Kadhi courts has no place in the constitution

Kadhi courts has no place in the constitution

Sio nyie mlijipiga hadi ndole kukataa kuingiza kipengele cha dini ya mtu kwenye sensa...why mlikataa na leo mnakuja na data za uchochoroni...puuuuuf

Mkuu Kristians wanafanya mambo kisayansi.
Tatizo ni nyinyi wenyewe; Mna mahitaji mengi sana kwenye imani yenu yasiyotekelezeka. Na hii inaifanya imani yenu kuwa na mapungufu makubwa sana tena si kidogo. .Ndio maana hata sasa, uongozi wenu huko hamuukubali. Ila mumekuwa mkiuvumilia tu.
.
Mtu akiibuka na kapewa Hela ya mafuta huko arabuni akija na mihemuko yake ya kuleta vurugu mnasadiki moja kwa moja. Na kwa bahati mbaya mna watu wengi wenye uwezo wa kuwafanya mkajisikia wanyonge hata kama ni matajiri kuliko jamii nyingine. Wengi mnapewa mafundisho ya kuwasononesha na kuwafanya mjione wanyonge. Na mnapenda kuyasikiliza, kwakuwa yako mioyoni mwenu.Nyinyi ni inferior kwakuwa mnajikubali hivyo.Na hamwezi ondoa hilo kwenye roho zenu.
Zamani watu wengi walikuwa wanaamini ni kwa vile hamjasoma, mkaelimika. lakini siku hizi imegundulika hata mkisoma haisaidii. Hamwezi kuwa watu chanya kifikra.Kwani nyuma yenu mnakundi kubwa lisilo na Elimu.

Mfano; Kule Arabuni Wanachinjana kwa jina la dini kila kukicha: Lakini hamuwachi kusingizia Ni marekani na Mwisrael waliosababisha. Lakini hata ukiwaondoa hao: Haiwezi ondoa huu utamaduni wa mwenye nguvu ndiye msema kweli. Haijasaidia Somalia wala nyinyi hamjaonesha hisia za kuwasaidia wasomali miaka nenda miaka rudi. watakaoweza kuwasaidia wanatakiwa watoke kwenye dini nyingine.Na sio ya kwenu.

Hata hicho kipengele kwenye sensa kilionekana kitaenda kupandikiza mbegu ya chuki za kidini zilizokuwa zikishika kasi nchini: nyinyi hilo hamlioni. Na hata mkiliona ndilo mnalohitaji. Mnashangilia mkiona nchi inapelekwa kwenye Vurugu. KWa imani kuwa Mtashika dola.Jamhuri ya CAR waliamini hivyo hivyo. Tena washukuru wazungu kwenda kuokoa jahazi. Manake Iran ilipeleka pua kiupendeleo tu.

Swali la msingi
Je mnataka muonekane wengi ili mjisikie vizuri na muanze kunyanyasa wachache kwa kutumia wingi wenu?: inaonyesha hamjisikii vizuri hata sasa. Sijui hata kama umenielewa au unachagua cha kunielewa?
Azimio la Arusha: binadamu wote ni sawa na afrika ni moja. Tuache ubaguzi

 
Mkuu Kristians wanafanya mambo kisayansi.
tatizo nyinyi sijui aina gani ya uongozi mnaukubali mpaka sasa. Manake hata uliopo mnsupiga vita.
Mtu akiibuka na kapewa Hela ya mafuta huko arabuni akija na mihemuko yake ya kuleta vurugu mnamwamini moja kwa moja. Na kwa bahati mbaya mna watu wengi wenye uwezo wa kuwafanya mkajisikia wanyonge hata kama ni matajiri kuliko jamii nyingine. Wengi mnapewa mafundisho ya kuwasononesha na kuwafanya mjione wanyonge. Na mnapenda kuyasikiliza, kwakuwa yako mioyoni mwenu.
Zamani watu wengi walikuwa wanaamini ni kwa vile hamjasoma, mkaelimika. lakini siku hizi imegundulika hata mkisoma haisaidii.

Hamwezi kuwa watu chanya kifikra.Kwani nyuma yenu mnakundi kubwa lisilo na Elimu.
Mfano; Kule Arabuni Wanachinjana kwa jina la dini kila kukicha: Lakini hamuwachi kusingizia Ni marekani na Mwisrael waliosababisha. Lakini hata ukiwaondoa hao: Haiwezi ondoa huu utamaduni wa mwenye nguvu ndiye msema kweli.

Hata hicho kipengele kwenye sensa kilionekana kitaenda kupandikiza mbegu ya chuki za kidini zilizokuwa zikishika kasi nchini: nyinyi hilo hamlioni. Mnashangilia mkiona nchi inapelekwa kwenye Vurugu.

Je mnataka muonekane wengi ili mjisikie vizuri na muanze kunyanyasa wachache kwa kutumia wingi wenu?: inaonyesha hamjisikii vizuri hata sasa. Sijui hata kama umenielewa au unachagua cha kunielewa?


