Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti chadema wanataka maandamano 😁😁😁😁Nakazia "TUTUNZE AMANI"
Nakazia "TUTUNZE AMANI"
Hizi picha ni propaganda Tu za western countries kwasabb mpaka wanachukua udhibiti hapajatokea umwagikaji damu.
Wananchi wenyewe wamefurahi sana Taliban fighters kuongoza nchi
Tutume Dream-liner likatuletee ila bahati mbaya limeenda Malawi kumpeleka bibi kwenye kikao.Wale wanaotaka pisi kali za kiarabu wanaweza kupata totoz kutoka huko na kuzipa political asylum
Hili ni fundisho kwa Watanzania, mabeberu sio wajomba zetu,kikiumana wao wanakwea pipa na akina Lissu wao na kuwaacha mnaodai katiba ya Warioba(Warioba nae anang'ang'ania hiyo katiba ili apate ujiko wa ''rasimu ya Warioba''. Hapo ndio tujue hakuna Tanzania ingine na tutakoumia ni sisi wanyonge, wenzetu wanaochochea vurugu wana makazi ya kudumu huko ughaibuni.Hali si hali huko Afghanistan [emoji1023] kwenye mji mkuu Kabul...baada ya Taliban kutwaa udhibiti raia wamekimbilia Airport wakitaka kuihama nchi. Hali ni tete kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya kimataifa.
Tutunze amani. View attachment 1894734View attachment 1894735
Mbona Kama haina tairiHali si hali huko Afghanistan [emoji1023] kwenye mji mkuu Kabul...baada ya Taliban kutwaa udhibiti raia wamekimbilia Airport wakitaka kuihama nchi. Hali ni tete kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya kimataifa.
Tutunze amani. View attachment 1894734View attachment 1894735
Wacha udini wewe. Hapo Kila mtu anahitaji kuokoa nafsi kumbuka mioyoni mwao wamejaa hofu.Haohao Raia wanaodandia ndege wakifika uingereza/ ufaransa wanaanza kulilia Sharia iwekwe ufaransa Na kuanza kuwachinja watu wanaoupinga Uislam huko ufaransa.... The irony
Hawa jamaa kama ukoo wa CDM,wanapenda maandamano....mbayaa!.Hali si hali huko Afghanistan [emoji1023] kwenye mji mkuu Kabul...baada ya Taliban kutwaa udhibiti raia wamekimbilia Airport wakitaka kuihama nchi. Hali ni tete kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya kimataifa.
Tutunze amani. View attachment 1894734View attachment 1894735
Mimi sijasema hawajajawa hofu Wala hawahitaji kuokoa nafsi zao...Mimi nimecomment on provable pattern ya haya matukio jinsi wakifika nchi Salama Za demokrasia huwa wanasahau walikotoka wanataka waimpose vitu walivyovikimbia kwao.Wacha udini wewe. Hapo Kila mtu anahitaji kuokoa nafsi kumbuka mioyoni mwao wamejaa hofu.
Usipotoshe mkuu..Hizi picha ni propaganda Tu za western countries kwasabb mpaka wanachukua udhibiti hapajatokea umwagikaji damu...
Wananchi wenyewe wamefurahi sana Taliban fighters kuongoza nchi
Kama ni kweli iweje utaje dhehebu? Badala ya uraia? Au ungetumia lugha nyepesi isio leta maudhi kwa wengine.Mimi sijasema hawajajawa hofu Wala hawahitaji kuokoa nafsi zao...Mimi nimecomment on provable pattern ya haya matukio jinsi wakifika nchi Salama Za demokrasia huwa wanasahau walikotoka wanataka waimpose vitu walivyovikimbia kwao.
Wanasemaga Aljazeera sio credible source ..wanasemaga Aljazeera Ni Chanel ya wamarekani.Usipotoshe mkuu..
Mbona 'Aljazeera' ambayo ni ya Uarabuni huko Doha wameonesha Live hizo video?!!
Uki-tune huko utaona