Kadhi courts has no place in the constitution

Kadhi courts has no place in the constitution

Nchi hii haina dini bali watu wake wana dini. Hivi endapo katiba inaruhusu uhuru wa kuabudu, tatizo ni nini?

Kwa taarifa hata Ukristu ni mfumo kamili wa maisha. Basi kadhi ikiingizwa, basi mahakama za kikristo na jadi ziingie.

ANZISHENI MAMBO YENU KWENYE IMANI ZANU BILA KUVUNJA HAKI ZA BINADAMU NA KATIBA.

Haya ni maneno ya yule kafiri Nyerere aliyetugawa hapa nchini.
Akawaweka Wakatoloki Juu ya dini zingine zote.
Aka promote watu wa imani yake ktk ngazi Nyeti serikalini.
Akajaza Viongozi wa kigalatia ktk Wizara Nyeti sana Serikalini.
Utafkiri hii nchi ilikuwa mali ya mama yake.
Leo hii athari za mgawanyo wake zimesababisha misalaba tubebe sisi.

Yule alikuwa mdini mkubwa. Na mdhulumati mwizi wa fadhila.

Alisema Serikali Haina dini wakati yeye mwenyewe alituweke Jina la MUNGU ktk wimbo wetu wa taifa!

Jaribuni kufikiri ndugu wagalatia. Msiwe kama Bendera kufuata upepo.
Nyerere hata Akijamba nyie mnapiga makofi.

Ndio maana aliposema "uchumi mnao lkn mmeukali" mkainuka na kupiga makofi. Kumbe akimaanisha yale tunayoyaona leo Makanisani.

Na kwa taarifa yako MAHKAMA ZA KADHI ZIMEJAA DUNIANI lkn HAKUNA Mahkama hatta moja DUNIANI inaitwa MAHAKAMA YA KIKRISTO. na kama ipo NITAJIE JAPO MOJA TU.
 
Hoja uliyoandika inaweza kumshawishi mwenye akili timamu kuikubali Mahakama ya Kadhi?

Wewe mgalatia nani anahaja ya kukushawishi llt?

Nendeni mkadhibiti WABAKAJI huko makanisani kwanza kabla ya kuangalia mambo ya WAISLAMU!

Pilipili tule sisi, nyie makalio yawawashe! Hii si miujiza hii?

Hebu nambie, mahkama ya Kadhi inakuathiri vipi wewe MKRISTO?

Basi Roho korosho tu.

Tabia mbaya za namna hii husababisha ujauzito usioupangilia mkuu.
Wacheni kabla hamjaathirika jumla.
 
Akili kama hii bado haijafikia viwango vya kumshawishi hata mtoto wa Darasa la Pili kuikubali Mahakama ya Kadhi.Asilimia kubwa ya wanaoitetea wana hoja kama ulizoandika.Katika Dunia ya wastaarabu mtachelewa sana kupata haki zenu.

Ustaarabu gani unaouongelea hapa?
Au kuvaa suti kwenye Jua kali hali ya kuwa umetawazia makaratasi ndio unaita ustaarabu?

Binaadamu wenye Ustaarabu huwa hawashughulishwi na Mambo yasiowahusu.
Nimekuuliza huko juu. Je! MAHKAMA YA KADHI Ikipitishwa itawaathiri WAKRISTO kitu gani??

Umeshindwa kutoa jibu.

Sisi waislamu TUKO TAYARI KUGHARAMIA hio mahkama kwa kila kitu.
Wewe KM MKIRISTO INAKUDHURU NINI
 
wewe mgalatia nani anahaja ya kukushawishi llt?

Nendeni mkadhibiti wabakaji huko makanisani kwanza kabla ya kuangalia mambo ya waislamu!

Pilipili tule sisi, nyie makalio yawawashe! Hii si miujiza hii?

Hebu nambie, mahkama ya kadhi inakuathiri vipi wewe mkristo?

Basi roho korosho tu.

Tabia mbaya za namna hii husababisha ujauzito usioupangilia mkuu.
Wacheni kabla hamjaathirika jumla.

kweli unajua sipati picha. Hivi karne hii tuna vijana wenye mtazamo hasi kama huu?

Tumesoma wote, tumecheza wote, tunahudumiana mahospitalini na ofisi nyingine nk, hivi kwa nini tufike hapa?

Achana na kuwaona watu wengine vibaya, fuatilia maudhui ya shekhe salum wa dar es salaam kupitia radio one; utabadirika. Acha kabisa ubaguzi, ni hatari kuzidi moto wa chuma.
 
haya ni maneno ya yule kafiri nyerere aliyetugawa hapa nchini.
Akawaweka wakatoloki juu ya dini zingine zote.
Aka promote watu wa imani yake ktk ngazi nyeti serikalini.
Akajaza viongozi wa kigalatia ktk wizara nyeti sana serikalini.
Utafkiri hii nchi ilikuwa mali ya mama yake.
Leo hii athari za mgawanyo wake zimesababisha misalaba tubebe sisi.

Yule alikuwa mdini mkubwa. Na mdhulumati mwizi wa fadhila.

Alisema serikali haina dini wakati yeye mwenyewe alituweke jina la mungu ktk wimbo wetu wa taifa!

Jaribuni kufikiri ndugu wagalatia. Msiwe kama bendera kufuata upepo.
Nyerere hata akijamba nyie mnapiga makofi.

Ndio maana aliposema "uchumi mnao lkn mmeukali" mkainuka na kupiga makofi. Kumbe akimaanisha yale tunayoyaona leo makanisani.

Na kwa taarifa yako mahkama za kadhi zimejaa duniani lkn hakuna mahkama hatta moja duniani inaitwa mahakama ya kikristo. Na kama ipo nitajie japo moja tu.

ashakhum si matusi " u don't deserve to be called a tanzanian but "the islamic state candidate and the supporter of bokho haram".

Where do you get the courage to write such abusive statement to the farther of the nation.

Bwana akuhurumie maana pengine umeshibishwa na roho ya chuki bila kutumia akili yako.
 
ashakhum si matusi " u don't deserve to be called a tanzanian but "the islamic state candidate and the supporter of bokho haram".

Where do you get the courage to write such abusive statement to the farther of the nation.

Bwana akuhurumie maana pengine umeshibishwa na roho ya chuki bila kutumia akili yako.

Teh teh teh!
Father of nation my foot!
Who gave him that tittle? Who?

Call me whatever you want but the truth MUST be Said.

What is your definition of Tanzanian?
The one who bend backwards to accommodate MFUMO KRISTO?
or the one who is A Catholics base?
Or it could be any citizen who care about his Country so much so that He/she will tell THE TRUTH and NOTHING BUT TRUTH?

People like urself are the poison of JUSTICE!
You want everyone of us to Lick Nyereres backside!
Thats NOT going to happen pal.

I love my Country, and I will tell you anything which I Think its True, regardless if you liked it or Not.

Na huyo bwana mwambie awahurumie wale wanaoharibiwa na wachungaji makanisani.
Mimj niko physically fit!
 
Akili kama hii bado haijafikia viwango vya kumshawishi hata mtoto wa Darasa la Pili kuikubali Mahakama ya Kadhi.Asilimia kubwa ya wanaoitetea wana hoja kama ulizoandika.Katika Dunia ya wastaarabu mtachelewa sana kupata haki zenu.

Ustaarabu gani unazungumzia hapa, mapadre kubaka...? Au ushoga...? Au maana ya ustaarabu hujui
 
ashakhum si matusi " u don't deserve to be called a tanzanian but "the islamic state candidate and the supporter of bokho haram".

Where do you get the courage to write such abusive statement to the farther of the nation.

Bwana akuhurumie maana pengine umeshibishwa na roho ya chuki bila kutumia akili yako.

...........kwenye Avator yako naona mungu na wazazi wake ! ...kyeee....kyeeeh kyeeeee !
 
Ustaarabu gani unaouongelea hapa?
Au kuvaa suti kwenye Jua kali hali ya kuwa umetawazia makaratasi ndio unaita ustaarabu?

Binaadamu wenye Ustaarabu huwa hawashughulishwi na Mambo yasiowahusu.
Nimekuuliza huko juu. Je! MAHKAMA YA KADHI Ikipitishwa itawaathiri WAKRISTO kitu gani??

Umeshindwa kutoa jibu.

Sisi waislamu TUKO TAYARI KUGHARAMIA hio mahkama kwa kila kitu.
Wewe KM MKIRISTO INAKUDHURU NINI

Ndugu yangu mavazi sio hoja,hata wamama wa Kiarabu huvaa hijabu nyeusi ti na hujifunika gubigubi mpaka machoni bila kujali ukali wa Jua.Kuhusu Mahakama ya Kadhi tunaijadili kwa sababu mnataka iwekwe kwenye katiba ya Nchi ambayo ni yetu sote.Kama mngejadiliana Misikitini usingeona mkristo anayejishughulisha.
 
