Anayesifiwa huu ujinga naye akakaa kimya ndo wa kushangaa.Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania
Zaidi soma hapa:
"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.
View attachment 2944220View attachment 2944221
Kujipendekeza ni kipaji kwenye hii nchi aiaeeeTaarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania
Zaidi soma hapa:
"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.
View attachment 2944220View attachment 2944221
China unanyongwa uongo ni sumu ya maendeleo!Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania
Zaidi soma hapa:
"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.
View attachment 2944220View attachment 2944221
ππππUkiiba hakikisha unamsifia boss ili kufunika madudu yako.
Hakika mama anaupiga mwingi.
View attachment 2944260
Analinganisha mjerumani wa mwaka 40 na mtu wa 2024, aende ujerumani akaone maendeleoHuyu Mnyantuzu hivi ana akili nzuri kweli?
Pigia msumari Samia ,kamatia hapo hapo π₯π₯π₯Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania
Zaidi soma hapa:
"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.
View attachment 2944220View attachment 2944221
Huyu bila shaka ni CHADEMA maana ndio zilikuwa zao kabla havijapigwa marufuku.walikuwa wanakunywa bila kula chakula .ilikuwa mifuko yao inajaa hivyo viroba wanakunywa halafu ndio wanapanda jukwaani kuanza kuporomosha matusi kama vichaa au wendawazimu ππππ.
Mapovu ya nini wewe nyumbu wa awamu ya 5? Lini Wajerumani waliunganisha Tzn na Nchi jirani?Njaa
Ita
Wajinga kama wewe mpo wengi nchi hii. Mjerumani yupi anayezidiwa na kilaza wa mwisho katika vilaza ? Njaa na ujinga kwako vimekaa
Nchi yetu tunaiua hivi hiviNdio kilichobaki, it sad kwakweli tumefikia huku
Nchi inauliwa na wasomiMie rafiki anaesifia mpaka naona hii ni too much namtema.
Yaani nchi imekuwa ya kujipendekeza tu.