Kada maarufu wa CHADEMA amuita Mbowe kibaka mbele ya kadamnasi

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Your browser is not able to display this video.

Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini.

Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul.

Ashangaa kwa nini kila siku watu wakitaka kusema uovu unaoendelea Chadema wanaambiwa wakae kimya watakigawa chama!!

Amewapiga mkwara aliowaita machawa wa Mbowe kuwa wasijaribu kuendelea kumchokoza ataanika kila kitu kuhusu Mbowe.
 
View attachment 3013685

Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini.

Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul.

Ashangaa kwa nini kila siku watu wakitaka kusema uovu unaoendelea Chadema wanaambiwa wakae kimya watakigawa chama!!

Amewapiga mkwara aliowaita machawa wa Mbowe kuwa wasijaribu kuendelea kumchokoza ataanika kila kitu kuhusu Mbowe.
 
CCM mnajiokotea kila aina ya takataka,eti huyo kichaa mlevi mbwa naye anapewa airtime !!
 
Sasa wewe hata sio sonofobia,sema Chadema phobia🫢
 
Mlevi mmoja anapewa promo kibwege… dışa za Tanzania zimekua very shallow na hazina tija
Waulize viongozi wako wakubwa kwenye chama watakueleza huyo ni nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…