Kadi ya kupanda Mwendokasi ni elf tano (5000)

Kadi ya kupanda Mwendokasi ni elf tano (5000)

Huenda ndio kampuni ya kwanza kushindwa kujiendesha kwa ufanisi kwa sababu ya kuzidiwa na idadi kubwa ya wateja.

Tatizo la huduma nyingi za umma kuwa mbovu ni kwa sababu ya kuwepo kwa tabaka la wenye nacho na wasio nacho kwenye huduma inayotakiwa kutolewa kwa usawa. Kama wakuu wa mikoa na wilaya na wakuu wa taasisi mbalimbali wangekuwa wanatumia usafiri huo kusingekuwa na upumbavu uliopo. Wale wanachotaka ni kuuza tiketi tu huduma bora si kipaumbele kabisa kwa sababu wanajua hakuna mkuu wa mkoa wala wilaya anayepanda udart ndio maana unakuta basi siti zimepasuka, camera zinaning'inia, basi lina vumbi na halisafishwi, watu wanajazana hadi mlangoni.

Hakuna kiongozi wa serikalini anayejua adha ya usafiri wa udart sababu hawatumii usafiri huo hivyo hawafahamu na ndio maana changamoto ya usafiri hup haipati ufumbuzi.
Hilo ndio tatizo kubwa kwa kila sehemu, kila kiongozi, kila mahali. Ubinafsi.
Hawafikirii ningekuwa natumia huu usafiri, hii huduma ningejisikiaje.
 
Hilo ndio tatizo kubwa kwa kila sehemu, kila kiongozi, kila mahali. Ubinafsi.
Hawafikirii ningekuwa natumia huu usafiri, hii huduma ningejisikiaje.
Nchi zilizoendelea usafiri wa umma ni kwa wote hata viongozi ndio maana huduma zinakuwa bora. Udart inadharau abiria, watu wanatumia tu usafiri ule kwa sababu hawana namna maana route za kufika posta na kariakoo zilifutwa. Ni usafiri wa hovyo mno na unaotweza utu wa watu.
 
U
Sidhani kama hii ni sawa jamani

Kwani haiwezekani kutoa Kadi bure? Au hata iwe elf moja kama za pantoni?

Kweli ni busara kuuza Kadi Kwa elf tano?

Hiyo Kadi ina mambo gani ya ziada?

Wahusika waangalie hili jambo Kwa hicho la Imani
Usione jitu linaitwa Dr. Limepewa taasisi kuendesha ukaliona la maana sana, hayajaelimika hayo.

Hata mimi sioni sababu ya kuziuza 5,000 labda halafu hiyo elfu 5 yote itumike kwa usafiri.

Huyo anajipigia zake na wenzake, kwisha.

Anajidai kampuni za Kichina sijui za Kitaliani, hakuna lolote, waniope mimi niwatengezee smart cards hapahapa Tanzania, wasituone wote wajinga.

Wazigawe bure wawauzie watu usafiri tu.
 
U

Usione jitu linaitwa Dr. Limepewa taasisi kuendesha ukaliona la maana sana, hayajaelimika hayo.

Hata mimi sioni sababu ya kuziuza 5,000 labda halafu hiyo elfu 5 yote itumike kwa usafiri.

Huyo anajipigia zake na wenzake, kwisha.

Anajidai kampuni za Kichina sijui za Kitaliani, hakuna lolote, waniope mimi niwatengezee smart cards hapahapa Tanzania, wasituone wote wajinga.

Wazigawe bure wawauzie watu usafiri tu.

Bora hata wangesema lipa elf tano na Kadi yako utakuta na salio la elf 3 atleast hiyo

Ila utoe elf tano then utafute ela ya safari, I think kila mtu ataanza kurudi kwenye daladala sasa

Sometimes viongozi wa serikali wanasababisha Maisha kuonekana ni magumu Kwa vitu vya kizembe kama hivi
 
Bora hata wangesema lipa elf tano na Kadi yako utakuta na salio la elf 3 atleast hiyo

Ila utoe elf tano then utafute ela ya safari, I think kila mtu ataanza kurudi kwenye daladala sasa

Sometimes viongozi wa serikali wanasababisha Maisha kuonekana ni magumu Kwa vitu vya kizembe kama hivi
Na ujinga wao watazifungia hizo routes.

