Kabul, Afghanistan: Wananchi wadandia ndege baada ya Taliban kutwaa Ikulu ya Rais

Kabul, Afghanistan: Wananchi wadandia ndege baada ya Taliban kutwaa Ikulu ya Rais

Naagiza serikali ya Tz kupeleka ndege zote wanazomiliki kwa ajili ya kuleta wanawake tuu wa Afghanistan umri kuanzia 15-40
 
Kwa wewe mwenye akili jibu hili swali,

"Ni nchi gani salama kwenye hii dunia ambapo hao watu huwa wanasahau walikotoka na kuchinja raia? Ufaransa na Uingereza lini walichinjwa na hao watu?"

Screenshot_20210817-125955.jpg
View attachment 1895473View attachment 1895474
Haya nawewe nimekuuliza...Ni nchi Gani Salama kwenye hii Dunia ambayo Hawa watu walifika WAKAACHA kuchinja raia.? Huku wakilia Allahu ahmaq?
 
Ni simple tu na haihitaji link wala references, jibu ni kwamba Dunia haiko salama, yaani hakuna sehemu salama kwenye hii dunia.
Kama unaona kuna sehemu salama hiyo ni wewe
Kwahyo kwasababu Tanzania sio Salama Ni ruksa/haki yako wewe kutembea mtaani Na bisu ukichoma watu huku unapiga makelele "Allahu ahmaq"?
 
"Allahu ahmaq"?
Niwachome watu kwa sababu zipi? Nikikwambia usirudie kuandika unarudia tu, tafuta kamusi za dunia nzima uniambie"Allahu ahmaq" ni nini,
Narudia tena huna unalolijua usirudie kuandika please broo
 
Niwachome watu kwa sababu zipi? Nikikwambia usirudie kuandika unarudia tu, tafuta kamusi za dunia nzima uniambie"Allahu ahmaq" ni nini,
Narudia tena huna unalolijua usirudie kuandika please broo
Allahu ahmaq sio hoja huo Ni mfano Tu...Sasa kwasababu umeshindwa kujibu hoja unang'ang'ania hapo tu
 
Back
Top Bottom