Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Status
Not open for further replies.
Sidhani kama Pengo ni mtu wa aina hiyo. Najua ni mtu mwenye uelewa mkubwa na kamwe haongeki. Iwapo atathubutu kuwakataza wakatoliki kama tetesi inavyosomeka, atakuwa amejivunjia heshima sana na kamwe amri yake haipaswi kutekelezeka. Isitoshe, atakuwa ameliweka Kanisa Katoliki rehani. Tafadhali Baba Kardinali usimalize maisha yako ya utumishi wa Mungu duniani vibaya. Ni bora ukae kimya Baba Askofu.

HAONGEKI??????

KAMA HUJUI KAA KIMYA TU MKUU
 
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta

MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri muda utaongea

Pengo hawezi kumwamrisha mtu nje ya kanisa. Ya nje akiyaingilia kwa mtindo huo amekwisha thamani yake ingawa Gwajima aliitikisa kidogo
 
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta

MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri muda utaongea
Viongozi wengi wa kidini Tanzania wapo kwa maslahi ya kuilinda Serikali ya CCM. Mfano mzuri ni BAKWATA ni chombo cha usalama wa Taifa,
 
Bora aendelee kukaa kimya tu kama ni mtu wa kuona mbali.
Hizo ni habari za uongo sana maana habari yoyote inayohusu maelekezo kwa wakatoliki inatolewa na baraza la maaskofu Tanzania chini ya rais ws wake Mhashamu baba askofu Tarsicius Ngalalekumtwa
Pengo anajielewa hawezi fanya hivyo, Kama ni kuzungumza ataongelea kupatikana kwa suluhu
 
Mk
Nikusaidie tu mkuu, Kardinali Pengo ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la DSM. Si msemaji wala mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania. Hawezi kutoa msimamo wa Kanisa la Tanzania..... Labda awapige marufuku waumini wa DSM!!!!!

Akisema Ngalalekumtwa Tarsisius nitamuelewa kwani hiyo itakuwa ni kwa niaba ya TEC.... Jifunzeni mtiririko wa uongozi wa Kanisa Katoliki!!!

Mwisho lakini muhimu ni kuwa Kanisa Katoliki halina utaratibu wa kuitisha "press conferences" kama Maaskofu wana jambo la kuwasilisha watafanya hivyo kupitia Makongamano yao na pia watatoa walaka uliosainiwa na Maaskofu Katoliki wote
Mkuu hata wewe hujui.
 
Labda universe ya bongo,
kanisa catolic duniani halina ushawishi wowote,zaidi ya kujipa promo tu,
bora hata walokole wanajitahidi kujaribu kucontrol kuliko wao
Nahisi haujaelewa maana ya aliyepost 'universe'. Ni kwamba ukisema kanisa katoliki unamaanisha hadi wakatoliki waliopo Phillipines au Timor Leste. Sasa iweje Kardinali Pengo azushiwe kutoa tamko la wakatoliki hata ambao hawaujui Ukuta! Mamlaka ya Kardinali Pengo (kama askofu Mkuu) yapo ndani ya Jimbo Kuu la Dar es Salaam (ambalo mipaka yake inameza Dar, Zanzibar, Pwani na sehemu ya mkoa wa Morogoro). Ungeelewa hayo sidhani kama ungezungumzia mambo ya ushawishi.

Mamlaka yake kama Kardinali bado hayawezi kumfanya atoe tamko la wakatoliki kwani naye ni mjumbe wa Baraza la Maaskofu -TEC na si lazima yeye awe rais wake. Ana faida ya heshima ya ziada kwa kuwa Kardinali kutokana na kuwa mjumbe wa College of Cardianals ambayo pamoja na kazi nyingine atakazopewa na Papa, huwa anashiriki katika uchaguzi wa Papa mpya wakati nafasi ipo wazi, yaani sede vacante.
 
Hawa jamaa nimesoma shule zao..I got this real respect
They're silent like wall mural paintings but they're real de facto power..wanaskuma chess huku waki'sip ghahawa..
Mnakumbuka walichomfanya Mugabe alipoanza kum'harass yule Archbishop wa Harare in late 90s au early 2000s
Our School Rector alituambia Robert Gabriel Mugabe he's digging his own grave with bare hands in darkness while they have lights and shovels to fasten the process for him..Hiyo kauli sikuwahi kuilewa mpaka leo..
but soon jamaa aliufyata..tangu hapo the Tsangirai's na instability ya Zimbwabwe ime'prevail till leo..
Phillipines waliangusha empire ya Ferdinand Marcos; the famous USA despot in bastion Catholic state in Communist suited Asia kipindi hicho..

Wachache watakuelewa
 
Hizo ni habari za uongo sana maana habari yoyote inayohusu maelekezo kwa wakatoliki inatolewa na baraza la maaskofu Tanzania chini ya rais ws wake Mhashamu baba askofu Tarsicius Ngalalekumtwa
Teh teh! Jina lake ni kiboko.nimelikubali,maana nalirudia kulitamka linanishinda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom