Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapiga pesa ndefu sn kwenye hii miradi lazima maza wamjaze upepo ajione anafanya kazi kubwa snIla chawa wanamdanganya mama kama bibi yao, ili mradi tu mkono uende kinywani!
Haswa bongoHakuna watu wanafiki kama wanasiasa.
Alishasahau, Nov 2023 alisema imefika 99% leo imeshuka 78% haya yeye mwenyewe hajui ipo % ngapiKwanza nianze kwa Kumshukuru Mama samia!
Kipindi cha 2021 tuliambiwa na kadogoso kuwa reli imefikia 50 asilimia
Kwa hiyo Mama kajenga asiliia 40?L
legacy ya asilimia 30 anayo.
😂😂😂😂😂😂Alishasahau, Nov 2023 alisema imefika 99% leo imeshuka 78% haya yeye mwenyewe hajui ipo % ngapi
Ila kaitia nchi hasaraKwenye ujenzi wa Ikulu ya Dodoma na SGR,JPM ndo mwamba huu ni ukweli ambao chawa wa mama hawataki kusikia.
Hakuna hasaraIla kaitia nchi hasara
Watoto wanasoma ulaya,monthly take home yake ni zaidi ya M30,bado anazoibia serikari ba rushwa,sio mwenzako huyo,chawa ni sekta inayokua kwa kasi sana nchini bila kujali elimu wala cheo cha chawaNawaza tu hapa, Watoto aliozaa, Kama watarithi akili yake, sijui itakuwaje siku za huko mbeleni. 🤒🤒
100 - 30 =?Kwa hiyo Mama kajenga asiliia 40?
Lakini hadi 2018 tuliambiwa imeshafika asiliamia 30
Mwisho wa chawa ni nini?, Huoni kama kuna hasara siku zijazo....Watoto wanasoma ulaya,monthly take home yake ni zaidi ya M30,bado anazoibia serikari ba rushwa,sio mwenzako huyo,chawa ni sekta inayokua kwa kasi sana nchini bila kujali elimu wala cheo cha chawa
Chawa ukikomaa unazaa ushogaMwisho wa chawa ni nini?, Huoni kama kuna hasara siku zijazo....
Mimi sizungumzii kipato chake, nasemea kuhusu akili yake....