Mkuu, hata suala la wakristo kupinga kipengele cha dini ni la kisayansi...? Ninavyojua sayansi kwa upeo wangu ni lazima experiment, mbona mlikataa hicho kipengele...! Sasa mmebaki kubuni tu..sayansi gani hiyo la kilaghai namna hii...?
 
Kweli tuwasamee tu maana wazunguka mawe wana kilema cha Akili
 
Katiba ya chenge nani aipitishe...? Mara hii kila kitu kimekwama

Yaani Kichwa ndio Mtu.Ina maana kukosekana kwa Mahakama ya Kadhi kumesababisha muisusie na Katiba inayopendekezwa?.Mna uwezo wa kuhimili vishawishi kutoka kwa wenzetu akina Shekh Jongo?
 
Mkuu, hata suala la wakristo kupinga kipengele cha dini ni la kisayansi...? Ninavyojua sayansi kwa upeo wangu ni lazima experiment, mbona mlikataa hicho kipengele...! Sasa mmebaki kubuni tu..sayansi gani hiyo la kilaghai namna hii...?
Kuna aina nyingi za sayansi: kuna hapa nagusia Social science na political science. Zote zina-experiment: Isipokuwa Ile sayansi ya kuweka control experiment huwa inafanyika maabara. Sio tunayoizungumzia hapa.
 
Mkuu, hata suala la wakristo kupinga kipengele cha dini ni la kisayansi...? Ninavyojua sayansi kwa upeo wangu ni lazima experiment, mbona mlikataa hicho kipengele...! Sasa mmebaki kubuni tu..sayansi gani hiyo la kilaghai namna hii...?

Acha kukariri.Kuna Sayansi ya Jamii,Sayansi ya Siasa,Sayansi Kimu nk.Usipoweza kujenga hoja kisayansi utabaki kulaghaiwa na kutumika.Wenzenu Hoja zao ni za Kisayansi ndio maana wanafanikisha malengo yao kama MOU nk.
 
Kwann mlikataa kipengele cha dini ya mtu kwenye sensa...jahahahhahaha mtajibeba sana this tym ila ndio basi tena...

Kikwete na Makamu wake ni wakristo Serikali ipo chini ya nan
 
Yaani Kichwa ndio Mtu.Ina maana kukosekana kwa Mahakama ya Kadhi kumesababisha muisusie na Katiba inayopendekezwa?.Mna uwezo wa kuhimili vishawishi kutoka kwa wenzetu akina Shekh Jongo?

Hilo LA mahakama ya kadhi ni maalum kwa waislam wote ambao dini kwao ni kitu cha thamani sana...

Mambo ya serikali 2 au 3 ni jambo LA la kisiasa hapo hata waislam wenyewe wako huru kutofautiana...

Binafsi rasimu isiyokuwa na muundo wa maridhiano siwezi kuukubali(3 ndio mpango)
 
Kikwete na Makamu wake ni wakristo Serikali ipo chini ya nan

Nini ambacho unashangaa, kwani TEC si wanataka serikali 3...? Mbona waumini wake waliopo mjengoni wanataka serikali 2...tumia akili sio INYE
 
Kuna aina nyingi za sayansi: kuna hapa nagusia Social science na political science. Zote zina-experiment: Isipokuwa Ile sayansi ya kuweka control experiment huwa inafanyika maabara. Sio tunayoizungumzia hapa.

Na hata experiment nayozungumzia sio lazima ya maabara, bali research na finding of facts ambazo kwa muktadha wa statistics ni SENSA...

kwahiyo mlichogoma ni kutaka ukweli ujulikane, if that's data zingine zote ziko irrelevant...

Kimenuka
 
Acha kukariri.Kuna Sayansi ya Jamii,Sayansi ya Siasa,Sayansi Kimu nk.Usipoweza kujenga hoja kisayansi utabaki kulaghaiwa na kutumika.Wenzenu Hoja zao ni za Kisayansi ndio maana wanafanikisha malengo yao kama MOU nk.

Malengo yanayofanikiwa kupitia ulaghai na utwezaji nguvu huo sio HAKI...! kwann mnafikiri kwenu kupokea billions of TZS ni kawaida tena sawa kbs lkn kwa wenzenu iwe nongwa...

Mara hii mzigo umebuma
 
Nchi hii haina dini bali watu wake wana dini. Hivi endapo katiba inaruhusu uhuru wa kuabudu, tatizo ni nini?

Kwa taarifa hata Ukristu ni mfumo kamili wa maisha. Basi kadhi ikiingizwa, basi mahakama za kikristo na jadi ziingie.

ANZISHENI MAMBO YENU KWENYE IMANI ZANU BILA KUVUNJA HAKI ZA BINADAMU NA KATIBA.
 
Malengo yanayofanikiwa kupitia ulaghai na utwezaji nguvu huo sio HAKI...! kwann mnafikiri kwenu kupokea billions of TZS ni kawaida tena sawa kbs lkn kwa wenzenu iwe nongwa...

