa ni qualified accountants nchi za wenzetu), kuna geologists, kuna mtaalamu wa international law, mtaalamu wa dispute resolution na kila ghasia muhimu kwenye mkataba husika (wote hao well trained in negotiations skills on top of their qualifications).

Halafu wewe una timu inayoongozwa na Kabudi hana uelewa wowote wa biashara, finance, geology wala industry husika; unapigwa kabla majadiliano ayajaanza.

Ni sawa na kumsikiliza January akiongelea mkataba wa ‘oil and gas’ kwenye kichwa chake easy ngoja ukosee uingie kichwa kichwa utapigwa kwa muda mrefu sana. Hayo mambo bei ya nishati tu inachangia nini unapata bei ikishuka sana watu wanaendelea kuzalisha na wewe usipate chochote kama hujui source ya hizo $30 billion unazoshadadia tena ambazo likely ni over estimated investment ili wanyonye tu kwa muda mrefu.
Umenena vizuri sana.

Ukweli ile timu ya Kabudi Vs Barrick, ile ya Kabudi ilikuwa kichekesho kitupu. Halafu Kabudi akawa anajitapa eti timu ya Barrick ilikuwa na wajumbe 20, sisi tulikuwa wanne tu, tukawashinda. Ilikuwa ni sawa na mwanafunzi ambaye hajaelewa hata swali halafu anajitapa eti mtihani ulikuwa rahisi sana.

Bahati, sisi wengine tulikuwa na access ya inside plans za Barrick. Kwanza Barrick waliweka strategy ya kwanza kwamba hata iweje, hawataki wapate hasara.

Kwenye hilo wakakubaliana kuwa bila ya kujali final outcome itakuwa nini, lazima mazungumzo yavutwe mpaka ufike mwaka mmoja. Kwa sababu wakati makinikia yao yanazuiliwa walikuwa wametoka kufanya underground development ya Gokona kule North Mara iliyokuwa imewagharimu dola milioni 80. Kwa kuvuta mazungumzo yaende kwa mwaka mzima, na wao wakiendelea na uchimbaji, katika kipindi hicho pesa yao hiyo dola 80m itakuwa imerudi.

Strategy ya pili ilikuwa baada ya kurudisha hiyo dola 80m, wana uwezo wa kuonesha kiburi, na kama Serikali itawafukuza, watakwenda kwenye arbitration, na kwa vile wana uhakika wa kushinda, chochote watakacholipwa itakuwa ni faida.

Mwanzoni walikubaliana kuwa wapole kwa sababu kama wangeonesha kiburi, Serikali ikawafukuza, japo wangeshinda mahakamani, lakini Serikali ya JMT, huenda ingechukua muda mrefu kuwalipa kile ambacho kingekuwa kimeamriwa na mahakama ya usuluhishi. Na wao hawakutaka pesa yao isiwe mikononi mwao.

Baada ya mwaka mmoja wakawa wamepata dola 120m. Baada ya hapo wakawa na kiburi. Na Serikali ikawa kwenye weak position. Barrick aka-dictate mkataba. Ndiyo maana ule mkataba unawapa faida zaidi Barrick, na unahakikisha yale waliyofanyiwa mwanzo na Serikali, hayatokei tena.

Katika timu ile ya watu 20, kila mmoja alikuwa na jukumu lake. Na ilikuwa ni timu ya super intelligents. Lakini akina Kabudi wakiwa wanne wakajiona wao ni miamba.

Niliwahi kuisikiliza speech ya President wa Barrick. Yeye anasema Barrick tangu ianzishwe haijawahi kutengeneza hasara hata mwaka mmoja. Na hiyo imewezekana kutokana na aina ya watu wake. Na akamaliza kwa kusema, "every best person must work with Barrick"
 
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.

Ha ha ha Tanzania Kwa kuweka history ndio yenyewe
 
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
Mbona mnambeza kila kukicha?
 
Inaonekana hajui chochote kabisa.

Nchi ya ajabu sana hii. Hii ndiyo nchi pekee ambayo bwana shamba anaweza kusimama na kujitapa amewatibu wagonjwa wengi kuliko daktari yeyote, na watu wakamshangilia kwa umahiri wake japo hawajamwona hata mtu mmpja aliyewahi kutibiwa na huyo bwana shamba.

Kabudi hajui chochote kwenye mikataba ya madini. Hata akiulizwa huwa kuna miktaba ya aina ngapi ambayo ni common kwenye madini, hawezi kujibu. Ndiyo maana alijitapa sana kwenye mktaba wa Twiga Minerals, wakati ukweli ni kwamba Barrick wame-win sana ule mkataba uliopokonya nguvu ya Serikali. Serikali kwenye mkataba wa sasa na Barrick haina uwezo wa kuzuia export ya madini hata kukiwa na dispute. Na dispute lazima iwe resolved within 30 days. Baada ya hapo mahakama ya kimataifa ya Singapore inaingilia kati na kuchunguza na kisha kutoa maamuzi yasiyokatiwa rufaa mahali popote.
Compare na huyu prof mwingine.

 
Back
Top Bottom