Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
UDART inaonekana kuna watu wametega mirija pale. Kadi za mwanzo zilikuwa na pesa za watu wanajua walikopeleka pesa za maelfu ya waliokuwa na kadi za kulipia usafiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna haja ya abiria kuwa na kadi. Kadi za mwanzo ziliacha kutumika na kulikuwa na pesa za watu na hawajawahi kusema zilikoenda.Kwa nini wanaziuza 5k?
Kama hauwezi kuinunua tembea.Sidhani kama hii ni sawa jamani
Kwani haiwezekani kutoa Kadi bure? Au hata iwe elf moja kama za pantoni?
Kweli ni busara kuuza Kadi Kwa elf tano?
Hiyo Kadi ina mambo gani ya ziada?
Wahusika waangalie hili jambo Kwa hicho la Imani
Ukweli ni kwamba huu ni ujinga mkubwa. Kama UDART hawawezi kuweka mabasi ya kutosha waruhusu watu binafsi wenye uwezo. Wao wanaweza kuchukua kodi kiasi fulani hii ni win-win situation kwa abiria na Mwendokasi.Mwendokasi wanatujaza km mizigo, waruhusu Co zingine kama tatu au waongeze mabasi! Lile basi refu linashindilia watu mpaka Mia tatu! Huku wafanyakazi wakitufokea mithili ya watoto wa shule! Aise umasikini mbaya, mwakani nitafosi ist hata kwa kukopa.
Kwanza ni aibu na fedheha kuminyana na wamama watu wazima wengine wana misambwanda!
Acha tu!Ukweli ni kwamba huu ni ujinga mkubwa. Kama UDART hawawezi kuweka mabasi ya kutosha waruhusu watu binafsi wenye uwezo. Wao wanaweza kuchukua kodi kiasi fulani hii ni win-win situation kwa abiria.
Duh hatari poleni sana.Kadi 4 I think, ukiplus na bank wallet inajaa kadi Tu 😂
Yaani kadi 5000 ambayo haina kitu ? hakuna pesa za kuchezea hapa.Unanunua Kadi elf tano, then unaweka pesa za unakokwenda
eti bongo biashara inakufa na kushindwa kujiendesha kisa imezidiwa na wateja yaani barabara yako,ruti uko peke yako abiria wa kumwaga hadi unawakimbia pesa kama zote alafu ruti ya mbagala na g/mboto daladala kibao wanapata faida hawafeli kupeleka hesabu laki mbili kwa bosi hawa Udart wanafeli wapi kwa nyomi lile hadi wanaleta njaa za tsh5000.!Ukweli ni kwamba huu ni ujinga mkubwa. Kama UDART hawawezi kuweka mabasi ya kutosha waruhusu watu binafsi wenye uwezo. Wao wanaweza kuchukua kodi kiasi fulani hii ni win-win situation kwa abiria na Mwendokasi.
Huenda ndio kampuni ya kwanza kushindwa kujiendesha kwa ufanisi kwa sababu ya kuzidiwa na idadi kubwa ya wateja.Ukweli ni kwamba huu ni ujinga mkubwa. Kama UDART hawawezi kuweka mabasi ya kutosha waruhusu watu binafsi wenye uwezo. Wao wanaweza kuchukua kodi kiasi fulani hii ni win-win situation kwa abiria na Mwendokasi.
Watanzania hawaelewi maana ya sustenability. ILi abiria waweze kutunza kadi lazima wazinunue. Ukifanya kadi bure abiria hawatazitunza. Pia fikiria abiria anaepanda bus maramoja tu na kuitelekeza huoni udat watakuwa wanafanya bishara kichaa.Sidhani kama hii ni sawa jamani
Kwani haiwezekani kutoa Kadi bure? Au hata iwe elf moja kama za pantoni?
Kweli ni busara kuuza Kadi Kwa elf tano?
Hiyo Kadi ina mambo gani ya ziada?
Wahusika waangalie hili jambo Kwa hicho la Imani
Labda sio Mimi, watapanda wenye mapesa yao..Haha elf tano ni kadi Tu, 😂 then weka 750 ya nauli