Siku nyingine usirudie tena kusema maana utashindwa tu,nchi Ni nyingi mpaka nmeshindwa kuchagua...Swali lisiwe Ni nchi Gani wameshasumbua...Swali labda Liwe Ni nchi Gani imepokea wakimbizi kutoka hizo nchi halafu haijapatwa Na matukio ya uchinjaji,uvamizi,ghasia kwasababu Za kidini....labda ntapata tabu kuipata hiyo nchi
hiyo taarifa ya kuto kumwagika damu umetoa wap? kama sio propaganda hizo?Hizi picha ni propaganda Tu za western countries kwasabb mpaka wanachukua udhibiti hapajatokea umwagikaji damu...
Wananchi wenyewe wamefurahi sana Taliban fighters kuongoza nchi
HujamuelewaKama ni propaganda si na wewe uende kufanya hizo propaganda?? Naangalia hapa BBC, Al Jazeera etc wanaonyesha ndege zinaondoka Airport watu wanakimbilia na kuna ambao wamedandia kwa nje ndege ilivyoruka wakaanguka na kufariki hapo hapo...
Wamerekani na wayahudi weusi wameumizwa sana na ushindi wa Taliban. HahaahahhaWatu mmekua vichaa na mambo ya watalebani kiasi kwamba hata mtu hajuwi anachoandika.
Ulihitimu darasa la saba?umeelewa nilichoandika??Siku nyingine usirudie tena kusema maana utashindwa tu,
Religious enslaved.
Umegundua eeh,bora tozo[emoji16]...Bora tozo....
Talibani 👍Wamerekani na wayahudi weusi wameumizwa sana na ushindi wa Taliban. Hahaahahha
Hizi picha ni propaganda Tu za western countries kwasabb mpaka wanachukua udhibiti hapajatokea umwagikaji damu...
Wananchi wenyewe wamefurahi sana Taliban fighters kuongoza nchi
Hivi nyie watu mbona mnakua na ujinga uliopitiliza?Wale wanaotaka pisi kali za kiarabu wanaweza kupata totoz kutoka huko na kuzipa political asylum
We Mama udini unakutesa sana,kila thd lazima uingize upumbavu wako.Haohao Raia wanaodandia ndege wakifika uingereza/ ufaransa wanaanza kulilia Sharia iwekwe ufaransa Na kuanza kuwachinja watu wanaoupinga Uislam huko ufaransa.... The irony
Hivi nyie watu mbona mnakua na ujinga uliopitiliza?
Aliye kwambia Afghanistan ni waarabu ni nani?
Kampikie mumeo chai ili usije achika wewe hamnazo,hizi mada hazikufai,zinahitaji watu wanao waza deep,inaonekana Uislamu unakutafuna sana nafsi yako.Wanasemaga Aljazeera sio credible source ..wanasemaga Aljazeera Ni Chanel ya wamarekani.
Ukiwauliza credible source ya habari hapa duniani ambayo mtaiamini Ni ipi wanakwambia Ni Quran,Hadith Na Wanazuoni mashekhe
Pole sana kwa kubakwa na hao waarabu,unaendeleaje lakini?Afghanistan sio waarabu ila waanakili za kijinga km waarabu
Kuchinja watu na kubaka wtt na wanawake kwao ni thawwbu
Pole sana kwa kubakwa na hao waarabu,unaendeleaje lakini?
Wewe ulitaka waweke zile sheria zenu za Mashoga kufungishwa ndoa?