Kadogo, kazuri katamu Vs mtafutaji, mcha Mungu na mzembe wa kwichikwichi

Kadogo, kazuri katamu Vs mtafutaji, mcha Mungu na mzembe wa kwichikwichi

huyo namba mbili anamchefua jamaa. neno kuchefua ni zito sana, mi hapo nishaweka cross, huyu jamaa hana stim nae hata chembe.
Ni kweli mkuu. Huyu namba 2 anaweza kuja tukaishia kupiga stori tu lkn mzuka hakuna kabisa. Lkn yule namba moja akisema tu yuko njiani anakuja moto unawaka mwanzo mwisho.
 
Wee kwani umeambiwa mwanamke ukioa papuchi ni yako peke yako...acha kuwa unrealistic kaka. Papuchi lazima watu watagonga tuu.

Mambo ya mipango ya maisha unaweza panga mwenyewe sii ulishajua huyu ni wa burudani tuu. Cha muhimu kwenye ndio ni kugegedana na sio eti kusaidiana mipango ya maisha.
Mimi nimeishi na wazungu. Na kule kwao ndio inakuwa hivyo. Otherwise mtu uoe ya nini? Michepuko kila siku ni mila za kibongo. Ukae ujue hilo sasa
 
Ni kweli mkuu. Huyu namba 2 anaweza kuja tukaishia kupiga stori tu lkn mzuka hakuna kabisa. Lkn yule namba moja akisema tu yuko njiani anakuja moto unawaka mwanzo mwisho.
dah unanikumbusha kimeo changu cha zamani chief. ila jaribu kumsoma namba moja kama anaweza kurekebishika. ushauri wangu ni chagua namba moja au tafuta mwingine.
namba mbili utakua nae tu kwa kua unamuonea huruma ila kimapenzi atakuboa sana. vitu vidogodogo akikosea utakua unamkasirikia sana utafkiri kaua mtu, kumbe humpendi tu.
 
Wabobezi wa jukwaa hili naombeni mtoe maoni yenu hapa. Nina Mahusiano na wadada 2 wenye sifa tofauti.

1. Wa Kwanza ni mdada amebarikiwa shepu, sura ya kuvutia na mautundu ya kutosha kwenye 6 kwa 6. Hakika nimuonapo nafsi yangu husuuzika sana, na hata nikiwa naye barabarani najiona mm ndiye kidume haswa. Ile dhana ya territorial prestige ambayo ni kiu ya kila mwanaume, naisikia kwelikweli.

Lkn huyu dada ni mlegevu Sana (amelelewa kimayai, a.k.a mboga saba) hana anachojua zaidi ya selfie na kuingia social media. Mara 2 nilimpa mtaji wa kuanzisha biashara akakata tamaa na kuacha. Anataka apewe mpk vocha. Bila kasoro hii ningekuwa nisha tangaza ndoa.

2. Wa pili ni mdada mwenye sifa za utafutaji na ucha Mungu. Ananipa ushauri na mipango ya kutafuta hela. Nikiitekeleza inafanikiwa. Hana tabia za kuomba omba hela ya kusuka, vocha n.k. Lugha yake, ongea yake ni mtulivu na mnyenyekevu. Na zaidi ya hapo ana moyo wa subira sana

Lkn kwenye mambo yetu yale ya kitandani hovyo kabisa. Hata nafsi yangu inafika mahali inaingiwa na "kanaa" (yaani ananikinai au ananichefua). Bila kasoro hii ningekuwa nisha tangaza ndoa.

Kati ya wadada wenye sifa tajwa hapo juu ni yupi anafaa kuwa mke? Maana umri umesonga Sana nataka nioe. Na wahenga wanasema hakuna mwanadamu mkamilifu.
Somtimes sexless ni mwanaume
Sometimes ni mwanamke, wewe olewa na yoyote kati hao wawili.
 
Kupata aliyekamilika kila kitu ni ngumu sanaa.

Suala hapo ni kuchunguza mwenye uafadhali.


Demu wakwanza itakulazimu uhakikishe hamna siku utapungukiwa Pesa.


Demu wa pili yuko poaa, ..vipi kwan huwa Hukojoi?.

Alafu wanaume tumetofautiana sana, mimi sipendi mwanamke mwenye fujo kitandan. Mara kakufanye ivi, mara kazungushe kiuno sijui nn mara nn......

Napenda mwanamke Gogo, ili mradi asiwe mwenye kuchoka mapema, alafu awe mtiifu, nikimwambia kaa hivi anakaa, weka hapa ivi, afanye, shika hivi ashikee...

Alafu mimi ndio nimkimbize mchakamchaka.
 
Umenikumbusha kuna Mwana alioa mtoto wakitanga, sababu demu alikua anamnyonya mashine kinoma noma.
 
