Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

Kusema dini ya waafrika ni ipi hio maana kila jamii ilikua na dini Yao.
Kwanza hakuna dini ya waafrika tofautisha tamaduni na dini
Dini ni kuabudu nguvu iliyo kuu
Uko sahihi! Hata Wazungu nao walishawahi kuishi katika zama za giza wakiabudu "mapepo", hizo dini za kimila zilipungua au kufa baada ya ujio wa Ukristo.
 
KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI

View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.

Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.

Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.

Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
sidhani kama alizamilia kubagua. mapadre wa kizungu ni mojawapo ya wanadamu ambao sio wabaguzi kabisa wa rangi, hata wanapokuja huku huja kwa ajili ya utume. kwa waafrica, kubusiana sio utamaduni wetu kabisa, yawezekana alijua tamaduni hiyo. hata mimi nisingependa mwanaume mwenzangu anibusu kwenye shavu, na ningegoma. na mwafrica angegoma naye angeonekana anambagua mzungu.
 
KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI

View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.

Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.

Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko[emoji17] ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.

Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi [emoji24]
Kwani sisi wazungu ili tukumbatiane?

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Shetani ni nani na Mungu ni nani?

Kwa nini Mungu huyo alijulikana tu na wazungu?

Na shetani huyo akajulikana tu na waafrika?

Mungu huyo Alishindwaje kujidhihirisha kwa watu wote duniani kote kwa wakati mmoja?

Kama ingekuwa ni hivyo, mbona baada ya kumjua Mungu huyo
unayedai ni wa kweli, magonjwa umaskini,udumavu wa fikra na matatizo yapo vilevile barani Afrika?

Shida za waafrika na Umaskini zinatokana na ujinga na Upumbavu wa waafrika.



Mungu gani wa kweli, Aliyeshindwa kujidhihirisha kwa watu wote duniani kwa wakati mmoja?

Nakwambia hivi 👇

Mungu huyo Hayupo.

Na shetani Hayupo.
Wazungu kabla ya ujio wa dini toka Yerusalem waliabudu mizimu kama sisi,
Shetani ni mungu wa kuasi au Giza.
Kabla ya dini wazungu na waafrika hawakujua kama wanamuabudu shetani.
Umasikini, magonjwa nk yapo Afrika kwa sababu mwafrika ajaishika dini sawa yupo katikati.
Ujinga, upumbavu ni matokeo ya akili kuwa locked umasikini ni matokeo ya akili na Sio mazingira ndo maana Mungu amekupa 4H kama mtaji namba moja yaan HEAD, HEALTH,HAND and HEART ukivitumia hivi huwezi kuwa masikini.
 
nimegugu sion
Screenshot_20231007-190047.png
 
Wazungu kabla ya ujio wa dini toka Yerusalem waliabudu mizimu kama sisi,
Shetani ni mungu wa kuasi au Giza.
Kabla ya dini wazungu na waafrika hawakujua kama wanamuabudu shetani.
Umasikini, magonjwa nk yapo Afrika kwa sababu mwafrika ajaishika dini sawa yupo katikati.
Ujinga, upumbavu ni matokeo ya akili kuwa locked umasikini ni matokeo ya akili na Sio mazingira.
 
sidhani kama alizamilia kubagua. mapadre wa kizungu ni mojawapo ya wanadamu ambao sio wabaguzi kabisa wa rangi, hata wanapokuja huku huja kwa ajili ya utume. kwa waafrica, kubusiana sio utamaduni wetu kabisa, yawezekana alijua tamaduni hiyo. hata mimi nisingependa mwanaume mwenzangu anibusu kwenye shavu, na ningegoma. na mwafrica angegoma naye angeonekana anambagua mzungu.
 
KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI

View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.

Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.

Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.

Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
Acha kulalamika, wakati uhuru wa kuabudu umepewa pia. Hakuna mtu amekulazimisha kuamini kwenye dini za wazungu na waarabu. Dini za kijadi zipo mpaka leo, kwanini wewe huendi kuziabudu?
Waache wanaotaka kuabudu kwenye hizo dini za kiarabu na kizungu, usiwalaumu, wewe nenda kaabudu kwa hizo za jadi kama unaziamini.
 
KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI

View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.

Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.

Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.

Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭


Ujinga tu, hakuna ubaguzi, kukumbatiana na mzungu kwanza nuksi
 
KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI

View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.

Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.

Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.

Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭

Tuziwape nguvu sana wabaguzi. Anaye kubagua wewe ndiye mwenye tatizo sio wewe unaye baguliwa🤔 ukiangalia vizuri sababu z ubaguzi hazina misingi wala sayansi yeyeote ni tabia za kijinga za watu. Huwezi kuongelea dini yote au mataifa yote kwasababu ya maamuzi ya mtu binafsi
 
Umetembea kwenye jamii zote za watu weusi? Nenda Sudan, Eritrea, Ethiopia na Somalia uone wanasalimianaje?
Wacha uongo wewe.Wanasalimiana kwa kubusiana???Huo ni uzushi.Wanaume wanabusiana kwenye hizo jamii ulizozitaja?Weka ushahidi kwani utamaduni huo haupo.
 
KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI

View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.

Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.

Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.

Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
Kuacha Uchawi na kuacha kuabudu mizimu ndio laana?....una balaa wewe.
 
Back
Top Bottom