Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

Wazungu kabla ya ujio wa dini toka Yerusalem waliabudu mizimu kama sisi,
Shetani ni mungu wa kuasi au Giza.
Kabla ya dini wazungu na waafrika hawakujua kama wanamuabudu shetani.
Leta uthibitisho wa haya unayosema hapa.

Kwanza elezea 👇

Mungu ni nini?

Shetani ni nini?

Roho ni nini?

Mizimi ni nini?
Umasikini, magonjwa nk yapo Afrika kwa sababu mwafrika ajaishika dini sawa yupo katikati.
Una mawazo na fikra finyu sana.

Unataka kusema Mataifa makubwa yaliyo endelea kiuchumi, Yalitumia Dini?

Haya mawazo ya kijinga nani ali
wa aminisha?
Ujinga, upumbavu ni matokeo ya akili kuwa locked umasikini ni matokeo ya akili na Sio mazingira ndo maana Mungu amekupa 4H kama mtaji namba moja yaan HEAD, HEALTH,HAND and HEART ukivitumia hivi huwezi kuwa masikini.
Mungu huyo aliyetupa hizo 4H mbona waafrika wanazo hizo Head, Health, Hand and Heart, Na bado ni maskini?

Una hoja za duni sana..!!!
 
Leta uthibitisho wa haya unayosema hapa.

Kwanza elezea 👇

Mungu ni nini?

Shetani ni nini?

Roho ni nini?

Mizimi ni nini?

Una mawazo na fikra finyu sana.

Unataka kusema Mataifa makubwa yaliyo endelea kiuchumi, Yalitumia Dini?

Haya mawazo ya kijinga nani ali
wa aminisha?

Mungu huyo aliyetupa hizo 4H mbona waafrika wanazo hizo Head, Health, Hand and Heart, Na bado ni maskini?

Una hoja za duni sana..!!!
Kama akili ipo locked utatumiaje hizo 4H.
Mungu ni roho,shetani ni roho ya kuasi.
Roho ni nguvu isiyoonekana iupayo mwili nguvu ya kutenda mambo.
Maendeleo makubwa ya ulaya na uarabuni ni kutokana na ustaarabu lioletwa na dini,kwa maana dini inapinga mifumo mibovu ya kuwatendea mabaya wengine,rushwa,uvivu,uzembe,unyonyaji nk.
Tofauti ya maendeleo baada ya Uhuru kati ya nchi Africa Kaskazini na hizi za kusini zimeletw na dini.
Algeria Morocco Tunisia,Libya,Misri Zina maendeleo kuliko hizi zingine Africa sababu ya dini watawala wao wanaogopa kuwatendea mabaya watawaliwa kwa sababu wamejengwa kwenye mifumo ya dini.
Ufisadi,udikteta, Rushwa, uzembe, uvivu ni matokeo ya Mtu kutokuwa na hofu ya Mungu.
 
Mmm mbona hakuna ubaguzi hapo.kukumbatiana inategemeana huyo mtu unafamiana naye kwa namna gani.si kila mtu uwe ni kukumbatia tu.huo ndio unafki.kwanza kwa hekima kiongoz huyo ameongea kwa muda mrefu kwa black kuliko walio kumbatiwa.Acheni kuzusha mambo
 
Mmm mbona hakuna ubaguzi hapo.kukumbatiana inategemeana huyo mtu unafamiana naye kwa namna gani.si kila mtu uwe ni kukumbatia tu.huo ndio unafki.kwanza kwa hekima kiongoz huyo ameongea kwa muda mrefu kwa black kuliko walio kumbatiwa.Acheni kuzusha mambo
Ama uyo papa aliwaza Afrika bado Pana covid😂
 
Hata kuandika na kuwasiliana kwa teknolojia tumeiga sijui tungefanyaje ila tuna nafasi ya kujiondoa
😂😂😂Zamani unatuma barua posta au njia ya basi majibu kurudi mpk miezi mwili ipite hii itafaa sana 🤙
 
Still ilikuwa na efficiency na reliability
Umeonaaa kwer Dunia baada ya kua kama Kijiji inakwenda kutuangusha sasa maana kila kinachotoka tuna pest na haya marobot yaliyotengenezwa tunaenda kuisha kabisa
 
Umeonaaa kwer Dunia baada ya kua kama Kijiji inakwenda kutuangusha sasa maana kila kinachotoka tuna pest na haya marobot yaliyotengenezwa tunaenda kuisha kabisa
Moja ya janga la dunia lijalo ni hayo maroboti
 
KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI

View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.

Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.

Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.

Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
Sisi hiyo sio salamu yetu. Huyo kadinali mwenyewe hakuientertain. Wote hapo wanajua sio desturi yetu. Umepanick
 
Lakini wa Kristo ndio tunaongoza kukusaula ushungi na kukuvua chupi
lione na hili asa uzinzi ndo umeona kama ni umwamba kwa imani ya kikristo dah kweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Back
Top Bottom