Kadogosa: Kwenye Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki, Rais Samia kawazidi Wajerumani

Kadogosa: Kwenye Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki, Rais Samia kawazidi Wajerumani

Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania

Zaidi soma hapa:

"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.


View attachment 2944220View attachment 2944221
Anayesifiwa huu ujinga naye akakaa kimya ndo wa kushangaa.
 
images (8)~2.jpeg
 
Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania

Zaidi soma hapa:

"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.


View attachment 2944220View attachment 2944221
Kujipendekeza ni kipaji kwenye hii nchi aiaeee
 
Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania

Zaidi soma hapa:

"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.


View attachment 2944220View attachment 2944221
China unanyongwa uongo ni sumu ya maendeleo!
 
Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania

Zaidi soma hapa:

"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.


View attachment 2944220View attachment 2944221
Pigia msumari Samia ,kamatia hapo hapo 🔥🔥🔥

View: https://www.instagram.com/p/C46HQmRt10N/?igsh=MTg2MzlybnFpNm81MQ==
 
Ukweli unabakia pale pale-Tunapiga hatua.


Wote mmejikusanya hapa Team Mbowe na Samia-Ua Hayati
Team Samia pekee-Ua Hayati
Team Mbowe-Bila Samia-Ua Hayati
Team Ukoloni mamboleo na Samia-Ua Hayati
etc etc etc

Sifa ziende zinapostahili, piga ua.

Itoshe haya yapo katika wanja la siasa duniani kote-au na huko pia "mtamsingizia" Hayat Rais Magufuli ndie alie anzisha?
 
Back
Top Bottom