Benzodiazepine
JF-Expert Member
- Oct 18, 2018
- 644
- 718
ππππ WE JAMAA SAFI SANA!! We need more brains kama zako hapa nchini.Kwa kinywa chake, nazidi kumshusha thamani siku hadi siku. Bora angekua anakaa kimya.
1. Ufadhili wa wafanya biashara
Kwani ikulu kuna biashara gan ambayo itamuwezesha kulipa fadhila.kumbuka wafanya biashara hawana pesa za kuchezea hovyo !!anachotoa jua utakirudisha tu.
2. Hawaruhusiwi kuingiza fedha
Hiz ndio zile wanaficha account za nje ya nchi au ndio uadhil wa mataifa ya nje? Kama ni ufadhil, ana mpango wa kuzirudisha vp akipewa madaraka?
Kachero mbabaishaji bwana!
Ok sawa mkuu.... Lkn alikua ccm akaenda chadema akarudi ccm kwa hiyo amefanya ufisadi akiwa chadema au ccm......??Nachosema Lowassa alishasafishwa ufisadi wake na chadema.
Maana yake hakuwa fisadi toka mwanzo na ndio maana hashtakiwi hata Lissu alisema kama Lowassa ni fisadi mbona hashtakiwi? kwahiyo Lowassa si fisadi na ndio maana chadema wakampa nafasi ya kugombea urais,angekuwa kweli fisadi wasingempa hiyo nafasi.Ok sawa mkuu.... Lkn alikua ccm akaenda chadema akarudi ccm kwa hiyo amefanya ufisadi akiwa chadema au ccm......??
Swali lipo palepale..... Kwa nini serikali haimshitaki?
Kwa kinywa chake, nazidi kumshusha thamani siku hadi siku. Bora angekua anakaa kimya.
1. Ufadhili wa wafanya biashara
Kwani ikulu kuna biashara gan ambayo itamuwezesha kulipa fadhila.kumbuka wafanya biashara hawana pesa za kuchezea hovyo !!anachotoa jua utakirudisha tu.
2. Hawaruhusiwi kuingiza fedha
Hiz ndio zile wanaficha account za nje ya nchi au ndio uadhil wa mataifa ya nje? Kama ni ufadhil, ana mpango wa kuzirudisha vp akipewa madaraka?
Kachero mbabaishaji bwana!
Sure mkuu.ipende nchi yako maana wengine hatuna pa kukimbilia nje ya bongo hii.Imagine mijitu kama hii inakuja kuwa raisi dah Tanzania nakupenda maana you are survivor
Naona upo pale pale.... Alipokua cdm ccm wenye dola wwenye serikali walisema ni fisadi....... Swali lipo paleplale kwanini hawamshitaki?Maana yake hakuwa fisadi toka mwanzo na ndio maana hashtakiwi hata Lissu alisema kama Lowassa ni fisadi mbona hashtakiwi? kwahiyo Lowassa si fisadi na ndio maana chadema wakampa nafasi ya kugombea urais,angekuwa kweli fisadi wasingempa hiyo nafasi.
Nafikiri tumeelewana.