Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tz pagumu sana yote hzo jamaa kapewa lak moja kuja kumchafua mwenyekt sasa useme kbaka sjui mwz ss ndy tumtaka coz kpnd anaangaika na chama nyie na wazz wenu mlikuwa ccm yaan mtu ukiona vyaelea ujue kiundwa na atuwez kuwaachia wapta njia azna ya chama cha ukomboz Tz
Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini.
Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul.
Ashangaa kwa nini kila siku watu wakitaka kusema uovu unaoendelea Chadema wanaambiwa wakae kimya watakigawa chama!!
Amewapiga mkwara aliowaita machawa wa Mbowe kuwa wasijaribu kuendelea kumchokoza ataanika kila kitu kuhusu Mbowe.