captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 634
Ushamba.
Wengine hata hawajui kama ni bendera ya KE. Kuna mtu niliwahi kumuuliza akasema yeye anavaa tu ila hajui ni rangi za wapi.
Kingine, watz wanaishobokea sana KE ilhali KE despises TZ. MTZ atasifia chochote kile cha KE hata kama ni kibaya vp na kuponda cha bongo wakati KE pamoja na ukabila wao hawezi sifia chochote kile cha bongo hata kama kizuri vp.
Mbongo anafurahi zaidi kufika Nairobi kuliko kufika London.
Acha uongo magari yamejaa mabendera ya saudia na israel mbona hawakamatwi??Tanzania ni kosa kisheria kutumia kitu chochote chenye bendera ya Taifa bila utaratibu.
Hizo picha atu unaona utofauti ,za Tanzania wametengeneza vibaya
Mtu uvaa anachokipenda.huku ni kupangiana jinsi ya kuishi.siwakubali wakenya Ila siwezi kumpangia mtu avae nini HUU NI UBAGUZI
Tanzania ni kosa kisheria kutumia kitu chochote chenye bendera ya Taifa bila utaratibu.
We kweli Bufa..
Mbongo gani anafurahia kufika nairobibkuliko london.??
Mamayako au.???
Sijampangia mtu. I just stated the obvious.
Mbongo anavaa nembo ya KE kwa fahari wakati mkenya despises anything Tanzanian, yote ni maamuzi na mmoja kaamua kuwa mtumwa wa mwingine kwa hiari.
Sio kweli . tatizo hapo NI Kenya..Ila ingekuwa bendera ya Somali Wala msingehoji
We jamaa sio mzalendo kabisa itabidi tuwapeleke JKTView attachment 1652333
Kwa uzuri wa hizi rangi lazima tuipende
Wamasai wapo pia Kenya hata UgandaHuku mtaani vijana wengi saana na wa kike na wa kiume naona wavaa sana kacha za Kenya na UG kuliko za TZ.
Ni huku kwetu pekee au hadi mtaani kwenu, nini maana yake? Rangi za KE na UG zinapendeza kuliko za TZ?
Wamekosa uzalendo au?
Hebu tupe ushuhuda mtaani kwako wapo ikiwezekana weka na kapicha au ni umbea wangu tu wa kuchunguza yasiyonihusu
View attachment 1651615
View attachment 1651605
View attachment 1651614
View attachment 1652306
hIZO KACHA WAKAVALIE HUKOHUKO WALIPOWamasai wapo pia Kenya hata Uganda
hakuna kitu kama hicho,ni shobo tu.Ya Ke imekaa vizuri zaid Tz mtasubiri sana
Ya Ke imekaa vizuri zaid Tz mtasubiri sana
Kwako wewe ya Tz imekaa vizuri ila mimi naiona ya kenya ndy ipo vizurihakuna kitu kama hicho,ni shobo tu.
halafu wengi hawaijui wanainasibisha na ile bendera ya jamaika inayowakilisha ganja culture.