Mkuu Kristians wanafanya mambo kisayansi.
Tatizo ni nyinyi wenyewe;


Teh teh teh!

Hebu isome sayansi yenu hapa na mwalimu wenu yule msela aliyekuala pozi msalabani.

Sayansi ya kikristo inasema

LEV 11:6 And the hare, because he cheweth the cud, but divideth not the hoof; he is unclean unto you.

But The TRUTH is Rabbits do not bring anything up and chew on it.

Kwa kiswahili ni kuwa Biblia inasema SUNGURA anacheua lkn SUNGURA Hacheuwi HATTA KIDOGO.

Pia Tunasoma Sayansi ya biblia kuwa

The shape of the earth
Bible says

ISA 40:22 It is he that sitteth upon the CICLE of the earth, and the inhabitants thereof are as grasshoppers; that stretcheth out the heavens as a curtain, and spreadeth them out as a tent to dwell in:

MAT 4:8 Again, the devil taketh him up into an exceeding high mountain, and sheweth him all the kingdoms of the world, and the glory of them;

But the TRUTH IS Our Eath IS NOT CICLE but rather it is SPHERICAL.

More over
Sayansi ya kigalatia inasema.
Dunia na Mbingu Zina nguzo!!!!!

Earth supported?

JOB 26:7 He stretcheth out the north over the empty place, and hangeth the earth upon nothing.

JOB 38:4 Where wast thou when I laid the foundations of the earth? declare, if thou hast understanding.

Heaven supported too

JOB 26:11 The pillars of heaven tremble and are astonished at his reproof.

Teh teh teh teh.

Tumsifu bwana wa sayansi na teke linalokujia!
 
Teh teh teh!

Hebu isome sayansi yenu hapa na mwalimu wenu yule msela aliyekuala pozi msalabani.

Sayansi ya kikristo inasema

LEV 11:6 And the hare, because he cheweth the cud, but divideth not the hoof; he is unclean unto you.

But The TRUTH is Rabbits do not bring anything up and chew on it.

Kwa kiswahili ni kuwa Biblia inasema SUNGURA anacheua lkn SUNGURA Hacheuwi HATTA KIDOGO.

Pia Tunasoma Sayansi ya biblia kuwa

The shape of the earth
Bible says

ISA 40:22 It is he that sitteth upon the CICLE of the earth, and the inhabitants thereof are as grasshoppers; that stretcheth out the heavens as a curtain, and spreadeth them out as a tent to dwell in:

MAT 4:8 Again, the devil taketh him up into an exceeding high mountain, and sheweth him all the kingdoms of the world, and the glory of them;

But the TRUTH IS Our Eath IS NOT CICLE but rather it is SPHERICAL.

More over
Sayansi ya kigalatia inasema.
Dunia na Mbingu Zina nguzo!!!!!

Earth supported?

JOB 26:7 He stretcheth out the north over the empty place, and hangeth the earth upon nothing.

JOB 38:4 Where wast thou when I laid the foundations of the earth? declare, if thou hast understanding.

Heaven supported too

JOB 26:11 The pillars of heaven tremble and are astonished at his reproof.

Teh teh teh teh.

Tumsifu bwana wa sayansi na teke linalokujia!

Kama wewe ndie unayetegemewa na waislamu kujenga hoja za kuwashawishi watu wakubali mahakama ya Kadhi,wana kila sababu ya kutafakari upya chaguo lao.
 
Ndugu yangu mavazi sio hoja,hata wamama wa Kiarabu huvaa hijabu nyeusi ti na hujifunika gubigubi mpaka machoni bila kujali ukali wa Jua.Kuhusu Mahakama ya Kadhi tunaijadili kwa sababu mnataka iwekwe kwenye katiba ya Nchi ambayo ni yetu sote.Kama mngejadiliana Misikitini usingeona mkristo anayejishughulisha.

Bado hujajibu swali.

NI KIPI KINACHOWAKWAZISHA WAKRISTO au WASIOKUWA Waislamu ktk SUALA LA MAHKAMA YA KADHI?

Kwani Mahkama ya Kadhi umekuwa km ile DODOMA WINE mnayokunywa Kila Jumapili kukumbuka damu ya bwana? Na sasa mnahofu kuwa Waislamu wakianza Kunywa watamaliza Stock yote!?