Mara hii mzigo umebuma
Swala ni uwezo wa kujenga hoja yenye Ushawishi.Kama huna uwezo wa kujenga Hoja yenye mantiki hutaweza kufanikisha Proposal yako katika dunia ya wenye akili.
 
Swala ni uwezo wa kujenga hoja yenye Ushawishi.Kama huna uwezo wa kujenga Hoja yenye mantiki hutaweza kufanikisha Proposal yako katika dunia ya wenye akili.

Nyie hoja zenu za kukataa ziko wapi zaidi ya chuki tu
 
Nchi hii haina dini bali watu wake wana dini. Hivi endapo katiba inaruhusu uhuru wa kuabudu, tatizo ni nini?

Kwa taarifa hata Ukristu ni mfumo kamili wa maisha. Basi kadhi ikiingizwa, basi mahakama za kikristo na jadi ziingie.

ANZISHENI MAMBO YENU KWENYE IMANI ZANU BILA KUVUNJA HAKI ZA BINADAMU NA KATIBA.

Acha uhuni wewe, lete mfumo wa kibenki wa kikristo kama kweli ukristo ni mfumo kamili wa maisha...

Ninachokijua ukristo ulitumika na unatumika kiwakandamiza wanyonge, walitumia dini kama njia za kuwasoften waafrika watutawale, wamekuja na democracy tena ubepari..na bado kwa ukilaza wenu mnavuliwa mpaka pichu MABABA mazima mnapigwa DUSHE...Go to hell
 
Nyie hoja zenu za kukataa ziko wapi zaidi ya chuki tu

Sheria za Mungu hazihitaji ruhusa ya Binadamu kuzitekeleza,Mahakama ya Kadhi haiitaji ruhusa ya binadamu ili Mungu aitambue.Kama kweli Mahakama ya Kadhi ni agizo la Mungu hamna sababu ya kuwepo kwenye katiba kwa sababu Mungu ni zaidi ya Katiba.
 
Acha uhuni wewe, lete mfumo wa kibenki wa kikristo kama kweli ukristo ni mfumo kamili wa maisha...

Ninachokijua ukristo ulitumika na unatumika kiwakandamiza wanyonge, walitumia dini kama njia za kuwasoften waafrika watutawale, wamekuja na democracy tena ubepari..na bado kwa ukilaza wenu mnavuliwa mpaka pichu MABABA mazima mnapigwa DUSHE...Go to hell

Kamanda Granta.
Hawa wagalatia na waefeso wanapata tabu sana.
Kila wakiona UISLAMU Unaendelea mavi yanawabana.

Makanisa yamejaa waliberali na wachungaji wenye kubaka watoto kila siku lkn hilo haliwapi tabu.
Tabu inawapata wakiskia waislamu HAWANA MACHAFU na wanapanga mikakati ya Maendeleo na kujulikana kwenye ngazi zote.

Ugalatia ni mzigo wa uliovunda.
Mara zote unatoa harufu mbaya
 
Last edited by a moderator:
Acha uhuni wewe, lete mfumo wa kibenki wa kikristo kama kweli ukristo ni mfumo kamili wa maisha...

Ninachokijua ukristo ulitumika na unatumika kiwakandamiza wanyonge, walitumia dini kama njia za kuwasoften waafrika watutawale, wamekuja na democracy tena ubepari..na bado kwa ukilaza wenu mnavuliwa mpaka pichu MABABA mazima mnapigwa DUSHE...Go to hell

Natumai umefurahi kwa kutukana maana roho aliyeko ndani mwako kafanya kazi yake.
 
Acha uhuni wewe, lete mfumo wa kibenki wa kikristo kama kweli ukristo ni mfumo kamili wa maisha...

Ninachokijua ukristo ulitumika na unatumika kiwakandamiza wanyonge, walitumia dini kama njia za kuwasoften waafrika watutawale, wamekuja na democracy tena ubepari..na bado kwa ukilaza wenu mnavuliwa mpaka pichu MABABA mazima mnapigwa DUSHE...Go to hell
Akili kama hii bado haijafikia viwango vya kumshawishi hata mtoto wa Darasa la Pili kuikubali Mahakama ya Kadhi.Asilimia kubwa ya wanaoitetea wana hoja kama ulizoandika.Katika Dunia ya wastaarabu mtachelewa sana kupata haki zenu.
 
Kamanda Granta.
Hawa wagalatia na waefeso wanapata tabu sana.
Kila wakiona UISLAMU Unaendelea mavi yanawabana.

Makanisa yamejaa waliberali na wachungaji wenye kubaka watoto kila siku lkn hilo haliwapi tabu.
Tabu inawapata wakiskia waislamu HAWANA MACHAFU na wanapanga mikakati ya Maendeleo na kujulikana kwenye ngazi zote.

Ugalatia ni mzigo wa uliovunda.
Mara zote unatoa harufu mbaya

Hoja uliyoandika inaweza kumshawishi mwenye akili timamu kuikubali Mahakama ya Kadhi?
 
Back
Top Bottom