Kadogo, kazuri katamu Vs mtafutaji, mcha Mungu na mzembe wa kwichikwichi

Kadogo, kazuri katamu Vs mtafutaji, mcha Mungu na mzembe wa kwichikwichi

Aisee niko kwenye exact situation kama yako. For the time being imebidi niwe nao wote wawili. Deep down nampenda huyo mwenye sifa za namba 1 japokuwa najua kabisa hanifai kama mke. I hope muda wa kuoa ukifika, ntafanya maamuzi sahihi
 
Kamqa unahitaji mke kwa ajili ya kukustarehesha cha urembo anakufaa ila kama unahitaji mke kwa ajili ya kujenga familia nadhani huyu wa pili anakufaa
Noted.
 
Akili kubwa hii 👊🏽👊🏽👊🏽👊🏽👊🏽

Mke ni msaidizi, hata vitabu vya dini vimeeleza

Kama unahitaji pambo ndani ya nyumba yako, muoe huyo chaurembo mlegevu, siku ikitokea haupo watoto wako watanyanyasika sana kwa sababu bi chaurembo hataweza kusimama au kupambana na uhalisia wa maisha, na hata kama kuna miradi umeanzisha itakufa, nyumba atauza na wisho wa siku vya kuuza vikiisha atajiuza yeye na watoto anawez akauza kabisaa

Maana halisi ya msaidizi sio tu kitandani, bali ni kwenye dhana nzima ya maisha pamoja na malezi ya familia/watoto

Nawaza tu huyo mlegevu hata kulea mtoto itakua ni kazi sana. Unaweza kuishia kufuliwa chupi na housegirl chaurembo yeye ni insta, kufuga ku ha na miguu juu mwisho wa siku unamuona housegirl ni bora kukiko hata wife

Kuna mdau alikuja humu akasema haoni sababu ya kuwa na mke kwa sababu kila kitu ndani ya nyumba anafanya housegirl kuanzia usafi mpaka malezi ya watoto

Kamqa unahitaji mke kwa ajili ya kukustarehesha cha urembo anakufaa ila kama unahitaji mke kwa ajili ya kujenga familia nadhani huyu wa pili anakufaa

Jaribu kumrekebisha mambo madogo madogo na umfundishe mautundu, mpe muda wankumuobserve kama anafundishika then from there ufanye maamuzi
 
Wabobezi wa jukwaa hili naombeni mtoe maoni yenu hapa. Nina Mahusiano na wadada 2 wenye sifa tofauti.

1. Wa Kwanza ni mdada amebarikiwa shepu, sura ya kuvutia na mautundu ya kutosha kwenye 6 kwa 6. Hakika nimuonapo nafsi yangu husuuzika sana, na hata nikiwa naye barabarani najiona mm ndiye kidume haswa. Ile dhana ya territorial prestige ambayo ni kiu ya kila mwanaume, naisikia kwelikweli.

Lakini huyu dada ni mlegevu Sana (amelelewa kimayai, a.k.a mboga saba) hana anachojua zaidi ya selfie na kuingia social media. Mara 2 nilimpa mtaji wa kuanzisha biashara akakata tamaa na kuacha. Anataka apewe mpk vocha. Bila kasoro hii ningekuwa nisha tangaza ndoa.

2. Wa pili ni mdada mwenye sifa za utafutaji na ucha Mungu. Ananipa ushauri na mipango ya kutafuta hela. Nikiitekeleza inafanikiwa. Hana tabia za kuomba omba hela ya kusuka, vocha n.k. Lugha yake, ongea yake ni mtulivu na mnyenyekevu. Na zaidi ya hapo ana moyo wa subira sana

Lakini kwenye mambo yetu yale ya kitandani hovyo kabisa. Hata nafsi yangu inafika mahali inaingiwa na "kanaa" (yaani ananikinai au ananichefua). Bila kasoro hii ningekuwa nisha tangaza ndoa.

Kati ya wadada wenye sifa tajwa hapo juu ni yupi anafaa kuwa mke? Maana umri umesonga sana nataka nioe. Na wahenga wanasema hakuna mwanadamu mkamilifu.
Hakuna anaefaa kati ya hao mkuu.

Mtafute malaika ufunge nae ndoa😏😏
 
Umri uliokuwa nao ukishindwa tatua icho kitendawili chako. Subir mpaka utakapoweza tatua icho kitendawili
 
Angalia kati ya hayo mapungufu ni yapi unaweza kuyavumilia.Utakaloona linavumilika kuishi nalo beba hiyo toto na hzo weakness
 
Wooiii ningeenda na namba mbili bablai hayo mengine tutaelekezana taratibu kupitia kama sutra.
 
Wabobezi wa jukwaa hili naombeni mtoe maoni yenu hapa. Nina Mahusiano na wadada 2 wenye sifa tofauti.

1. Wa Kwanza ni mdada amebarikiwa shepu, sura ya kuvutia na mautundu ya kutosha kwenye 6 kwa 6. Hakika nimuonapo nafsi yangu husuuzika sana, na hata nikiwa naye barabarani najiona mm ndiye kidume haswa. Ile dhana ya territorial prestige ambayo ni kiu ya kila mwanaume, naisikia kwelikweli.

Lakini huyu dada ni mlegevu Sana (amelelewa kimayai, a.k.a mboga saba) hana anachojua zaidi ya selfie na kuingia social media. Mara 2 nilimpa mtaji wa kuanzisha biashara akakata tamaa na kuacha. Anataka apewe mpk vocha. Bila kasoro hii ningekuwa nisha tangaza ndoa.

2. Wa pili ni mdada mwenye sifa za utafutaji na ucha Mungu. Ananipa ushauri na mipango ya kutafuta hela. Nikiitekeleza inafanikiwa. Hana tabia za kuomba omba hela ya kusuka, vocha n.k. Lugha yake, ongea yake ni mtulivu na mnyenyekevu. Na zaidi ya hapo ana moyo wa subira sana

Lakini kwenye mambo yetu yale ya kitandani hovyo kabisa. Hata nafsi yangu inafika mahali inaingiwa na "kanaa" (yaani ananikinai au ananichefua). Bila kasoro hii ningekuwa nisha tangaza ndoa.

Kati ya wadada wenye sifa tajwa hapo juu ni yupi anafaa kuwa mke? Maana umri umesonga sana nataka nioe. Na wahenga wanasema hakuna mwanadamu mkamilifu.
Oa wote ili wa-complete each other
 
Katika maisha ya mahusiano,hasa linapofikia suala la kutaka kumuoa nani,hapo panahitaji maamuzi binafsi bila kushauriwa ili kumpata yule unaemuona atafaa kuwa na wewe kwa sababu ya maendeleo yako na ya watoto wenu mnaotarajia kuwapata baadae
 
kwenye hii dunia ukitafuta kilichokamilika utasubiri mpak safar yako itakamilika hujakion tena ww una bahati wao naona cv zao ziko vizuri kweli wenzio unakuta dem kinachombeba kalio tu vingin ovyo...Apo nakushauri chagua unaempenda alaf mengine yatabadilika mbele ya safari...Uzuri ni kwamba tokea dunia iumbwe hakuna kasoro iliyoshindwa kurekebishika either kwa uwezo wa kibinadam au kwa rehema za Baba Muumba
 
Back
Top Bottom