Mitanzania haiwezi kuendesha kitu.

Wataziua na hizo mashine, nakwambia hazikai, wizi mtupu.

Bila kuwekwa sheria za kuuwana kwa ufisadi na kukatana mikono kwa wizi hatutaweza.
 
Unanunua kadi Elf tano alafu unaenda kusukumana na watu mwisho unaibiwa wallet na kadi ikiwemo ndani.
 
Usione jitu linaitwa Dr. Limepewa taasisi kuendesha ukaliona la maana sana, hayajaelimika hayo.

Hata mimi sioni sababu ya kuziuza 5,000 labda halafu hiyo elfu 5 yote itumike kwa usafiri.

Huyo anajipigia zake na wenzake, kwisha.

Anajidai kampuni za Kichina sijui za Kitaliani, hakuna lolote, waniope mimi niwatengezee smart cards hapahapa Tanzania, wasituone wote wajinga.

Wazigawe bure wawauzie watu usafiri tu.
Udart ilipoanza huduma ya usafirishaji walitoa kadi lakini matumizi ya zile kadi yalisitishwa ghafla huku watu wakiwa wameweka pesa na hakuna aliyewahi kuhoji pesa zile zilienda wapi maana serikali haiwezi kuchukua pesa nje ya utaratibu wake wa kukusanya mapato.

Kwa ufupi hiyo kampuni inaendeshwa na wezi na hata hizo kadi mpya ni mpango wao wa kuendeleza wizi. Kivukoni pale unapata kadi kwa sh elfu moja tu lakini wao wanauza sh elfu tano. Huo ni wizi kabisa.
 
Udart ilipoanza huduma ya usafirishaji walitoa kadi lakini matumizi ya zile kadi yalisitishwa ghafla huku watu wakiwa wameweka pesa na hakuna aliyewahi kuhoji pesa zile zilienda wapi maana serikali haiwezi kuchukua pesa nje ya utaratibu wake wa kukusanya mapato.

Kwa ufupi hiyo kampuni inaendeshwa na wezi na hata hizo kadi mpya ni mpango wao wa kuendeleza wizi. Kivukoni pale unapata kadi kwa sh elfu moja tu lakini wao wanauza sh elfu tano. Huo ni wizi kabisa.
Watu kama hao ndio wakuuliwa na wananchi sio vibaka wa kuanua vyupi uani.
 
Watanzania hawaelewi maana ya sustenability. ILi abiria waweze kutunza kadi lazima wazinunue. Ukifanya kadi bure abiria hawatazitunza. Pia fikiria abiria anaepanda bus maramoja tu na kuitelekeza huoni udat watakuwa wanafanya bishara kichaa.

Kabla ya kulalamika unatakiwa uwe unajiuliza mwenyewe maswali. Fikiria udati kilasiku ina abiria wapya. Tena wanaotoka mikoani ambao wala hawataendelea kutumia hiyo kadi tena. Yani wao wawe na kazi ya kugawa kadi kama njugu. Kwa mamilioni ya watu wa DSM watafilisika tu.

Ukinunua utaitunza
Kwa hiyo umeona umeandika kitu cha maana mbona sim kard zinatolewa bure
 
U

Usione jitu linaitwa Dr. Limepewa taasisi kuendesha ukaliona la maana sana, hayajaelimika hayo.

Hata mimi sioni sababu ya kuziuza 5,000 labda halafu hiyo elfu 5 yote itumike kwa usafiri.

Huyo anajipigia zake na wenzake, kwisha.

Anajidai kampuni za Kichina sijui za Kitaliani, hakuna lolote, waniope mimi niwatengezee smart cards hapahapa Tanzania, wasituone wote wajinga.

Wazigawe bure wawauzie watu usafiri tu.
Tatizo ni hapo juu kwa huyo bi mkubwa ndo hayuko serous labisa
 
Hii ndio Tanganyika ya CHURA anayo itaka. Huu ni utapeli w wazi KABISA.
All the best
 
Back
Top Bottom