Kada ya Engineering, ualimu Tamisemi

Kada ya Engineering, ualimu Tamisemi

mmm
Bila shaka wewe ndiye mwenye kichwa kigumu zaidi/kilaza!
Ungesoma vyema nilichoandika ukielewe vizuri! Karudie uelewe, au pengine uwezo wako ni mdogo ndio maana umeshindwa kuelewa, na hiyo pengine inaweza kuwa sababu ya wewe kujiita engineer huku pengine ukitafuta ajira na kukosa kwa sababu ya kutokuwa na uwezo kwenye hiyo field!
Kiufupi nimegundua wewe ni engineer uchwara!!
Mkuu hizi hasira zako kwangu zote zinatokea wap...toka mwanzo una nia ttack kwann nisingesomea ualimu ...shida ako hasa ni nini kwamba tusiombe hizo nafasi au maana sikuelewi why u attack mi ivo...ukisema mimi ni engineer uchwara offcourse yes eleimu yetu haikuandai kua compittent kwenye field ukiwa graduate...ndo maana hata kazi zenyewe wanata experienced person..niishie hapo
 
mkuu hizi hasira zako kwangu zote zinatokea wap...toka mwanzo una nia ttack kwann nisingesomea ualimu ...shida ako hasa ni nini kwamba tusiombe hizo nafasi au maana sikuelewi why u attack mi ivo...ukisema mimi ni engineer uchwara offcourse yes eleimu yetu haikuandai kua compittent kwenye field ukiwa graduate...ndo maana hata kazi zenyewe wanata experienced person..niishie hapo
Mimi sina hasira na wewe bwana wala sijaku attack! Ungenielewa wala usingeandika hivyo, tatizo akili yako pengine ni finyu kidogo!
...hebu angalia hicho ulichoandika hapo kwenye red, mr graduate engineer!
 
Ushauri wa bure kwa kada za engineering zilizotajwa kwenye tangazo la Tamisemi.

Ombeni wadogo zangu, chonde chonde ombeni hiyo kazi, alaf huko mbele mtapigana kivingine, kuna option inaitwa Recategorization kwenye utumishi hiyo inakuwezesha kubadilishwa cheo kwenye utumishi na salary yako kubadilika.

Jambo lingine ni kwamba ukishapata Cheque number utaweza kuhama kwenda taasisi nyingine ya kiserikali kama vyuo vikuu kuwa Lecturer au engineer kama kawaida na hizo nafasi kwa sasa zipo nyingi tu za kuhamia taasisi zenye upungufu wa wataalam wa kada flani.

Mimi ni shuhuda, siwezi kusema hapa kwamba nilitoka wapi na sasa nipo wapi ila humu humu JF kuna watu tunafamiana vizuri na wao ni mashuhuda, nilianzia kazi kwenye kada ya mbali sana lakini nilipambana na saivi niko kwingine nafanya kazi ninayoipenda.

Msidanganywe na pass mark kwenye makaratasi mkavimba vichwa kwamba nyie ni wahandisi mnadharirishwa, hayo makaratasi hayajui maisha, nyie ndo mnajua hali halisi ya maisha, weka makaratasi kabatini ingia kupambana kitaeleweka tu.
Umewapa ushauri nguli sana wadogo zetu.
wasipoelewa hapa ndio basi tena.
 
Wakuu naomba tupeane tips jins ya kuomba hizo ajira za ualim kwa sisi wa kada ya engineering.

Nimeona kwenye tangazo kua tuta ajiriwa kama walimu daraja la 111b kwa wenye astashahada na 111c kwa wenye shahada za civil, electrical na mechanical.

Naomba tupeane elimu kidogo tunaombaje ombaje, kuanzia uandikaji wa barua inakuaje, na hiyo system yao inatusuport vipi sie.
Kuna watu wamesoma bachelor of technical education in electrical engineering and electronics hapa ndo wamelengwa Sana Wala engineers hawajadharaulika ndugu
 
Bachelor of technical education in electrical engineering and electronics nahisi ndo wamelengwa zaidi ili kufundisha shule za tech kama tanga tech ,mtwara tech ....
 
Bachelor of technical education in engineering and electronics nahisi ndo wamelengwa zaidi ili kufundisha shule za tech kama tanga tech ,mtwara tech ....
Hatuna iyo degree mkuu hapo targeted ni Wenye Diploma na Degree za Electrical engineering then after being employed wataenda Training tu ya mambo ya Ualimu then wanarudi kupiga mzigo
 
Mimi sina hasira na wewe bwana wala sijaku attack! Ungenielewa wala usingeandika hivyo, tatizo akili yako pengine ni finyu kidogo!
...hebu angalia hicho ulichoandika hapo kwenye red, mr graduate engineer!
shukrani bwana akili nyingi..ahsante kwa mawazo yako pia.
 
Hatuna iyo degree mkuu hapo targeted ni Wenye Diploma na Degree za Electrical engineering then after being employed wataenda Training tu ya mambo ya Ualimu then wanarudi kupiga mzigo
Kwahyo mkuu hapa inabd tujaze masomo ya fani husika na shule za ufundi tuu ndio zitahusika??
 
Hapa kila mtu asikilize moyo wake unataka nini,usikurupuke kisa mtu kasema alienda akabadilisha saivi yuko kitengo, kumbukeni bahati hazifanani, kama imetokea kwa mwenzio sio lazima na kwako,matarajio yanaumiza wengi mtakuja kufa na magonjwa ya tumbo,fanya maamuzi yako binafsi kwa ajili ya maisha yako ya baadae

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Huyo jamaa inaonekana hakubali kushindwa, mbona Jambo dogo tu hlo la kurekebishana na sio kutoleana maneno mabaya bana
Acha t mkuu..dunian hapa tuko binadam wakila aina,,..ila tunaisha nao tu.
 
Uko sahihi kabisa. Hii siri vijana wengi hawaijui. Hata uwe umesomea urubani, serikali ikitangaza nafasi za kazi ya kufagia na wakataja sifa ulizonazo, basi omba. Ukiajiriwa tu baada ya muda mfupi omba kuhamia kwenye urubani.

Hapa nilipo halmashauri haina engineer hata mmoja, imebidi DED achukue walimu wa Physics wasaidie. Sasa ukipangiwa huku kama Mwl baada ya miezi michache lazima DED atakuhamishia ujenzi na hawa walimu watarudishwa shuleni.

Duuu mwalimu wa physics afanye kazi kama Engineer.Kuweni serious basi na huyo DED wenu.
Engineering ni zaidi ya hiyo physics.
 
Duuu mwalimu wa physics afanye kazi kama Engineer.Kuweni serious basi na huyo DED wenu.
Engineering ni zaidi ya hiyo physics.
Ni kweli mkuu ila ukifanya kazi serikalini utaelewa mkuu. Wewe ukiwa DED, kuna miradi inahitaji usimamizi/ufatiliaji na wilaya yako na ya jirani haina engineer hata mmoja na serikali haiajiri unafanyaje? Unasimamisha shughuli zote hadi utakapopata engineer?

Obvious utatumia human resources zilizopo hata kusimamia miradi midogo na ya wastani ya ujenzi wa shule, vituo vya afya n.k
 
Hii course labda ipo kwenu


Hakuna course ya namna hii Tanzania nzima [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Labda kama Alitaka kusema Bachelor degree of Technical Education in Electrical and Electronics Engineering, Civil Engineering, mechanical engineering, etc
 
Back
Top Bottom