Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Status
Not open for further replies.
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta

MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri mdaa utaongea
Ndo mana idadi ya watu wasiokuwa na dini siku hizi nazidi kuongezeka.

Watumishi wa Mungu wanaacha kazi zao wanaenda kwenye siasa.
 
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta

MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri mdaa utaongea

Pengo ana waumini dsm tu huko kwingine hakumhusu
 
Mkuu achana nae HAJUI lolote
Cardinal ndiyo kiongozi wa wa Catholics ktk nchi husika
Cardinal anakuwa mmoja tu
Pengo ndiyo kioongozi wao
Kazi yake kuisifia CCM tu
Kadinali ni daraja tu hata padre anaweza kupewa ukadinali,Askofu ndio cheo cha juu kanisani
 
Wacha kujipa sympathy mzee....Catholic church is the most powerfull na strong instituion in the world and it will remain so...

Ina mashirika makubwa ya mapadre ambayo yanapenyeza ktk serikali yoyote duniani...
Nenda Saudia Arabia uone kama kuna chuo kikuu chochote cha Kikristu zaidi ya George Town ya Jesuits na kuna parokia kule...
hebu tupe basi mfano wa ushawishi hata mmoja tutafakari,
kwa upande wa walokole ushawishi wao una nguvu sana kwa serikali ya marekani kuendelea kuifavour israel,wakati Roman catolic juhudi zao za kushawishi wapalestina wasinyanyaswe kule gaza wala hakuna anaewasikia,sasa ushawishi wao hasa uko wapi
 
Pengo hayuko kwenye payroll
Pengo ni 'de facto power behind power'

Hawa jamaa nimesoma shule zao..I got this real respect
They're silent like wall mural paintings but they're real de facto power..wanaskuma chess huku waki'sip ghahawa..
Mnakumbuka walichomfanya Mugabe alipoanza kum'harass yule Archbishop wa Harare in late 90s au early 2000s
Our School Rector alituambia Robert Gabriel Mugabe he's digging his own grave with bare hands in darkness while they have lights and shovels to fasten the process for him..Hiyo kauli sikuwahi kuilewa mpaka leo..
but soon jamaa aliufyata..tangu hapo the Tsangirai's na instability ya Zimbwabwe ime'prevail till leo..
Phillipines waliangusha empire ya Ferdinand Marcos; the famous USA despot in bastion Catholic state in Communist suited Asia kipindi hicho..
 
Hawa jamaa nimesoma shule zao..I got this real respect
They're silent like wall mural paintings but they're real de facto power..wanaskuma chess huku waki'sip ghahawa..
Mnakumbuka walichomfanya Mugabe alipoanza kum'harass yule Archbishop wa Harare in late 90s au early 2000s
Our School Rector alituambia Robert Gabriel Mugabe he's digging his own grave with bare hands in darkness while they have lights and shovels to fasten the process for him..Hiyo kauli sikuwahi kuilewa mpaka leo..
but soon jamaa aliufyata..tangu hapo the Tsangirai's na instability ya Zimbwabwe ime'prevail till leo..
Phillipines waliangusha empire ya Ferdinand Marcos; the famous USA despot in bastion Catholic state in Communist suited Asia kipindi hicho..
mgabe mbona yuko vizuri tu mkuu?,walioharibu nchi ya zimbabwe ni waingereza,
marcos kilichompindua ni wananchi walichoka udikteta wake,
 
Sidhani kama kuna Mtumishi wa Mungu Duniani atakayesimama kupinga maamuzi ya Serikali (Mamlaka) labda awe kajiweka mwenyewe kwenye utumishi yaani hakuwekwa na Mungu. Biblia katika Warumi 13:1-5... inaelekeza kutii Mamlaka inayotuongoza, kwani hakuna mamlaka, isipokuwa iliyotoka kwa Mungu.
 
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta

MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri muda utaongea
Atakuwa yipo sahihi,kwani ukatoliki unaruhusu vurugu?
 
Nafikiri kanisa lilikizuia kisisambazwe tena baada ya kuona athari take. Kama upo Kilimanjaro tuwasiliane naweza kukuazima
daah,am sorry nimekikosa,but takitafuta,nina jamaa yangu padri tamuuliza kama anacho,nipo mbali sana na maeneo uliyopo...asante kujali pia!
 
Watu mnapiga mayowe wakati hata mfumo wa kanisa katoliki hamuufahamu.
Haiwezekani askofu au kadinari kufanya press conference !
Labda kama ataongea kwenye ibada.
umesikia lini kanisa linachangia Madawati.

pia mtoa mada kaleta kama tetesi lakini vichwapanzi wanachangia kama Pengo kasema.
Ulianza vema lkn para ya mwisho imetusaidia kujua hauko vema kibusara.
 
Nikusaidie tu mkuu, Kardinali Pengo ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la DSM. Si msemaji wala mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania. Hawezi kutoa msimamo wa Kanisa la Tanzania..... Labda awapige marufuku waumini wa DSM!!!!!

Akisema Ngalalekumtwa Tarsisius nitamuelewa kwani hiyo itakuwa ni kwa niaba ya TEC.... Jifunzeni mtiririko wa uongozi wa Kanisa Katoliki!!!

Mwisho lakini muhimu ni kuwa Kanisa Katoliki halina utaratibu wa kuitisha "press conferences" kama Maaskofu wana jambo la kuwasilisha watafanya hivyo kupitia Makongamano yao na pia watatoa walaka uliosainiwa na Maaskofu Katoliki wote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom