Pre GE2025 Kada kasema ukweli kwamba ushindi wa CCM sio wa mungu kupenda, wapinzani wamehamaki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kalamu huyu nae umemuona na huko x nimeona pia xlip ya mchengerwa
 
Hakuna kufuru hapo, kada kasema ukweli na hili ni somo kwa wapinzani àmbao husubiria miujiza au mungu kupenda katika mambo yao.
Kwa miaka mingi sana na chaguzi nyingi sana!sijawahi ona mwanaccm akiongea hovyo kama vile!

Yes hajui hata huo uovu una baraka ya Mungu uwepo Ili ccm ishinde!!?

Hakuna utawala ambao Mungu hahusiki kuuweka hats farao na Nebuchadnezzar waliwekwa na yeye ili yeye ajitukuze!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…