Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Tetesi: Kadinal Pengo Kuzungumza na wanahabari Jumamosi

Status
Not open for further replies.
Pengo ni Askofu wa Dar es Salaam hawezi kutoa msimamo kwa Wakatoliki wote. Rais au katibu wa TEC anaweza kutoa tamko ambalo lazima liwe limekubaliwa na maaskofu. Pengo kwa nafasi yake ni mtu Mwenye ushawishi hata kama atawasemea Wakatoliki wa Dar itawashawishi hata nje ya jimbo lake.
 
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta

MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri mdaa utaongea
Kazia na source basi maana yatakuwa majungu sasa hayo
 
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta

MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri mdaa utaongea
Sijui atakuwa amekula maharage ya wapi huyu, analewa lewa tuu, anaongea hovyo hovyooo, ewe pengo, ni nani aliyekurogaaa?? (in Gwajima's voice)
 
Nikweli halafu hili jambo la uDini zamani nilikuwa silielewi vzr ila sasa hivi nimetokea kuwa na rafiki ambae hatuna muda mrefu sana tangu tufahamiane yy ni Mkathoric ..Akianza kuongelea issue za huu Utawala nabaki namaswali yasiyo na majibu

Ndo maana Mwanakijiji kahamia huko...kisa church
 
Chadema inatafuta njia ya kujiondoa kwenye blunder hii kwa kila njia
 
Hii ni karne ya 21 kamwe awez fanya upuuz kama huo
 
Josephat Gwajima this time kapunguza mapenzi yake kwa Lowassa ndio sababu hasikiki akihamasisha UKUTA
 
Sio ajabu... kanisa katoliki lilikaa kimya wakati Hitler akiangamiza wayahudi milioni sita na zaidi.
Ukilicgunguza kabisa Catholic utajua hii mission ya imani ni geresha hawa jamaa wana mission nyingine behind the veil ambayo sio kila mtu anaijua ikumbukwe Roman Empire awali ilikua ni pagan na ndio ilioitawala dunia nzima pekee.
the-jesuits.jpg
 
Mfumo dola lazima utumie kila chombo cha.jamii, ili kuyayusha tofali ili ukuta usijengeke.

Hata leo mfunga kamba za viatu, aligusia hili kwenye kutaniko fulani hivi la kidini.

Siasa za upinzani kwishney
 
Kwa hiyo Gwajima sio kiongozi wa dini.. ? Au kwa sababu sio wa upande wa chama tawala..?
Gwajima akiongea sawa na mnamshabikia kabisa lakini ikitokea Pengo ameongea basi anatumika na wanasiasa..?
Hizi double standard zitaisha lini ..?

Gwajima mpiga Dili tu Hana uongozi wa dini wala Nini ni tapeli tu
 
Viongozi wengi wa kanisa la Catholics Tanzania ni watwana wa CCM
Pengo na Kilain ni viongozi wa hovyo hovyo sana
Wana lamba ass za CCM
 
Huyo Rais wa TEC anashiriki uteuzi wa Papa?
Mkuu achana nae HAJUI lolote
Cardinal ndiyo kiongozi wa wa Catholics ktk nchi husika
Cardinal anakuwa mmoja tu
Pengo ndiyo kioongozi wao
Kazi yake kuisifia CCM tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom