Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Rangi za TZ zimekaa kichafuchafu, kiccmHuku mtaani vijana wengi saana na wa kike na wa kiume naona wavaa sana kacha za Kenya na UG kuliko za TZ.
Ni huku kwetu pekee au hadi mtaani kwenu, nini maana yake? Rangi za KE na UG zinapendeza kuliko za TZ?
Wamekosa uzalendo au?
Hebu tupe ushuhuda mtaani kwako wapo ikiwezekana weka na kapicha au ni umbea wangu tu wa kuchunguza yasiyonihusu
View attachment 1651615
View attachment 1651605
View attachment 1651614
View attachment 1652306
Tena sana na sio yeye tu hiyo ni kwa yeyote yule anayezivalia. Rais UK huwa hazikosi kiganjani.Ata Rais wao uhuru akivaaga huwa inampendeza
Wa2 hawana uzalendo...Huku mtaani vijana wengi sana wa kike na wa kiume naona wavaa sana kacha za bendera ya Kenya na Uganda kuliko za Tanzania.
Ni huku kwetu pekee au hadi mtaani kwenu, nini maana yake? Rangi za KE na UG zinapendeza kuliko za TZ?
Wamekosa uzalendo au?
Hebu tupe ushuhuda mtaani kwako wapo ikiwezekana weka na kapicha
Au ni umbea wangu tu wa kuchunguza yasiyonihusu.
View attachment 1651615
View attachment 1651614
View attachment 1652306
Kipindi Cha awamu ya nne tulihamasishwa Sana na My.Kikwete kuvaa bendera yetu mahala popotte ili kujifaharisha na kuongeza uzalendo kwantaifa letu na kweli tulipendeza na bendera yeu.Hivi awamu ya tan tulienedelea kuruhusiwa????Nilikuwa najiuliza sana sababu ya hili jambo, naliona sana huko twitani, shukrani kwa kulileta.
Mtabaki watatuNashauri tuanzishe Operation kila atakayekutwa kavaa kacha za nchi nyingine ahamishiwe hiyo nchi
Madudu ya viongoz wetu ndo yanatufanya tusiipende hii nchi[emoji848]Sidhani kama kuna ukweli, sema kuna ulimbukeni wa Watz kujifanya wakenya au waganda, nadhani kuna ujinga mkubwa sana kwenye kichwa cha mtanzania. Sijui Nyerere alikosea wap!
Elimu bla utaratbu mzuri wakupangilia vizur Kodi zetu ata Vita ikitokea tutajiunga na maadui[emoji1]Ukweli vijani wa kitz hawana uzalendo kabisa
Elimu inahitajika
Tunatosha!!Mtabaki watatu
πππ Alafu huwa wanakujibu vipi? Maanake ingekuwa wote wanaozivalia ni wakenya kweli Kenya ingekuwa na diaspora moja ya kufa mtu kwenye kila kona duniani.Mi mpaka huwa nawauliza wewe ni mkenya?
Naona umeamua kuja kidiplomasia zaidi jombaa. π Mimi huwa sina huo muda hata wa kuwaza tu, achia mbali kuumwa. Kisa rangi au bendera ya nchi yoyote ile nyingine, sio tukiwa na kitu safi kama hiki.Watanzania huwa mna mind vitu vya kijinga sana, huku huwa napishana na watu wamevaa t-shirts zimeandikwa Tanzania au Zanzibar na haijawahi kuniuma, mkoloni alitukosea sana miafrika kwa kuchora mipaka yake hiyo, yaani......
Mkuu Nairobi ni pazuri. Hivi utalinganisha Nairobi ni miji yetu ya kimachinga kweli? Kila mahali ni uchafu na kunanuka?Ushamba.
Wengine hata hawajui kama ni bendera ya KE. Kuna mtu niliwahi kumuuliza akasema yeye anavaa tu ila hajui ni rangi za wapi.
Kingine, watz wanaishobokea sana KE ilhali KE despises TZ. MTZ atasifia chochote kile cha KE hata kama ni kibaya vp na kuponda cha bongo wakati KE pamoja na ukabila wao hawezi sifia chochote kile cha bongo hata kama kizuri vp.
Mbongo anafurahi zaidi kufika Nairobi kuliko kufika London.