Kacha za kimasai za bendera ya Kenya zinavaliwa kuliko za Tanzania. Hii ni kukosa uzalendo au?

Kacha za kimasai za bendera ya Kenya zinavaliwa kuliko za Tanzania. Hii ni kukosa uzalendo au?

We kweli Bufa..

Mbongo gani anafurahia kufika nairobibkuliko london.??
Mamayako au.???
Ushamba.

Wengine hata hawajui kama ni bendera ya KE. Kuna mtu niliwahi kumuuliza akasema yeye anavaa tu ila hajui ni rangi za wapi.

Kingine, watz wanaishobokea sana KE ilhali KE despises TZ. MTZ atasifia chochote kile cha KE hata kama ni kibaya vp na kuponda cha bongo wakati KE pamoja na ukabila wao hawezi sifia chochote kile cha bongo hata kama kizuri vp.

Mbongo anafurahi zaidi kufika Nairobi kuliko kufika London.
 
Hizo picha atu unaona utofauti ,za Tanzania wametengeneza vibaya
131233903_382643999504310_4967237904963581310_n.jpg


cheki na hii
acha kujitetea bhana
 
Mtu uvaa anachokipenda.huku ni kupangiana jinsi ya kuishi.siwakubali wakenya Ila siwezi kumpangia mtu avae nini HUU NI UBAGUZI

Sijampangia mtu. I just stated the obvious.

Mbongo anavaa nembo ya KE kwa fahari wakati mkenya despises anything Tanzanian, yote ni maamuzi na mmoja kaamua kuwa mtumwa wa mwingine kwa hiari.
 
Zipigwe marufuku utrngenezaji. Na uungizaji wa culture hz apatz wengu Sanaa utakuta Kama CYO ya Jamaica bas ya kenye huku bendera zetu ckidoda
 
Sio kweli . tatizo hapo NI Kenya..Ila ingekuwa bendera ya Somali Wala msingehoji
Sijampangia mtu. I just stated the obvious.

Mbongo anavaa nembo ya KE kwa fahari wakati mkenya despises anything Tanzanian, yote ni maamuzi na mmoja kaamua kuwa mtumwa wa mwingine kwa hiari.
 
Sio kweli . tatizo hapo NI Kenya..Ila ingekuwa bendera ya Somali Wala msingehoji

Tusingeuliza labda sababu Somalia hana chuki dhini yetu.

Kwanini umshobokee mtu ambaye loathes you?

Nilitoa mfano mwingine leo hii mbongo anaona sifa kuitwa Dangote au Cookie ila hataki kabisa kuitwa Baraka au Bahati. Hayo ni majina ya Kenya pia? Sasa nenda huko uone kama kuna mtu anajinasabisha na TZ kwa namna iwayo yeyote ile.
 
Huku mtaani vijana wengi saana na wa kike na wa kiume naona wavaa sana kacha za Kenya na UG kuliko za TZ.

Ni huku kwetu pekee au hadi mtaani kwenu, nini maana yake? Rangi za KE na UG zinapendeza kuliko za TZ?

Wamekosa uzalendo au?

Hebu tupe ushuhuda mtaani kwako wapo ikiwezekana weka na kapicha au ni umbea wangu tu wa kuchunguza yasiyonihusu

View attachment 1651615
View attachment 1651605
View attachment 1651614
View attachment 1652306
Wamasai wapo pia Kenya hata Uganda
 
Ushamba tuu.wee hujui wa bongo...huwaskiag wakibrag "mim nna asili ya rwanda..or kongo or wateva...ushamba....ni sawa na ushamba wa waafrica kuabudu mtu anaeongea kingereza
 
hakuna kitu kama hicho,ni shobo tu.

halafu wengi hawaijui wanainasibisha na ile bendera ya jamaika inayowakilisha ganja culture.
Kwako wewe ya Tz imekaa vizuri ila mimi naiona ya kenya ndy ipo vizuri

Hata waubani wangu nimemnunulia ya Kenya!
 
Back
Top Bottom