Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Status
Not open for further replies.
Mtoa mada akasema atatoa tamko jumamosi harafu kasema Pengo atakachosema, hii haingii akilini, maana kama kasema atatoa tamko uwezo kujua atakachosema
 
Pengo ndo mtu pekee wa kumwambia Magufuli acha waandamane na Magufuli akatii

Pengo na Mkapa.......
Pengo hana mamlaka ya kutoa tamko kwa niaba yetu Wakatoliki, tunaye Rais wetu wa TEC na huyu huwezi kumuweka kwenye payroll.

Pengo ni Askofu wetu mkuu kwenye mambo ya kiroho tu.
 
Acheni Double standards Gwajima huwa mnamtetea mbona
Kila issue na kila wakati lazima kuwe na sides. hata pengo akisema hivyo wapo wengi watamsifu sana, na wengine watamponda. Ulitaka iweje? that's natural.

Hata huyo Gwajima kila anachosema lazima apate waunga mkono na wapondaji? Are you blind and deaf?
 
Pengo hana mamlaka ya kutoa tamko kwa niaba yetu Wakatoliki, tunaye Rais wetu wa TEC na huyu huwezi kumuweka kwenye payroll.

Pengo ni Askofu wetu mkuu kwenye mambo ya kiroho tu.
Ataongea kama alivyoongelea katiba mpya...
 
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta

MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri mdaa utaongea
Yeye si msemaji wa Wakatoliki wote..Labda wa Dar..
 
Labda universe ya bongo,
kanisa catolic duniani halina ushawishi wowote,zaidi ya kujipa promo tu,
bora hata walokole wanajitahidi kujaribu kucontrol kuliko wao
Sisi ni Watanzania, na kanisa katoliki ndio limetowa Rais kwaara ya ya tatu.

Ushauri: mkitaka mahakama ya kadhi kaeni na maaskofu muwafafanulie muwaombe wakiwaelewa na kuwaKubalia basi saa mbili asubuhi tu mnaundiwa hiyo kadhi court.

Vaticano ndio Causa finita.
 
Pengo ndo mtu pekee wa kumwambia Magufuli acha waandamane na Magufuli akatii

Pengo na Mkapa.......
Nikweli halafu hili jambo la uDini zamani nilikuwa silielewi vzr ila sasa hivi nimetokea kuwa na rafiki ambae hatuna muda mrefu sana tangu tufahamiane yy ni Mkathoric ..Akianza kuongelea issue za huu Utawala nabaki namaswali yasiyo na majibu
 
Yeye si msemaji wa Wakatoliki wote..Labda wa Dar..
Wewe ni mamluki na siyo Mkatoliki, Mhashamu Cardinal Archbishop Pengo ni Askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es salaam. Huyu ndio Top kiimani kwa maaskofu wote wa kanisa katoliki Tanzania.

Ila hana mamlaka na utoaji matamko hilo ni jukumu la Rais wa TEC.
 
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta

MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri mdaa utaongea
Your take,baki nayo..
Iyo tetesi km itakua kweli safi sana...
Ntamsupport saaana..
 
Bora mwanya kuliko pengo badala amshauri muumini wke ili ajisahishe n kukurupuka, kuropoka kila kukicha...viongozi wote wa dini ni manafiki wa kiwango cha juu anajitoa ufahamu kipindi hiki wakti wa utawala wa mkapa alikua anamkosoa sana.utawala huu amekaa kimya
Hapa kiongozi wa dini ambaye huwa tu namwaminia hana UNAFIKI ni :-

-Askofu Malasusa wa KKKT

- Na Gwajima

Hawa wengine tumeshashuhudia Unafiki wao.
 
Rais wa tec ndio kiongozi wa kanisa katoliki tanzania
Pengo yeye ni askof mkuu wa jimbo la dar tu
 
Sidhani kama Pengo ni mtu wa aina hiyo. Najua ni mtu mwenye uelewa mkubwa na kamwe haongeki. Iwapo atathubutu kuwakataza wakatoliki kama tetesi inavyosomeka, atakuwa amejivunjia heshima sana na kamwe amri yake haipaswi kutekelezeka. Isitoshe, atakuwa ameliweka Kanisa Katoliki rehani. Tafadhali Baba Kardinali usimalize maisha yako ya utumishi wa Mungu duniani vibaya. Ni bora ukae kimya Baba Askofu.
Ah ah ah...
Lastweek kwenye jumuia zetu za asubuhi wakatoliki sisi tulijadili hili swala kua pengo atangaze mapema mana tunaunga hoja...
Sasa maoni yako ...mhhhh...
Heshima atajvunjia kwa washika ukuta...kwa sie anaetuhusu tupo nae saaaana
 
Labda universe ya bongo,
kanisa catolic duniani halina ushawishi wowote,zaidi ya kujipa promo tu,
bora hata walokole wanajitahidi kujaribu kucontrol kuliko wao
Wacha kujipa sympathy mzee....Catholic church is the most powerfull na strong instituion in the world and it will remain so...

Ina mashirika makubwa ya mapadre ambayo yanapenyeza ktk serikali yoyote duniani...
Nenda Saudia Arabia uone kama kuna chuo kikuu chochote cha Kikristu zaidi ya George Town ya Jesuits na kuna parokia kule...
 
Sio ajabu... kanisa katoliki lilikaa kimya wakati Hitler akiangamiza wayahudi milioni sita na zaidi.
 
Wewe ni mamluki na siyo Mkatoliki, Mhashamu Cardinal Archbishop Pengo ni Askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es salaam. Huyu ndio Top kiimani kwa maaskofu wote wa kanisa katoliki Tanzania.

Ila hana mamlaka na utoaji matamko hilo ni jukumu la Rais wa TEC.

Hebu soma unielewe tena..

Pengo ni Askofu mkuu wa Dar es Salaam..Hawezi wasemea wakotoliki wote..Akitaka kutoa hayo matamko yake labda kwa Waumini wa jimbo kuu la Dar es Salaam..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom