Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wewe mwenye akili jibu hili swali,
"Ni nchi gani salama kwenye hii dunia ambapo hao watu huwa wanasahau walikotoka na kuchinja raia? Ufaransa na Uingereza lini walichinjwa na hao watu?"
Ni simple tu na haihitaji link wala references, jibu ni kwamba Dunia haiko salama, yaani hakuna sehemu salama kwenye hii dunia.View attachment 1895475View attachment 1895473View attachment 1895474
Haya nawewe nimekuuliza...Ni nchi Gani Salama kwenye hii Dunia ambayo Hawa watu walifika WAKAACHA kuchinja raia.? Huku wakilia Allahu ahmaq?
Kwahyo kwasababu Tanzania sio Salama Ni ruksa/haki yako wewe kutembea mtaani Na bisu ukichoma watu huku unapiga makelele "Allahu ahmaq"?Ni simple tu na haihitaji link wala references, jibu ni kwamba Dunia haiko salama, yaani hakuna sehemu salama kwenye hii dunia.
Kama unaona kuna sehemu salama hiyo ni wewe
Niwachome watu kwa sababu zipi? Nikikwambia usirudie kuandika unarudia tu, tafuta kamusi za dunia nzima uniambie"Allahu ahmaq" ni nini,"Allahu ahmaq"?
Allahu ahmaq sio hoja huo Ni mfano Tu...Sasa kwasababu umeshindwa kujibu hoja unang'ang'ania hapo tuNiwachome watu kwa sababu zipi? Nikikwambia usirudie kuandika unarudia tu, tafuta kamusi za dunia nzima uniambie"Allahu ahmaq" ni nini,
Narudia tena huna unalolijua usirudie kuandika please broo
Huyo jamaa ana matatizo makubwa sana.Pole sana kwa kubakwa na hao waarabu,unaendeleaje lakini?
kabisa tutunze amani yetu watanzania.Hali si hali huko Afghanistan [emoji1023] kwenye mji mkuu Kabul baada ya Taliban kutwaa udhibiti raia wamekimbilia Airport wakitaka kuihama nchi. Hali ni tete kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya kimataifa.
Tutunze amani.