Kada maarufu wa CHADEMA amuita Mbowe kibaka mbele ya kadamnasi

Kada maarufu wa CHADEMA amuita Mbowe kibaka mbele ya kadamnasi

Live Mbowe alone brother, kama vipi anzisha chama chako utuonyeshe njia, Wanaume wanapambana wewe unabwabwaja kama mwanamke wa bar..
Sijaelewa, una maana chadema ni chama cha mbowe
 
Nakwambia hiv, kiukwel wenye akil tuliokua tunamuheshimu Mbowe kwa kuijemga chadema na kuibua vipaji vya vijana, sasa hiv heshima inashuka kila siku. Kwakifupi tumeshamshtukia, sema ndio vile tena mkono uliokulea, shart usiukate ila tutausafisha kwa nguvu atake asitake.. mbowe kageuka agent typically
Watu wengi hawamjui Mbowe sana.
Enzi hizo walikuwepo ma Elite na Mbowe alikuwa mmoja wa Ma Elite hao. Unajua tena, mtoto wa Tajiri.

Mambo yalibadilika ghafla wakati Mzee Mwendazake Mwinyi kuingia, na baadae wakati Kikwete kuingia. Yaani madili dili yakawa yanapotea. Afueni ikawa enzi za Ben lakini, unajua tena, kutesa kwa zamu

Nitaachia hapo, ila kwa kifupi, Mbowe anapenda power na ni neno lake maarufu kinywani mwake, pamoja na kuwa na Hela, mtoto wa Tajiri na heshima nyingine zinazokuja nazo, Mbowe hakuwa na 'POWER'...... ameipata CHADEMA. Haitoshi.

Waulizeni maborntown.
 
Watu wengi hawamjui Mbowe sana.
Enzi hizo walikuwepo ma Elite na Mbowe alikuwa mmoja wa Ma Elite hao. Unajua tena, mtoto wa Tajiri.

Mambo yalibadilika ghafla wakati Mzee Mwendazake Mwinyi kuingia, na baadae wakati Kikwete kuingia. Yaani madili dili yakawa yanapotea. Afueni ikawa enzi za Ben lakini, unajua tena, kutesa kwa zamu

Nitaachia hapo, ila kwa kifupi, Mbowe anapenda power na ni neno lake maarufu kinywani mwake, pamoja na kuwa na Hela, mtoto wa Tajiri na heshima nyingine zinazokuja nazo, Mbowe hakuwa na 'POWER'...... ameipata CHADEMA. Haitoshi.

Waulizeni maborntown.

Chama kime savai kote huko its a shame kufia awamu hii kwa tajir “mtata”mbowe [emoji23]
 
"Baba Dudley ni mwizi kibaka " Abiud

..hivi kwa akili zako unadhani Maza'ake Abduli anatoa wapi hela za kumhonga Baba'ake Dudley?

..sio kwamba kuna wanaomhonga Maza, halafu na yeye anakuja kuhonga wapinzani wake?
 
Hawa ni chadema au ccm?
Hao ni CCM. Wanashindwa kushughulika na ma RC wanaowalawiti mnapambana na Mbowe ambaye hawahusu na wanaohusiana naye wanamkubali.
Shughulikeni na hao wanaolawiti watu. Tabia hiyo inajengeka sasa, wameanza RC's utasikia na DC's , mawaziri , Wabunge wenyeviti CCM nk wakiwa wanawalawiti wanaccm kwa vile wanaendekeza uchawa na kujipendekeza.
Poleni CCM vumilieni mtazoea tuu kama mlivyozoea mengine.
 

Attachments

  • 20240611_075312.jpg
    20240611_075312.jpg
    149.8 KB · Views: 3

Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini.

Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul.

Ashangaa kwa nini kila siku watu wakitaka kusema uovu unaoendelea Chadema wanaambiwa wakae kimya watakigawa chama!!

Amewapiga mkwara aliowaita machawa wa Mbowe kuwa wasijaribu kuendelea kumchokoza ataanika kila kitu kuhusu Mbowe.
Kimeumana
 

Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini.

Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul.

Ashangaa kwa nini kila siku watu wakitaka kusema uovu unaoendelea Chadema wanaambiwa wakae kimya watakigawa chama!!

Amewapiga mkwara aliowaita machawa wa Mbowe kuwa wasijaribu kuendelea kumchokoza ataanika kila kitu kuhusu Mbowe.
Aliekwambi pallangyo ni chadema nani alafu umfaham vizuri huyu anaijuaga mwenyewe
 

Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini.

Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul.

Ashangaa kwa nini kila siku watu wakitaka kusema uovu unaoendelea Chadema wanaambiwa wakae kimya watakigawa chama!!

Amewapiga mkwara aliowaita machawa wa Mbowe kuwa wasijaribu kuendelea kumchokoza ataanika kila kitu kuhusu Mbowe.
Nitawashangaa Mods wasipofuta nyuzi hii
 
Back
Top Bottom