Kweli kabisaNa ujinga wao watazifungia hizo routes.
Mitsnzania haiwezi kuendesha kitu.
Wataiua na huzo mashine nakwambia hazikai, wizi mtupu.
Bila kuwekwa sheria za kuuwana kwa ufisadi na kukatana mikono kwa wizi hatutaweza.
Kwa hiyo unatoa 5000 alafu una top up pesa ......Hiyo ni bei ya card tu mkuu,ili ianze matumizi lazima iwekewe hela.
Sahihi kabisa,hiyo 5k ni manunuzi ya card nakumbuka hata zile za mwanzo ilikuwa hivi hivi.Kwa hiyo unatoa 5000 alafu una top up pesa ......
Ova
Hawa watu wa ajabu kweliSahihi kabisa,hiyo 5k ni manunuzi ya card nakumbuka hata zile za mwanzo ilikuwa hivi hivi.
Upigaji ni mwingi na wanaozihujumu hizi system ni stuff hao hao wa DART.Hawa watu wa ajabu kweli
Kadi za mwanzoni na ule mfumo
Waliupeleka wapi
Hata hizi kadi itakuwa yaleyale tu
Ova