The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mbona pesa zake mnachukua.
Tunachukua na akina nani ..... kwani umeambiwa kuwa mimi ni CDM. Acha kukurupuka.
Diaspora wengi especially Sauti ya Watanzania wanachanga kusaidia different activities. Abuid naye anafanya the same thing kama wengine wengi tu ....!!