Sidhani kama Pengo ni mtu wa aina hiyo. Najua ni mtu mwenye uelewa mkubwa na kamwe haongeki. Iwapo atathubutu kuwakataza wakatoliki kama tetesi inavyosomeka, atakuwa amejivunjia heshima sana na kamwe amri yake haipaswi kutekelezeka. Isitoshe, atakuwa ameliweka Kanisa Katoliki rehani. Tafadhali Baba Kardinali usimalize maisha yako ya utumishi wa Mungu duniani vibaya. Ni bora ukae kimya Baba Askofu.
Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta
MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri muda utaongea
Viongozi wengi wa kidini Tanzania wapo kwa maslahi ya kuilinda Serikali ya CCM. Mfano mzuri ni BAKWATA ni chombo cha usalama wa Taifa,Kadinal Pengo atazungumza na wanahabari Jumamosi kupiga marufuku wakatoliki kote nchini kujihusisha na Ukuta
MYTAKE:
Kama tetesi hizi zinaukweli ndio utajua jinsi gani kuna viongozi wa dini wanajiusisha na siasa tena chama Tawala... Tusubiri muda utaongea
Itakuwa neno "Cardinal" hulielewi. Hebu GoogleRais wa tec ndio kiongozi wa kanisa katoliki tanzania
Pengo yeye ni askof mkuu wa jimbo la dar tu
Hizo ni habari za uongo sana maana habari yoyote inayohusu maelekezo kwa wakatoliki inatolewa na baraza la maaskofu Tanzania chini ya rais ws wake Mhashamu baba askofu Tarsicius NgalalekumtwaBora aendelee kukaa kimya tu kama ni mtu wa kuona mbali.
Pengo anajielewa hawezi fanya hivyo, Kama ni kuzungumza ataongelea kupatikana kwa suluhu
Kama hujui kitu nyamazaKadinali ni daraja tu hata padre anaweza kupewa ukadinali,Askofu ndio cheo cha juu kanisani
Mkuu hata wewe hujui.Nikusaidie tu mkuu, Kardinali Pengo ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la DSM. Si msemaji wala mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania. Hawezi kutoa msimamo wa Kanisa la Tanzania..... Labda awapige marufuku waumini wa DSM!!!!!
Akisema Ngalalekumtwa Tarsisius nitamuelewa kwani hiyo itakuwa ni kwa niaba ya TEC.... Jifunzeni mtiririko wa uongozi wa Kanisa Katoliki!!!
Mwisho lakini muhimu ni kuwa Kanisa Katoliki halina utaratibu wa kuitisha "press conferences" kama Maaskofu wana jambo la kuwasilisha watafanya hivyo kupitia Makongamano yao na pia watatoa walaka uliosainiwa na Maaskofu Katoliki wote
Nahisi haujaelewa maana ya aliyepost 'universe'. Ni kwamba ukisema kanisa katoliki unamaanisha hadi wakatoliki waliopo Phillipines au Timor Leste. Sasa iweje Kardinali Pengo azushiwe kutoa tamko la wakatoliki hata ambao hawaujui Ukuta! Mamlaka ya Kardinali Pengo (kama askofu Mkuu) yapo ndani ya Jimbo Kuu la Dar es Salaam (ambalo mipaka yake inameza Dar, Zanzibar, Pwani na sehemu ya mkoa wa Morogoro). Ungeelewa hayo sidhani kama ungezungumzia mambo ya ushawishi.Labda universe ya bongo,
kanisa catolic duniani halina ushawishi wowote,zaidi ya kujipa promo tu,
bora hata walokole wanajitahidi kujaribu kucontrol kuliko wao
Hawa jamaa nimesoma shule zao..I got this real respect
They're silent like wall mural paintings but they're real de facto power..wanaskuma chess huku waki'sip ghahawa..
Mnakumbuka walichomfanya Mugabe alipoanza kum'harass yule Archbishop wa Harare in late 90s au early 2000s
Our School Rector alituambia Robert Gabriel Mugabe he's digging his own grave with bare hands in darkness while they have lights and shovels to fasten the process for him..Hiyo kauli sikuwahi kuilewa mpaka leo..
but soon jamaa aliufyata..tangu hapo the Tsangirai's na instability ya Zimbwabwe ime'prevail till leo..
Phillipines waliangusha empire ya Ferdinand Marcos; the famous USA despot in bastion Catholic state in Communist suited Asia kipindi hicho..
Teh teh! Jina lake ni kiboko.nimelikubali,maana nalirudia kulitamka linanishindaHizo ni habari za uongo sana maana habari yoyote inayohusu maelekezo kwa wakatoliki inatolewa na baraza la maaskofu Tanzania chini ya rais ws wake Mhashamu baba askofu Tarsicius Ngalalekumtwa