Demu wa pili yuko poaa, ..vipi kwan huwa Hukojoi?.
Nakojoa. Lkn ananikera wakati wa tendo. Anataka mm niwe namgegeda huku nikimnyonya titi na kusugua kisimi kwa kidole. Inawezekana? Mambo 3 kwa mpigo!!!
 
Kwasabb ya uzuri na ulegevu wake ikitokea nimetetereka ktk mipango yangu ya kiuchumi naogopa nitamegewa
Mkuu hilo la kumegewa ondoa kwenye akili yako, mwanamke akitaka kumegwa anamegwa tu, wala sio uchumi wako ndiyo unasababisha mwanamke asimegwa
 
Nakojoa. Lkn ananikera wakati wa tendo. Anataka mm niwe namgegeda huku nikimnyonya titi na kusugua kisimi kwa kidole. Inawezekana? Mambo 3 kwa mpigo!!!
Usipende kuendeshwa... Penda kuendesha.

Jisikie fahari unapoendesha mtu na akakuhesabu kama mwanaume unayemuwezea.
 
Naona huy mvivu kitandani anaweza kuwa mke Bora mana mana mapenzi mtu hujifunza mfundishe staili unazopenda na umwambie unapenda akufanyie nn mwapo six by six ,lakn mwisho wa siku
Chagua mwenye sifa nying unazopenda mwanamke wa maisha yako awe nayo,kumbuka usiache ulichopenda maishani ghafla tu kw sabab ya kile ulichotamani kw muda
 
Mke ni msaidizi, hata vitabu vya dini vimeeleza

Kama unahitaji pambo ndani ya nyumba yako, muoe huyo chaurembo mlegevu, siku ikitokea haupo watoto wako watanyanyasika sana kwa sababu bi chaurembo hataweza kusimama au kupambana na uhalisia wa maisha, na hata kama kuna miradi umeanzisha itakufa, nyumba atauza na wisho wa siku vya kuuza vikiisha atajiuza yeye na watoto anawez akauza kabisaa

Maana halisi ya msaidizi sio tu kitandani, bali ni kwenye dhana nzima ya maisha pamoja na malezi ya familia/watoto

Nawaza tu huyo mlegevu hata kulea mtoto itakua ni kazi sana. Unaweza kuishia kufuliwa chupi na housegirl chaurembo yeye ni insta, kufuga ku ha na miguu juu mwisho wa siku unamuona housegirl ni bora kukiko hata wife

Kuna mdau alikuja humu akasema haoni sababu ya kuwa na mke kwa sababu kila kitu ndani ya nyumba anafanya housegirl kuanzia usafi mpaka malezi ya watoto

Kamqa unahitaji mke kwa ajili ya kukustarehesha cha urembo anakufaa ila kama unahitaji mke kwa ajili ya kujenga familia nadhani huyu wa pili anakufaa

Jaribu kumrekebisha mambo madogo madogo na umfundishe mautundu, mpe muda wankumuobserve kama anafundishika then from there ufanye maamuzi


Wabobezi wa jukwaa hili naombeni mtoe maoni yenu hapa. Nina Mahusiano na wadada 2 wenye sifa tofauti.

1. Wa Kwanza ni mdada amebarikiwa shepu, sura ya kuvutia na mautundu ya kutosha kwenye 6 kwa 6. Hakika nimuonapo nafsi yangu husuuzika sana, na hata nikiwa naye barabarani najiona mm ndiye kidume haswa. Ile dhana ya territorial prestige ambayo ni kiu ya kila mwanaume, naisikia kwelikweli.

Lkn huyu dada ni mlegevu Sana (amelelewa kimayai, a.k.a mboga saba) hana anachojua zaidi ya selfie na kuingia social media. Mara 2 nilimpa mtaji wa kuanzisha biashara akakata tamaa na kuacha. Anataka apewe mpk vocha. Bila kasoro hii ningekuwa nisha tangaza ndoa.

2. Wa pili ni mdada mwenye sifa za utafutaji na ucha Mungu. Ananipa ushauri na mipango ya kutafuta hela. Nikiitekeleza inafanikiwa. Hana tabia za kuomba omba hela ya kusuka, vocha n.k. Lugha yake, ongea yake ni mtulivu na mnyenyekevu. Na zaidi ya hapo ana moyo wa subira sana

Lkn kwenye mambo yetu yale ya kitandani hovyo kabisa. Hata nafsi yangu inafika mahali inaingiwa na "kanaa" (yaani ananikinai au ananichefua). Bila kasoro hii ningekuwa nisha tangaza ndoa.

Kati ya wadada wenye sifa tajwa hapo juu ni yupi anafaa kuwa mke? Maana umri umesonga Sana nataka nioe. Na wahenga wanasema hakuna mwanadamu mkamilifu.
 
Back
Top Bottom