Kadogosa: Nauli ya Treni ya Mchongoko Dar - Dodoma itakuwa tsh 100,000 - 120,000

Ndege dodoma hadi dar bei gani
 
Mpango wa kubinafsisha huu. Siku chache baadae shirika limeshindwa kujiendesha.
Zile kauli za mbalawa zitakuja kutimia muda si mrefu.
 
Linachukua siku ngapi kufika mwisho wa safari? Kama linaenda haraka, lazima tulipie maana hakuna cha bure bure
 
Nina experience na India wao treni ya Gharama kubwa kabisa kwa umbali kama wa Dodoma to Dar (Nimechukua mfano wa Mumbai to Vadodara almost 450Km) nauli zao ni inclusive yani kila mtu atapanda treni ya uwezo wake; kuna nauli za thamani ya kuanzia chini ya Tsh10,000/= mpaka 40,000/= kwa treni ya kawaida(ya umeme) muda wa safari ni masaa 6.

Treni ya mchongoko gharama ya Juu kabisa ni kama 75,000/= ya kitanzania na inatumia masaa 4.
 

Attachments

  • Screenshot_20240614_170310_PhonePe.png
    94.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20240614_170400_PhonePe.png
    88.2 KB · Views: 4
Hahaha jf kila mtu mropokaji mkuu ndio niko hapa namsubiri anitajie hiyo nauli nafuu ya treni from Tokyo to Osaka, tena akakazia kabisa eti popote duniani treni ndio usafiri nafuu kwahiyo acha yeye atuelezee, maana inaonekana mwenzetu ni Global citizen sisi wengine ni washamba tu wa vijijini 😃😃
 
Sasa mbona unatwist mada tena, wewe ulisema duniani kote treni ndio usafiri nafuu, bila shaka ulilinganisha na usafiri wa aina nyingine kama ndege, basi na meli, sasa hayo mambo ya thamani na matumizi ya hizo pesa yametoka wapi tena hapo
 

Upo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…