Kipi unadhanu kitakuwa TATIZO kwako wewe binafsi au watu wa IMANI YAKO ikiwepo hio Mahkama ya Kadhi??
 
kyeee...kyeeeh kyeeeh ! umekunywa damu ya bwana (dodoma wine) na umekula mwili wa bwana (biskuti) !?:A S 109:

Ndugu yangu heshimu Imani za wenzako,Dharau haina mwisho mwema.Wenzako wa ISISL wanaendelea kupokea kipondohuko Syria.Jipange kujenga hoja huenda mkatushawishi tuwape mahakama ya Kadhi.
 
Bado hujajibu swali.

NI KIPI KINACHOWAKWAZISHA WAKRISTO au WASIOKUWA Waislamu ktk SUALA LA MAHKAMA YA KADHI?

Kwani Mahkama ya Kadhi umekuwa km ile DODOMA WINE mnayokunywa Kila Jumapili kukumbuka damu ya bwana? Na sasa mnahofu kuwa Waislamu wakianza Kunywa watamaliza Stock yote!?

Kipi unadhanu kitakuwa TATIZO kwako wewe binafsi au watu wa IMANI YAKO ikiwepo hio Mahkama ya Kadhi??

Shughuli za uenezaji Dini ni swala la Dini husika na Serikali haitahusika katika uenezaji wa Ibada za kidini kwa sababu Serikali haifungamani na Dini yoyote.Sio sawa kuishirikisha katika kuadhibu watu wasiofuata matakwa ya Dini ya Kiislamu kupitia Kadhi Court.
 
mbona hata hiyo katiba tutaikwamisha tu mi nasubiri muda wa kura
 
Shughuli za uenezaji Dini ni swala la Dini husika na Serikali haitahusika katika uenezaji wa Ibada za kidini kwa sababu Serikali haifungamani na Dini yoyote.Sio sawa kuishirikisha katika kuadhibu watu wasiofuata matakwa ya Dini ya Kiislamu kupitia Kadhi Court.

Lkn ni sawa Kuwaadhibu waislamu kwa kufuata Sheria mahakama za mkoloni aliyetuletea UGALATIA hapa Nchini sio?

Lbd nikuulize kitu hapa. Manake wengi wenu hatta hamjui KAZI ZA MAHKAMA YA KADHI.

Hapo juu umetaja habari ya mahkama ya kadhi KUTOA ADHABU Kana kwamba mahkama hii Ni SAWA NA MAHKAMA ZINGINE ZA KIEFESO!.

SWALI HILI HAPQ.
Je ! Unaweza kunitajia KAZI ZA MAHKAMA YA KADHI? au unabisha tu bila kuwa na Elimu yyt?
 
Teh teh teh!

Hebu isome sayansi yenu hapa na mwalimu wenu yule msela aliyekuala pozi msalabani.

Sayansi ya kikristo inasema

LEV 11:6 And the hare, because he cheweth the cud, but divideth not the hoof; he is unclean unto you.

But The TRUTH is Rabbits do not bring anything up and chew on it.

Kwa kiswahili ni kuwa Biblia inasema SUNGURA anacheua lkn SUNGURA Hacheuwi HATTA KIDOGO.

Pia Tunasoma Sayansi ya biblia kuwa

The shape of the earth
Bible says

ISA 40:22 It is he that sitteth upon the CICLE of the earth, and the inhabitants thereof are as grasshoppers; that stretcheth out the heavens as a curtain, and spreadeth them out as a tent to dwell in:

MAT 4:8 Again, the devil taketh him up into an exceeding high mountain, and sheweth him all the kingdoms of the world, and the glory of them;

But the TRUTH IS Our Eath IS NOT CICLE but rather it is SPHERICAL.

More over
Sayansi ya kigalatia inasema.
Dunia na Mbingu Zina nguzo!!!!!

Earth supported?

JOB 26:7 He stretcheth out the north over the empty place, and hangeth the earth upon nothing.

JOB 38:4 Where wast thou when I laid the foundations of the earth? declare, if thou hast understanding.

Heaven supported too

JOB 26:11 The pillars of heaven tremble and are astonished at his reproof.

Teh teh teh teh.

Tumsifu bwana wa sayansi na teke linalokujia!
We naona unataka uzi ufungwe..
em nikuulize kitu. Je unakubaliana na maagizo ya mtume kwamba Kweli kwamba bawa moja la nzi wa kijani lina dawa na lingine lina ugonjwa, hivyo nzi akitumbukia kwenye futari ama uji wa ngama unatakiwa umzamishe wote?
Je allah aliumba dunia kwa siku ngapi? Ukishindwa nipe ingredients za kutengeneza uji wa ngama na wa Sunna: nitakupa jibu
.
 
Back
Top Bottom