Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
OK sawa...Inasemekana waliomlipa ndo hao hao waliomlipa mgombea wa CHADOMO...walipaji wame bet kote kote (kikishindwa CHADOMO wanakua na mbadala)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK sawa...Inasemekana waliomlipa ndo hao hao waliomlipa mgombea wa CHADOMO...walipaji wame bet kote kote (kikishindwa CHADOMO wanakua na mbadala)
Sawa sawa mkuu..... We mbwa hivi huyu fisadi Lowasa kwa nini hashitakiwi?Watanzania hawahawa waliyoletewa Fisadi(Lowassa) na wakampigia kura awe rais wao? unataka wafanye nini tena ili ndio uone kuwa ni wajinga?
No wonder, Msaidizi wake "alitekwa pale uwanjani"Asije akawa amerudi na mabulungutu ya fedha chafu....Financial Inteligent Unit mchunguzeni kwa umakini
Sasa Dada ashtakiwe kwa lipi? kama ni hizo tuhuma za ufisadi mbona alishasafishwa na waliyomchafua. Mtu ambaye limpigia kura na unaamini alishinda uchaguzi wa kumfanya awe rais wa nchi halafu wewe unasema ni fisadi?Sawa sawa mkuu..... We mbwa hivi huyu fisadi Lowasa kwa nini hashitakiwi?
What are you trying to say??Sasa Dada ashtakiwe kwa lipi? kama ni hizo tuhuma za ufisadi mbona alishasafishwa na waliyomchafua. Mtu ambaye limpigia kura na unaamini alishinda uchaguzi wa kumfanya awe rais wa nchi halafu wewe unasema ni fisadi?
Ndio maana 2015 Lissu alisema kama Lowassa ni fisadi mbona hashtakiwi? maana yake Lissu alisema Lowassa si fisadi na ndio maana hajashtakiwa.
Sawa sawa mkuu..... We mbwa hivi huyu fisadi Lowasa kwa nini hashitakiwi?We nguruwe mwambie Lisu ajiandae kurudi kwa beberu wake ubegiji
Kama amepewa na wananchi wenyewe kuna shida gani?Akipewa nchi, ataiuza mchana kweupe
Mlipo wafunga viongozi wa cdm na kuwatoza faini kkubwaa sana, watanzania masikini walijitolea kuwatoa lupango, bado huamini kuwa ccm haipendwi?Upinzani hali ni tete sana, hata michango imekuwa migumu sana, sijui maeneo mengine.
Lissu hana tatizo la kifedha maana sisi mamilioni ya watanzania tupo tunamchangia.Wachangieni wagombea wenu wanaotaabika kwa ukata huku mitaani sasa
Ikiwa na maana Tundu Lissu mnamtafutia shuguli nyingine Ufipa. Wewe unajua matokeo haina haja ya kuelezea kipi kinafuata kama sio Chadema kurudi ligi daraja la nne( Ligi ya mchangani ).Mlipo wafunga viongozi wa cdm na kuwatoza faini kkubwaa sana, watanzania masikini walijitolea kuwatoa lupango, bado huamini kuwa ccm haipendwi?
Wooteb tunawachangia, wewe endelea kuramba miguu tuOk. Mmnamchangia Lisu, vipi hawa wagombea wenu wa udiwani na bunge huku mtaani?
Kwa mara ya kwanza ccm inawafia mkononi dadeeekiii, lissu ni nooma yeye ni sawa na gari kubwa, ni meli kubwaaaIkiwa na maana Tundu Lissu mnamtafutia shuguli nyingine Ufipa. Wewe unajua matokeo haina haja ya kuelezea kipi kinafuata kama sio Chadema kurudi ligi daraja la nne( Ligi ya mchangani ).
Unawatukana form six...angalia wanavyowakimbiza mbio..CHADEMA wanakaa kulia lia tu na hawako tayari kuhoji wizi ndani ya chama. Walisema wamezuiwa kuendesha shughuli za kisiasa, sawa! Sasa pesa za ruzuku zimetumika kulipia nini kwa miaka 5? Ni chama cha kishenzi tu! Hiki chama lazima kife kwa kukosa manufaa kwa wa-TZ.
Tulitaka chama kinacholeta amsha amsha kwa CCM washike adabu lakini kama ni wizi na upuuzi wa kiwango hicho, ndo maana maprofesa wote waliodhani wangewasaidia, walijiondoa kimya kimya! Sasa wamebaki ni kundi la form 6.
Kwa mara ya kwanza ccm inawafia mkononi dadeeekiii, lissu ni nooma yeye ni sawa na gari kubwa, ni meli kubwaaa
Kama wewe unavyo jilazimisha upopo wa kuamini kuwa ccm itashinda hata kama haipendwi.Ahhh yaani unajilazimisha ujinga wa kujiaminisha ushindi ambao haupo, na sisi kwetu hapa Machame Mbowe biashara yake imeisha kuwa ngumu sana.
CCM huku Kilimanjaro wanakaba mpaka penalty, yawezekana kurudi diwani wawili watatu, lakini Ubunge wanasafisha. Mkuu mikutano yake ya Uswaa na Masama, tunasubiri taarifa kutoka Weruweru kama nako kafukuzwa na kuzomewa, kanda hii ndivyo walivyo wakikuchoka.
Uvccm ndiyo mnanuka kabisa hali mbayaBavicha mna hali mgumu sana
Kama wewe unavyo jilazimisha upopo wa kuamini kuwa ccm itashinda hata kama haipendwi.
Ni kawaida! Tulishakimbizwa na Idd Amin. Wenye akili timamu tunasumbuliwa sana na vibaka mitaani. Huoni US inavyokimbizwa na N.Korea?Unawatukana form six...angalia wanavyowakimbiza mbio..
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Nachosema Lowassa alishasafishwa ufisadi wake na chadema.What are you trying to say??