Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

Kadinali mweusi abaguliwa waziwazi

So is uislam, na nyingine zote zili sambaa africa sababu ya biashara na utumwa
Basicaly africa is safe without so called religions
Hapana, mitume mingi walikuwa Waafrika, hata yesu kwa mujibu wa Qur'an ni Mwafrika, siyo huyo yesu wa mchongo wa kwenye bibilia. Yesu haelewi hata maana ya ukiristo ni nini.
 
KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI

View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.

Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.

Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.

Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
Hakuna ubaguzi wowote acheni kuchukulia mambo kwa mihemko alafu kama unaona kuna option nyingine hebu ilete hapa Ww kila siku lazima uhudhurie kwenyw dini yako kama vp kaabudu mizimu imagine mtu anaabudu miembe maninaaaaa bora niendelee kuamini ninachoamini
 
Hakuna ubaguzi wowote acheni kuchukulia mambo kwa mihemko alafu kama unaona kuna option nyingine hebu ilete hapa Ww kila siku lazima uhudhurie kwenyw dini yako kama vp kaabudu mizimu imagine mtu anaabudu miembe maninaaaaa bora niendelee kuamini ninachoamini
Bishana na hawa:

Barua hiyo ilikuwa imetumwa kwa Papa mnamo Juni 19 na kikundi cha Padres e Bispos da Caminhada (takriban, Mapadre na Maaskofu), ambacho kinajumuisha makasisi wengi wa Brazil.

Ilitiwa saini na mapadre 83 na maaskofu watano na kushughulikia mada kama vile madai ya unyanyasaji wa waseminari weusi na vikwazo kwa mapadre weusi ambao wanataka kuwa maaskofu.

Kukosa kwa kikundi hicho kulianza na nukuu ya mistari michache kutoka kwa shairi refu lililoandikwa na mwandishi wa kukomesha Brazil Castro Alves, inayoitwa "The Slave Ship." Iliyochapishwa mnamo 1870, inaelezea hofu ya kuvuka kwa transatlantic ya Waafrika waliotekwa ambao walipelekwa Amerika.

Mapadre walijitambulisha kama "wasaliti wa Mama Afrika" na kutaja mauaji ya George Floyd huko Minneapolis, wakiunganisha na uzoefu wao wenyewe.

"Kufikia hatua hiyo, sisi, makuhani weusi, ili kuitikia wito wa Yesu Kristo, Bwana wetu, kama wafanyakazi wa mavuno yake, tunahisi wakati wa malezi yetu magoti ya waalimu wetu wakisukuma shingo zetu," barua hiyo ilisema. "Tunajua kilio cha 'Siwezi kupumua' maana yake."

Makuhani walisema walikuwa "wamepigwa" na "kuthaminiwa" wakati wa miaka yao ya kuunda, daima wakibaki "kimya" na "kuchaguliwa," wakihofia kuwa hawawezi kupitishwa kupokea maagizo matakatifu.

usahidi: Answering letter from Black Brazilian clergy, pope sends anti-racist message
 
Bishana na hawa:

Barua hiyo ilikuwa imetumwa kwa Papa mnamo Juni 19 na kikundi cha Padres e Bispos da Caminhada (takriban, Mapadre na Maaskofu), ambacho kinajumuisha makasisi wengi wa Brazil.

Ilitiwa saini na mapadre 83 na maaskofu watano na kushughulikia mada kama vile madai ya unyanyasaji wa waseminari weusi na vikwazo kwa mapadre weusi ambao wanataka kuwa maaskofu.

Kukosa kwa kikundi hicho kulianza na nukuu ya mistari michache kutoka kwa shairi refu lililoandikwa na mwandishi wa kukomesha Brazil Castro Alves, inayoitwa "The Slave Ship." Iliyochapishwa mnamo 1870, inaelezea hofu ya kuvuka kwa transatlantic ya Waafrika waliotekwa ambao walipelekwa Amerika.

Mapadre walijitambulisha kama "wasaliti wa Mama Afrika" na kutaja mauaji ya George Floyd huko Minneapolis, wakiunganisha na uzoefu wao wenyewe.

"Kufikia hatua hiyo, sisi, makuhani weusi, ili kuitikia wito wa Yesu Kristo, Bwana wetu, kama wafanyakazi wa mavuno yake, tunahisi wakati wa malezi yetu magoti ya waalimu wetu wakisukuma shingo zetu," barua hiyo ilisema. "Tunajua kilio cha 'Siwezi kupumua' maana yake."

Makuhani walisema walikuwa "wamepigwa" na "kuthaminiwa" wakati wa miaka yao ya kuunda, daima wakibaki "kimya" na "kuchaguliwa," wakihofia kuwa hawawezi kupitishwa kupokea maagizo matakatifu.

usahidi: Answering letter from Black Brazilian clergy, pope sends anti-racist message
Mkuu sisomagi makitu marefu pole kwa kukomaza vidole bure.
Alafu sipo jf kubishana 😂😂
 
Hapana, mitume mingi walikuwa Waafrika, hata yesu kwa mujibu wa Qur'an ni Mwafrika, siyo huyo yesu wa mchongo wa kwenye bibilia. Yesu haelewi hata maana ya ukiristo ni nini.

I dont care walikuwa wekundu au wa kijivu.
The fact dini zililetwa tu africa, but originaly africa ilikuwa na dini zake na tamaduni zake before ujio wa hao watu.
 
Inavyoonekana labda huyo mweusi alikataa ushoga kwenye mkutano wao
Sijui nimewaza nini maana sio kwa kufanyiwa hivyo maana inaonekana papa ana hasira nae haswa
 
Ni vile tu huna mamlaka unatamani utulipue 😀😀
Hapana, nawaonea sana huruma, kwanini niwarupie Waislam wa kesho?

Hivi huelewi kuwa Wakristo wa kweli ni Waislam? Ukiona mkristo mpaka anakufa hajawa Muislam, elewa kuwa huyo alikuwa siyo Mkristo wa kweli, bomu tu.
 
Back
Top Bottom