Kamanda JokaKuu mwenyekiti Mbowe anapewa makavu live.
Huu ndio wakati anahitaji sana nyie wapambe wake.
..haina tatizo kwa wanachama na mashabiki wa Chadema kuonyesha hisia zao juu ya mwenendo wa chama chao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda JokaKuu mwenyekiti Mbowe anapewa makavu live.
Huu ndio wakati anahitaji sana nyie wapambe wake.
Hv kwanini Mbowe kila wakati?😁😁😁 Yani hata wakienda kuoga mbowe, kujisaidia mbowe, jamani 🚮🚮 Watasubiri sana mbwe yupo tu.mtamuita majina yote mbowe yupo tu
Kuna waliompenda mbowe mara 1000 zaidi yako niamini mimi ila ikafika wakati wakasema hapana hapa kuna soda he is using us kupata anachotafutaHv kwanini Mbowe kila wakati?😁😁😁 Yani hata wakienda kuoga mbowe, kujisaidia mbowe, jamani 🚮🚮 Watasubiri sana mbwe yupo tu.
Wapi Takukuru? Kamata wote hawa mtoaji mpokeaji na huyu hapa mwenye taarifa za rushwa anaandika hapa badala ya kuleta taarifa kwenu zifanyiwe kazi! Anaficha vitendo vya rushwa kwanini ana maslahi gani kwavyo?! Sukuma ndani huyu sonology.Mbowe anakula rushwa toka kwa mama Abdul.
Mkuu mbona rushwa zingine zinaandikwa hapa au unafikir mbowe ni untouchable kwa kila mtu mpaka uzuie watu kusema hadharani uovu wake wa kutafuna rushwa toka kwa Abdul!!???Wapi Takukuru? Kamata wote hawa mtoaji mpokeaji na huyu hapa mwenye taarifa za rushwa anaandika hapa badala ya kuleta taarifa kwenu zifanyiwe kazi! Anaficha vitendo vya rushwa kwanini ana maslahi gani kwavyo?! Sukuma ndani huyu sonology.
View attachment 3013685
Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini.
Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul.
Ashangaa kwa nini kila siku watu wakitaka kusema uovu unaoendelea Chadema wanaambiwa wakae kimya watakigawa chama!!
Amewapiga mkwara aliowaita machawa wa Mbowe kuwa wasijaribu kuendelea kumchokoza ataanika kila kitu kuhusu Mbowe.
Mbowe anakula rushwa toka kwa mama Abdul.
Kumbe kwa moto huko ! Maana yake chadema imefawanyika vipande vipande.
Jenga hoja kamanda tumnusuru mwenyekiti ujanja ujanja umefika mwisho
Kwa hiyo unaona wivu... 😛Kuna waliompenda mbowe mara 1000 zaidi yako niamini mimi ila ikafika wakati wakasema hapana hapa kuna soda he is using us kupata anachotafuta