Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Status
Not open for further replies.
Ni ngumu kwa Mh Kadinali PENGO kutoa matamko yanayolenga ubaguzi.
 
Bora mwanya kuliko pengo badala amshauri muumini wke ili ajisahishe n kukurupuka, kuropoka kila kukicha...viongozi wote wa dini ni manafiki wa kiwango cha juu anajitoa ufahamu kipindi hiki wakti wa utawala wa mkapa alikua anamkosoa sana.utawala huu amekaa kimya
Absolutely
 
Pengo anajielewa hawezi fanya hivyo, Kama ni kuzungumza ataongelea kupatikana kwa suluhu[/Q

Nakubaliana na wewe.Kwanza yeye hawezi kutoka na kutolea msimamo kwa Wakatoliki wote bila idhini ya Maaskofu wenzie.Kwa kuwa UKUTA si issue ya kitaifa kama kuna ulazima wa Kanisa kutoa maoni au maelekezo yeyote kazi hiyo itafanywa na Baraza la Maaskofu kupitia Raisi wake au idara zake zinazohusiana na mambo ya Haki na Amani.

Kwa hiyo yawezekana akaongelea suala hilo lakini haiwezi kuwa kwa muktadha wa Wakatoliki wote.Wakatoliki wako CCM pia na vyama vingine na wengine hawana vyama kabisa ikiwemo yeye mwenyewe na viongozi wengine waandamizi wa Kanisa Katoliki.

Na ikitokea kweli akaongelea suala la UKUTA itakuwa kwa nafasi yake kama Mtanzania na kwa hali hiyo hatoweza ku-address Wakatoliki wote Tanzania au Jimbo la Kuu la Dar Es Salaam.
 
Lakini mbona huwa wanasema ati kesi ya ngedere usimpelekee nyani?
 
Watu mnapiga mayowe wakati hata mfumo wa kanisa katoliki hamuufahamu.
Haiwezekani askofu au kadinari kufanya press conference !
Labda kama ataongea kwenye ibada.
umesikia lini kanisa linachangia Madawati.

pia mtoa mada kaleta kama tetesi lakini vichwapanzi wanachangia kama Pengo kasema.
 
Labda universe ya bongo,
kanisa catolic duniani halina ushawishi wowote,zaidi ya kujipa promo tu,
bora hata walokole wanajitahidi kujaribu kucontrol kuliko wao
 
Zamu ya katoliki ndo maana hata teuzi za muheshimiwa ni wakatoliki asilimia 90% na hakuna anayesema udini, subirini mwimbo wa udini 2025 tena
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom