The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe ni kituko humu JF hakuna asiyekujua,hujawahi kuchangia kitu cha maana humu zaidi ya chuki ya udini,inaonekana uliachika toka kwa mtu wa hiyo dini ndio ukaamua kuchukia mpaka dini yake.Ulihitimu darasa la saba?umeelewa nilichoandika?
Yani sjashindwa kukujibu...nina majibu mengi mpaka nmeshindwa kuchagua...
Ndomana nkakuambia ubadilishe swali...Usiulize nchi Gani wameenda wakasumbua uniulize Ni nchi Gani wameenda hawajasumbua maana Kwa kumbukumbu zangu finyu Ni nchi zote walizoenda wamesumbua
Aisifuye mvua jua imenyeshea,pole sana,kesi za ubakaji zipo Dunia nzima,fikirisha hilo bichwa.Mm sjabakwa ila wanabaka ndugu zao
OyezWale wanaotaka pisi kali za kiarabu wanaweza kupata totoz kutoka huko na kuzipa political asylum
Hii naonaga ni changa la macho.....Haki Huinua Taifa msitake kuubiri amani pasipo na haki
Hamia huko kwa Taliban upigwe viboko vya kutosha usipovaa niqabHizi picha ni propaganda Tu za western countries kwasabb mpaka wanachukua udhibiti hapajatokea umwagikaji damu...
Wananchi wenyewe wamefurahi sana Taliban fighters kuongoza nchi
Tusipende kujilinganisha na failed states kama Afghanistan, Somali na Haiti. Tujilinganishe na wenzetu tuliokuwa nao level moja mwaka 1961 na sasa wako mbali, Hao ni Korea Kusini, Veitnam, SingaporeBora tozo....
Hata wangeleta ndege 1000 zisingetoshaNimeiona Al Jazeera aisee kwenye lile dege la kijeshi la Marekani, kiukweli inatisha sanaa, wamekufa watu watatu walioidandia ndege kwa nje kwani wakati lile dege linapaa wakaanguka wakati tayari liko juu...
Mkuu upo serious kweli?Hao waliozunguka ndege Ni wamarekani wamepandikizwa Tu kuishangilia Ndege....Waafghanistan wa ukweli WaPo nyumbani wanashangilia kutawaliwa Na Dola ya haki ya kiislam(Dini ya Amani)
Propaganda za Africans ni zipi au wao wapo wapo tu kama Mang'ombe ?Hizi picha ni propaganda Tu za western countries kwasabb mpaka wanachukua udhibiti hapajatokea umwagikaji damu...
Wananchi wenyewe wamefurahi sana Taliban fighters kuongoza nchi
Haya yote yametoka wapi?Wewe ulitaka waweke zile sheria zenu za Mashoga kufungishwa ndoa?
Ulitaka waruhusu ndoa za jinsia moja kama hao wazungu unao waabudu?
Siku ukija Na hoja badala ya mipasho....nishtue ndo ntakureply...Hii ndo last reply yangu kwakoWewe ni kituko humu JF hakuna asiyekujua,hujawahi kuchangia kitu cha maana humu zaidi ya chuki ya udini,inaonekana uliachika toka kwa mtu wa hiyo dini ndio ukaamua kuchukia mpaka dini yake.
Wewe ni mtu wa kujadili hoja au mtu wa chuki za udini? Huna hoja yeyote humu JF,comment zako zote ni za kijinga jinga tu,ila dawa yako ninayo,utapona tu,dozi zipo za kutosha.Siku ukija Na hoja badala ya mipasho....nishtue ndo ntakureply...Hii ndo last reply yangu kwako
Hii naonaga ni changa la macho.....
mizungu imetutumikisha na bado imeendelea kutuzidi.......
ww umekomaa na haki huinua taifa
Wawapeleke wapi?Nimeiona Al Jazeera aisee kwenye lile dege la kijeshi la Marekani, kiukweli inatisha sanaa, wamekufa watu watatu walioidandia ndege kwa nje kwani wakati lile dege linapaa wakaanguka wakati tayari liko juu...
Niliishia la 3C, usirudie kuandika niamini mimi broo, haujui kituUlihitimu darasa la saba?umeelewa nilichoandika??
Yani sjashindwa kukujibu...nina majibu mengi mpaka nmeshindwa kuchagua...
Ndomana nkakuambia ubadilishe swali...Usiulize nchi Gani wameenda wakasumbua uniulize Ni nchi Gani wameenda hawajasumbua maana Kwa kumbukumbu zangu finyu Ni nchi zote walizoenda wamesumbua
Nimekupata soma Sana Mdogo wanguNiliishia la 3C, usirudie kuandika niamini mimi broo
Ni muda wa kutafuta hela sio kusoma, wewe soma nikipata hela nitakuajiriNimekupata soma Sana Mdogo wangu
Basi shinda majukwaa ya biashara...haya majukwaa yanayohitaji akili kidogo kaa nayo mbaliNi muda wa kutafuta hela sio kusoma, wewe soma nikipata hela nitakuajiri
Kwa wewe mwenye akili jibu hili swali,Basi shinda majukwaa ya biashara...haya majukwaa yanayohitaji akili kidogo kaa nayo mbali