captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 634
We kweli Bufa..
Mbongo gani anafurahia kufika nairobibkuliko london.??
Mamayako au.???
Mbongo gani anafurahia kufika nairobibkuliko london.??
Mamayako au.???
Ushamba.
Wengine hata hawajui kama ni bendera ya KE. Kuna mtu niliwahi kumuuliza akasema yeye anavaa tu ila hajui ni rangi za wapi.
Kingine, watz wanaishobokea sana KE ilhali KE despises TZ. MTZ atasifia chochote kile cha KE hata kama ni kibaya vp na kuponda cha bongo wakati KE pamoja na ukabila wao hawezi sifia chochote kile cha bongo hata kama kizuri vp.
Mbongo anafurahi zaidi kufika Nairobi kuliko kufika London.