Kada ya Engineering, ualimu Tamisemi

Mkuu hizi hasira zako kwangu zote zinatokea wap...toka mwanzo una nia ttack kwann nisingesomea ualimu ...shida ako hasa ni nini kwamba tusiombe hizo nafasi au maana sikuelewi why u attack mi ivo...ukisema mimi ni engineer uchwara offcourse yes eleimu yetu haikuandai kua compittent kwenye field ukiwa graduate...ndo maana hata kazi zenyewe wanata experienced person..niishie hapo
 
Mimi sina hasira na wewe bwana wala sijaku attack! Ungenielewa wala usingeandika hivyo, tatizo akili yako pengine ni finyu kidogo!
...hebu angalia hicho ulichoandika hapo kwenye red, mr graduate engineer!
 
Umewapa ushauri nguli sana wadogo zetu.
wasipoelewa hapa ndio basi tena.
 
Kuna watu wamesoma bachelor of technical education in electrical engineering and electronics hapa ndo wamelengwa Sana Wala engineers hawajadharaulika ndugu
 
Bachelor of technical education in electrical engineering and electronics nahisi ndo wamelengwa zaidi ili kufundisha shule za tech kama tanga tech ,mtwara tech ....
 
Bachelor of technical education in engineering and electronics nahisi ndo wamelengwa zaidi ili kufundisha shule za tech kama tanga tech ,mtwara tech ....
Hatuna iyo degree mkuu hapo targeted ni Wenye Diploma na Degree za Electrical engineering then after being employed wataenda Training tu ya mambo ya Ualimu then wanarudi kupiga mzigo
 
Mimi sina hasira na wewe bwana wala sijaku attack! Ungenielewa wala usingeandika hivyo, tatizo akili yako pengine ni finyu kidogo!
...hebu angalia hicho ulichoandika hapo kwenye red, mr graduate engineer!
shukrani bwana akili nyingi..ahsante kwa mawazo yako pia.
 
Hatuna iyo degree mkuu hapo targeted ni Wenye Diploma na Degree za Electrical engineering then after being employed wataenda Training tu ya mambo ya Ualimu then wanarudi kupiga mzigo
Kwahyo mkuu hapa inabd tujaze masomo ya fani husika na shule za ufundi tuu ndio zitahusika??
 
Hapa kila mtu asikilize moyo wake unataka nini,usikurupuke kisa mtu kasema alienda akabadilisha saivi yuko kitengo, kumbukeni bahati hazifanani, kama imetokea kwa mwenzio sio lazima na kwako,matarajio yanaumiza wengi mtakuja kufa na magonjwa ya tumbo,fanya maamuzi yako binafsi kwa ajili ya maisha yako ya baadae

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Huyo jamaa inaonekana hakubali kushindwa, mbona Jambo dogo tu hlo la kurekebishana na sio kutoleana maneno mabaya bana
Acha t mkuu..dunian hapa tuko binadam wakila aina,,..ila tunaisha nao tu.
 

Duuu mwalimu wa physics afanye kazi kama Engineer.Kuweni serious basi na huyo DED wenu.
Engineering ni zaidi ya hiyo physics.
 
Duuu mwalimu wa physics afanye kazi kama Engineer.Kuweni serious basi na huyo DED wenu.
Engineering ni zaidi ya hiyo physics.
Ni kweli mkuu ila ukifanya kazi serikalini utaelewa mkuu. Wewe ukiwa DED, kuna miradi inahitaji usimamizi/ufatiliaji na wilaya yako na ya jirani haina engineer hata mmoja na serikali haiajiri unafanyaje? Unasimamisha shughuli zote hadi utakapopata engineer?

Obvious utatumia human resources zilizopo hata kusimamia miradi midogo na ya wastani ya ujenzi wa shule, vituo vya afya n.k
 
Hii course labda ipo kwenu


Hakuna course ya namna hii Tanzania nzima [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Labda kama Alitaka kusema Bachelor degree of Technical Education in Electrical and Electronics Engineering, Civil Engineering, mechanical engineering, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…