Kadogosa: Kwenye Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki, Rais Samia kawazidi Wajerumani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania

Zaidi soma hapa:

"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.


 
Kadogosa ni kati ya wakurugenzi wa mashirika wateule wa Magu ambao bado hajaguswa na "Mama" pamoja na sarakasi kibao hapo TRC.

Haya mapambio ni kule kutokujiamini tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…