klinbritetz
Senior Member
- Sep 23, 2020
- 160
- 125
Habari, Mtanzania mwana JF,
Makadiro ya Kodi ni Kwa kila mlipa kodi.
Huwa yanafanyika muda wowote kuanzia tarehe 1,January hadi tarehe 31,March kila mwaka
Kwa Yeyote atakae chelewa kufanya makadirio, kwa sasa, siku moja baada ya tarehe 31, March kunachaji(penati) ya Tsh 225,000 kwa KILA mwezi ulio pitiliza Namna ya kufanya makadirio:
Makadirio ni kusema kwamba kampuni ama bishara inategemea kupata faida kiasi gani kwa mwaka wa fedha kwa mwaka husika ( ni kwasababu, hajafika mwisho wa mwaka bado, hivyo hajui kinagaubaga atapata faida kiasi gani)
Ni vema tujue kwamba baada ya kukadiria, mlipa kdoi anaanza kulipa alichokadiria (isipokuwa kwa makadirio ambayo ni SIFURI)
JINSI YA KULIPA MAKADIRIO
kwaheri kwa leo,
HAKIKISHA UMEFANYA YAKUPASAYO, HASA KATIKA AUALA ZIMA LAMAKADIRIO; KABLA HAYAJAKUPATA YA KUKUPATA,
PIA NI VEMA UFANYE MAPEMAKUTOKANA NA
1. Changamoto ya Mtandao siku za mwisho
2. Kumekuwa na mabadiliko karibini TRA(e-filing) kwahiyo kunachangamoto za kureseti password kwa walipa kodi wengi
Mungu atubariki Tanzania, Mungu atubariki Afrika, Mungu atubariki Mataifa Yote
Makadiro ya Kodi ni Kwa kila mlipa kodi.
Huwa yanafanyika muda wowote kuanzia tarehe 1,January hadi tarehe 31,March kila mwaka
Kwa Yeyote atakae chelewa kufanya makadirio, kwa sasa, siku moja baada ya tarehe 31, March kunachaji(penati) ya Tsh 225,000 kwa KILA mwezi ulio pitiliza Namna ya kufanya makadirio:
- Hufanyikwa kwa njia ya Mtandao kupitia websiteya TRA (tra.go.tz).
- Kila mlipa Kodo aliye sajiliwa huingi kaktika mfumo na kujikadiria mwenyewe.
Makadirio ni kusema kwamba kampuni ama bishara inategemea kupata faida kiasi gani kwa mwaka wa fedha kwa mwaka husika ( ni kwasababu, hajafika mwisho wa mwaka bado, hivyo hajui kinagaubaga atapata faida kiasi gani)
Ni vema tujue kwamba baada ya kukadiria, mlipa kdoi anaanza kulipa alichokadiria (isipokuwa kwa makadirio ambayo ni SIFURI)
JINSI YA KULIPA MAKADIRIO
- Kuna uchaguzi wa kulipa kila baada ya mizei mitatu, ingawa sio lazima. Mlipa kodi aweza lipa makadiro yote kwa awamu moja tu, ama awamu mbili, kwa kadiri apendavyo.
- Control namba hutumika kulipia malipo ya serikali kwa sasa
kwaheri kwa leo,
HAKIKISHA UMEFANYA YAKUPASAYO, HASA KATIKA AUALA ZIMA LAMAKADIRIO; KABLA HAYAJAKUPATA YA KUKUPATA,
PIA NI VEMA UFANYE MAPEMAKUTOKANA NA
1. Changamoto ya Mtandao siku za mwisho
2. Kumekuwa na mabadiliko karibini TRA(e-filing) kwahiyo kunachangamoto za kureseti password kwa walipa kodi wengi
Mungu atubariki Tanzania, Mungu atubariki Afrika, Mungu atubariki Mataifa Yote