Kada maarufu wa CHADEMA amuita Mbowe kibaka mbele ya kadamnasi

Kada maarufu wa CHADEMA amuita Mbowe kibaka mbele ya kadamnasi

Mbowe kahongwa pesa na mama yake Abdul.

Lissu alisema haongeki kama wengine wanaoongwa. Ulielewa?
Kwani huyo unafikiri hajafunza kuwa kufanya hivyo ni vibaya,sasa mbona una msingizia au alikuletea wewe šŸ¤”
 
Kwani huyo unafikiri hajafunza kuwa kufanya hivyo ni vibaya,sasa mbona una msingizia au alikuletea wewe šŸ¤”
Kamanda umepagawa kusikia ukweli kuhusu Mbowe?
Kuna wenzio pia walikuwa kwenye denial kama wewe mwisho wakakubali mwenyekiti ni kibaka
 
Kamanda umepagawa kusikia ukweli kuhusu Mbowe?
Kuna wenzio pia walikuwa kwenye denial kama wewe mwisho wakakubali mwenyekiti ni kibaka
Ndio kwakuwa mimi sii miongoni mwao Chademaphobia
 
Mataga wanawashwa sana bila kumtaja Mbowe na CHADEMA.
Shida ni kitu gani?
 
yu
View attachment 3013685

Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini.

Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul.

Ashangaa kwa nini kila siku watu wakitaka kusema uovu unaoendelea Chadema wanaambiwa wakae kimya watakigawa chama!!

Amewapiga mkwara aliowaita machawa wa Mbowe kuwa wasijaribu kuendelea kumchokoza ataanika kila kitu kuhusu Mbowe.
yule upendo PENEZA ALISHAMALIZA KAZI YAKE
 
Mataga wanawashwa sana bila kumtaja Mbowe na CHADEMA.
Shida ni kitu gani?
Mbowe ni mla rushwa wanaosema hivyo sio CCM ni Chadema wenzie waliomuamini 100% so una hiyari ya kuukubali ukweli au kuishi kwenye denial.
 
Back
Top Bottom