bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Mbona wazungu na waarabu Sio wafungwa wa hizo fikra kama dini ni tatizo.Dini za Uislam na Ukristo ni vifungo vya fikra (mental slavery)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wazungu na waarabu Sio wafungwa wa hizo fikra kama dini ni tatizo.Dini za Uislam na Ukristo ni vifungo vya fikra (mental slavery)
Lipi Hilo linalofundisha ulawitiWewe ni mtumwa wa fikra, hata ukiambiwa kanisa ni chaka la ulawiti wa watoto wetu utabisha
Bongo Sio tamaduni zetu kukumbatiana wanaume kwa wanaume, hata mimi mwanaume kunikumbatia naweza mchapa kofi, nisikie joto lake la nini ?KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI
View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.
Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.
Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.
Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
Waafrika wanaofata dini kwa usahihi ni wachache wengi wanagusa.Hayo madini ndio yamefanya waafrika tukawa watumwa wakifkra na kuishi kama mashetani.
Hakuna Mkristo wa hivyo wa kuzidiwa hisia hadi arushe ngumiLengo la nyuzi kama huu ni kuamsha na kuchokoza hisia hasi kwa Wakristo hasa Roman Catholics.Nia yake mwishowe wapaze sauti za jazba na kupayuka (takbiiiiirrrr ya Kikristu)na kuanzisha fujo,mizozo,mapigano na uasi.Muwe makini sana na waleta nyuzi sampuli hiyo.
NAKAZIA [emoji419][emoji375]Dini za Uislam na Ukristo ni vifungo vya fikra (mental slavery)
Wengi tuhv kuna kadinali au padre mweusi anahudumu pale saint peters basilica vatican?
Uislamu sio dini.Ukristo siyo dini.
Hata Dini ni utamaduni.Kuhusu ubaguzi huo ni mtazamo wako, usitake kuwaaminisha wengine, tangu lini watu weusi tukasalimiana kwa kupigana mambusu?, huo ni utamaduni wa wazungu, na sisi utamaduni wetu ni kusalimiana kwa kushikana mikono kama walivyofanya hapo.
Diniless countryMfano.....
Afrika hasa TanzaniaAfrika kwa ujumla akili zetu ni za kishenzi shenzi atujajiua kua nini tunaitaji
Dah we umeshindikanaUkristo siyo dini.
Wewe unacho kiabudu sasa hivi unakijua?Waafrika walikuwa gizani kabla ya ujio wa dini,kwa maana waliabudu wasichokijua na wao kabla ya dini watakuhukumiwa kwa sheria ya maadili ya jamii yaani.
Do and don't do.
ni nini..?Ukristo siyo dini.
Umeona, unajifariji tu.Sijaona ubaguzi hapo, hizo salamu za kukumbatiana sio asili yetu
Kama wanabagua wasingempa UkadinaariKADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI
View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.
Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.
Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.
Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
Wajinga watabishaDini za Uislam na Ukristo ni vifungo vya fikra (mental slavery)
Hivi kweli, ukiacha vyakula, ni kipi kinatumika nchini kwa mahitaji ya kila siku ambacho hakijaletwa na wageni?Says some one ambaye hata technolojia, elimu na kila kitu chake ni matokeo ya wageni.
Huwa nina heshima kubwa kwa mtu asiyeamini kuliko yule anayeng'ang'ania kuwa tuacheni na vya wageni, mara tukaamini miungu yetu. Hao ni aina ya watumwa wasiojielewa ambao ni utumwa mkubwa kuliko.
Waliabudu mizimu kwa maana shetani akichukua advantage ya wao kutokumjua Mungu akajifanya mungu kwao wakimtolea sadaka na kafara za damu.Wewe unacho kiabudu sasa hivi unakijua?
Kielezee na uki thibitishe.
Thibitisha kwamba waafrika walikuwa wana abudu wasicho kijua.
Eleza kinacho aabudiwa sasa hivi, kina utofauti upi na walicho abudu mababu zetu?
Kisha thibitisha na leta utafiti wa kuonesha kwamba mababu zetu waliamini wasicho kijua.